Mzoga wa mbweha, peleka funza zako kule. Pumbavu sana wewe mavi.Mshamba mwingine wa Chato. Huelewi na uelewa wako ni wa kijinga na kipuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzoga wa mbweha, peleka funza zako kule. Pumbavu sana wewe mavi.Mshamba mwingine wa Chato. Huelewi na uelewa wako ni wa kijinga na kipuuzi
You are not a scientist ndiyo sababu unapima madhara ya chanjo kwa mwendo wa mwezi mmoja. Wewe subiri miaka kumi ndipo ujue mbivu na mbichi.Ulijuaje tumevuka na data zilipigwa marufuku ikabaji one man show.
Yeye ndio ikabaki source ya taarifa zote za uviko. Waliokuwa wanaujua kweli wameamua kurekebisha mambo move on brother, jamaa alishasema asipangiwe ulitegemea nini.
Bahati nzuri au mbaya alikuwa hana nguvu kuzuia data za hospitali za taasisi kama Rugambwa,Agakhan,Buhando,KCMC n.k ambazo maaskofu walikuwa na data real time za uviko na walikuwa wanatoa nyaraka za taahadhari tofauti na maneno ya Bw.mkubwa.
Mi nimechanjwa single dose 12 Aug no side effects mpaka sasa.
Iran na Cuba na India wanachanja kwa chanjo yao unadhani lwenye mataifa hayo kuna watu wanapiga hela kwa covid feki.
Tusifanye TZ ni unique dunia nzima
Vifo vipo vingi toka wakati wa JPM, sema kwako ndio ilikuwa haijafika.Huyo aliyegushi data, amekuambia za kweli ni zipi? Nani anayegushi data kuliko wafanya biashara wa chanjo? It is inevitable kwamba we are different in many ways and our difference is our uniqueness. Tulitoboa. Hatukusia mauti mitaania kama sasa. Mbona hata sasa hawatanganzi lakini tunaona vifo vingi sana vya covid na wala havifichikki?
Vifo vipo vingi toka wakati wa JPM, sema kwako ndio ilikuwa haijafika.
Hivi hushangai kwa nini walitoa tamko la kuficha data kama wana nia njema. Bora wangekaa kimya kuliko kupiga marufuku data kwa nguvu kubwa na vitisho.
Naunga mkono hoja kwa tuliofiwa na wapendwa wetu kisa hii delta tunaelewa hali ilivo ngumu na huu ujinga wa gwajima kupotosha watu kuhusu huu ugonjwa akamatwe na atoe ushahidi wa kisayansi Bila hivo apate adhabu Kali. Huyu hafai kazidi kiherehere akatwe tu hizo pende zilizoota kupita kiasi
Vifo vipo vingi toka wakati wa JPM, sema kwako ndio ilikuwa haijafika.
Hivi hushangai kwa nini walitoa tamko la kuficha data kama wana nia njema. Bora wangekaa kimya kuliko kupiga marufuku data kwa nguvu kubwa na vitisho.
Ni heri angeishia tu kwenye msimamo wake wa kuikataa chanjo. Lakini kusema viongozi wa serikali wamehongwa ili kuingiza chanjo, wamechanjwa kwa kufake, waliochanjwa watakufa in 2 years, yanaashiria serikali imeazimia kuangamiza raia wake.. Sidhani kama serikali inapaswa kunyamazia haya.Wanabodi,
Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita
View attachment 1881240
Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye mahusiano ya ndoa, ndoa ni hiari, na sio ule uhiari wa choice kama kwenye uchaguzi, mtu uko huru kujiandikisha kupiga kura, au kutokujiandikisha, na hata ukijiandikisha, bado uko huru kupiga kura au kutokupiga kura, hiyo na uhiari wa choice, lakini uhiari wa chanjo ni uhiari wa consent, kama ulivyo uhiari wa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, uhiari wa ndoa unaishi hapo, kinachofuata ni wajibu, kuihudumia ndoa sasa inakuwa sio hiyari tena, ni wajibu, mwanaume lazima awajibike kumhudumia mkewe, sio hiri ni wajibu, na wanandoa hao wana wajibu wa kuihudumia ndoa, ndia maana kwenye ndoa za kiafrika kuna baadhi ya malalamiko ya wanawake wa kizungu, huku kwetu huwezi kuyasikia. Wenzetu wazungu, hata baada ya kuingia kwenye ndoa, ili mwanandoa kupata huduma za kindoa, lazima aombe tena ruhusa, aridhiwe ndipo akubaliwe, hivyo hiari inaendelezwa hadi kwenye huduma wakati ni wajibu.
Hivyo ndivyo ulivyo uhiari wa kwenye hii chanjo ya Uviko, kwa vile lengo la chanjo ni kinga, kuzuia kuenea kwa uviko, una chanja ili kujikinga wewe na kuwakingi wengine, mtu unapokataa kuchanja, sio tuu unahatarisha maisha yako, bali una hatarisha kuwaambukiza wengine, hii ya kuwakinga wengine sasa sio choice, ni wajibu. Ili kupata chanjo ile hiari ni kwenye kuridhia tuu, yaani ku consent, na sio hiari ya choice kuamua uchanjwe au usichanje, hivyo baada ya nchi kukubali chanjo, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kuchanja, akifuatiwa na viongozi, kitendo hicho japo ni hiari, hiyo ni silent marching order, amri ya kimya kimya, hivyo viongozi wote wa umma, wana wajibu wa kuchanja, sio hiari!. Jee viongozi wetu wote wa umma, wanajua, kuwa baada ya nchi kuibali chanjo na Rais Samia na viongozi wakuu kuchanja, kiongozi yoyote wa umma, anayeipinga chanjo hadharani, kitendo hicho ni Insubordination?. Tunamuomba Mhe Rais Samia, "Please stop this nonsense !"
True Story Yangu na Insubordination.
Mimi nilikuwa mtumishi wa umma pale TBC, enzi hizo TVT, nikiendesha vipindi vya siasa, "Ulingo wa Siasa", tayari nchi yetu ilikuwa ndani ya mfumo wa vyama vingi, hivyo mtu kuwa mtumishi wa umma, hakuna ulazima kuulizwa uko chama gani. Wakati Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, katika vipindi vyangu niliwakaribisha wanasiasa. Kwa vile CCM ndio chama tawala na Tanzania tunaingia chaguzi zote huku CCM ikiwa tayari na uhakika wa ushindi, hivyo nikiwaalika wagombea wa CCM kwenye urais, wanakuwa busy, after all si uhakika wa ushindi upo, ila ukiwaita wapinzani ni fasta.
Baadhi ya watu wakajenga dhana kuwa huyu mwendeshaji wa kipindi, Pasco Mayalla ni pro-oppostion, anawapendelea wapinzani!. Hawajui kuwa ukiwaalika CCM, wanakuwa busy. Nikaenda kupiga kambi Zanzibar, huko nako hali ni ile ile kwenye wagombea urais.
Baada ya uchaguzi, ikafanya tathmini, na wafanya tathmini, ikaonekana Pasco Mayalla ni kama alipendelea upinzani!. Wakatumwa watu kutoka huko walikotumwa, wakaja pale TBC, nikaitwa ofisini kwa Mkurugenzi, nikatambulishwa kwa wageni, na kuulizwa mimi ni chama gani?. Kwanza nilishangaa swali gani hili?!, kwani kuwa mtumishi wa umma, kuna takwa la chama?!. Nikawajibu watu wale ukweli wangu kabisa kuwa mimi Pasco Mayalla sina chama chochote!. Kumbe jibu hilo ni kama kosa!. Mahojiano yakaishia hapo. Baada ya muda, nikaletewa barua ya summary dismissal kwa kosa la insubordination!. Barua ya termination kabla haujakabidhiwa, yule mtu wa despatch anaanzia getini, anapewa FFU wawili wenye silaha, na kuja huku wameshika silaha standby!. Ndipo unakabidhiwa barua, kisha askari hao wanakusindikiza hadi kwenye meza yako. chukua kilicho chako, kabidhi ofisi, kisha unasindikizwa hadi nje ya geti!. Kiukweli nililia!.
Kesho yake nikaenda Utumishi kuuliza hiyo summary dismissal imekaaje, ndipo nikajulishwa kwa mujibu wa utumishi wa umma, ukifukuzwa kazi kwa insubordination, hata kama ni majungu, hakuna popote pa kwenda, you just pack and go!.
Kiongozi wa Umma Kupinga Chanjo Hadharani Sio Tuu ni Usaliti, Bali Pia ni Insubordination!.
Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, lazima wasimame pamoja na kuwa kitu kimoja na kuzungumza kwa kauli moja. (must stand as one). Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.
Na kama kuna kiongozi yoyote wa umma, hukubaliani na chanjo, hakubaliani na msimamo huo wa serikali, wa kuhimiza Watanzania tuchanje, then kiongozi huyu unapaswa kunyamaza kimya. Kama rais anesema tuchanje, anahimiza Watanzania tujitokeze kwa wingi kwenda kuchanja, sio tuu ili kujikinga sisi wenyewe, bali kuwakinga wengine na kulikinga taifa, kitendo cha kiongozi yoyote wa umma, kujitokeza hadharani, kuwapotosha Watanzania tusichanje, huku ni kwenda kinyume cha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni highest order of insubordination ambayo haipaswi kuvumiliwa au kufumbiwa macho.
Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi ni usaliti, mtu wa aina hii anatakiwa kushughulikiwa haraka iwezekanavyo kama wanavyoshughulikiwa wasaliti wengine wote, na jinsi kosa la insubordination linavyoshughulikiwa na hatua ya kwanza ni kiongozi wa aina hiyo, kuachia ngazi kama mtumishi wa umma.
Kama mtu aliweza kupewa summary dismissal kwa kudhaniwa tuu kuwa sio mwenzetu, jee mtu anayepingana na rais wazi wazi katika jambo lenye maslahi kwa taifa, anaachajwe kuendelea kuipotosha jamii?!. Au Tanzania tuna watu wa aina mbili, the touchables, na untouchables?. Tunakuomba sana Mhe, Presidaa SSH, P'se Stop This Nonsense!.
Wasalaam
Paskali
No noo just use your common sense achana na " personality cults" kama JPM na utawala uliopita walikuwa wana nia njema wasingepiga marufuku data za covid na kutoa vitisho kwa atakaetoa data.Inahitajika kukaa kwenye neutral point ili kujadili suala hili rationally.
Ndio tungejua ukweli waliposema ugonjwa umeisha sasa hivi wanaonekana wana dhambi ya kuua watu wengi kwa kutudanganya ugonjwa umeisha.Wangetoa data ndio watu wasingekufa mkuu?!
Kwa maslahi ya nani una ushahidi au ndio data za Gwajima Chameleon ?
Nimeshachanja single dose. Wanaochanja hawapigi vuvuzela.Chanjo zinaexpire huko, sombeni watu mjazane kwa Mkapa hiyo Jumapili….. la sivyo mtajua hamjui.
Nimeshachanja single dose. Wanaochanja hawapigi vuvuzela.
Kwa hiyo wewe ndio umetumwa kuja kupendekza aina ya mashitaka yanamstahili anayeenda kinyume na maamuzi ya viongozi wake hata kama yana walakini?Naunga mkono hoja hoja, hili mimi pia nililizungumzia...
katika muktadha mbili
1. A Collective Responsibility Clauses
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com
2. Insubordination
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com
P
Hakuna kitu unajua bw mdogo.Msiwe wachonganishi, kunatofauti kati ya kupinga na kutofautiana mawazo. Unaweza ukawa na wazo mbadala kwakua una experience zaidi au ya tofauti katika jambo hilo na kiongozi; je inamaanisha umempinga?
Watu wa jinsi yenu ni watu wasiowastaarabu tena hamfai kwa jua wala kwa mwezi kwakua hamna leadership skills; kiongozi mzuri ni yule anayeweza ku embrace diversity na akawa na empathy katika maamuzi yake.
Mh. Rais ameonyesha high skills katika leadership isipokuwa nyie wapambe nuksi mnaoendekeza worshiping kwa watu ambao watawapa lift katika maisha yenu.
Watu hatari kwa maendeleo ya jamii yeyote ile ya kistaarabu na yenye kujua ku engage wenzao....Mnaonyesha kutoku pevuka kwa fikra zenu tena ni ma dikteta wabaya wasiojali hisia za wenzao.
Mwandishi katika hili ni mmoja wa watu wa jinsi hiyo..Acheni kuwa makuwadi wa wenzenu, work hard earn respect, never force!
Nahamsisha familia yangu tu basi. Wengine hawanihusu.RC Makalla kaondoa masharti na vigezo vya umri, hamasisha watu wakachanje pale Taifa…. la sivyo zitawadodea pamoja na kutesti mitambo.
Huyu Gwajizo anapotosha umma na kuhadaa napenda awe na ushahidi na tafiti aliyofanya sio kuhadaa watu hovyo. Mtu mwenyewe hana credibility ya mambo anayo fanya na kusimamia alichokisema, so anatafta kikiWasikamatwe waliotengeneza kirusi na chanjo zilizotengenezwa kwa kutumia teknolojia mpya ya kutotumia sehemu ya mdudu bali inaingia moja kwa moja kwenye chembe hai ya mwanadamu na bado ikaruka testing phase kucheki km ni salama kwa wanadamu akamatwe Gwajima anaehoji usalama wa chanjo kweli!... hapa utakuwa umejihoji vizuri mkuu?!
Huyu Gwajizo anapotosha umma na kuhadaa napenda awe na ushahidi na tafiti aliyofanya sio kuhadaa watu hovyo. Mtu mwenyewe hana credibility ya mambo anayo fanya na kusimamia alichokisema, so anatafta kiki