Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi

Kitu kikubwa ni kwamba christians hatutaki kusikia ukweli huu kwamba mou na makanisa ni upendeleo ulio wazi.
Fedha za Kodi ya umma yapaswa kuhudumia wananchi na sio biashara za watu.
Sijaona kitu chochote kikubwa toka kwako.

Kuna swali mwenzako pale juu aliulizwa akakimbia, hebu msaidie wewe kutoa jibu...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hizo hospitali sio zake ni za kibiashara .
Hao catholic wanaweza kuzitumia hizo kujiimarisha wao kwenye biashara zao nyingine. Mf. Kuajili RC tu hivyo kuimarisha hata taasisi zao nyingine kama shule na vyuo.
Je, itakuwa sawa hii?? Wakati wanatumia Kodi ya umma ambayo ingeweza Jenga hospitali nyingine za serikali.
Sio lazima serikali ijenge hospitali zake kila mahali. Kama eneo tayari lina hospitali bora za kanisa, msikiti, Wahindu, Agha Khan, za watu au makampuni binafsi hakuna haja serikali kujenga hospitali eneo hilo.

Lengo ni raia wapate Huduma bora za Afya kwa ukaribu na bila misongamano. Pia hospitali zote ni za kibiashara, tofauti ni kiasi cha gharama tu ambacho wateja wanalipa.

Halafu makanisa , misikiti, makampuni au watu binafsi wakijiimarisha kwa hospitali na shule zao bora tatizo liko wapi??
 
Kwa nini serikali ijenge Hospitali sehemu zenye Hospitali kubwa na za kisasa??
Ziwe Hospitali za kanisa au za msikiti.
Hizo zitakuwa akili au matope?!
Nchi hii kuna mikoa na wilaya wananchi wanasafiri mamia ya Kilometa kufuata Hospitali nzuri, serikali ijenge hospitali huko kwanza kabla ya kutaka kushindana na kanisa kuongeza hospital maeneo yenye hospitali bora tayari.
Usinikumbushe kauli ya Henry Kissinger ya kuwa uKiwa adui wa Marekani ni hatari lakini ukiwa rafiki wa Marekani ni kujitakia kifo!!! Yawezekana kauli ya Henry imetafsiriwa katika mikitaza tofauti Ulimwenguni ikiwemo na hapa nchini.
 
Hizo hospitali sio zake ni za kibiashara .
Hao catholic wanaweza kuzitumia hizo kujiimarisha wao kwenye biashara zao nyingine. Mf. Kuajili RC tu hivyo kuimarisha hata taasisi zao nyingine kama shule na vyuo.
Je, itakuwa sawa hii?? Wakati wanatumia Kodi ya umma ambayo ingeweza Jenga hospitali nyingine za serikali.
Waambie serikali waondoe ruzuku kwenye hizo hospitali uone kama hazitaendelea tena kwa ubora wa hali ya juu. Ruzuku wanayopewa KCMC au Bugando ni kuwawezesha walalahoi ambao ni raia serikali wapate huduma kwa gharama nafuu, vinginevyo zitakuwa kama Agha Khan na bado hazitakosa wateja.

Sasa kama unafikiri kuliko kutoa ruzuku ni bora serikali wajenge hospitali nyingine kubwa pembeni ya KCMC, Bugando, Ikonda n.k kwa hofu ya makanisa kujiimarisha basi wahimize wafanye hivyo ili moyo na kichwa chako vinavyoweweseka kwa wivu wa udini vitulie.
 
Kitu kikubwa ni kwamba christians hatutaki kusikia ukweli huu kwamba mou na makanisa ni upendeleo ulio wazi.
Fedha za Kodi ya umma yapaswa kuhudumia wananchi na sio biashara za watu.
Hizo unazoziita biashara za watu zinahudumia hao wananchi ambao walitakiwa kuhudumiwa nazo.
 
Kama unakiri kuwa wewe huendekezi udini nijibu hapa.

Hospitali ya RC kufadhiliwa na pesa ya Kodi ni sawa??

Hospitali ni ya RC, hivi unadhani hawawezi weka upendeleo kwa watu wa dini Yao katika utoaji wa Ajira??

Vipi wakitumia asset zao kuimarisha biashara zao za Chini kama shule,vyuo,n.k, kutakuwa kuna haki hapo?? Kumbuka wanatumia Kodi na serikali hairuhusiwi kujenga hospitali nyingine kushindana nao. Serikali itakuwa inatenda haki hapo katika kuwaletea Ajira raia wake??
Kwa nini wewe unataka serikali ijenge Hospitali za kushindana na Hospitali za binafsi wakati kuna maeneo ambayo hayana hata Hospitali au madaktari kabisa kwa kuanzia??
 
Baada ya salah ya leo nitaombea watanzania wasiingie kweny mgogoro wa kdini ,wala wasiwe na matabaka .

Kila mtu na imani yake mambo ya dini ni Binfsi.
 
Thamani ya hicho chuo na mipesa Taasisi za kikristo zinapata ni sawa na kulinganisha kisima na ziwa victoria.

Mabilioni na manufaa wanayopata wakatoliki kwa hiyo MoU ni sawa na vyuo hivyo 100

Chuo kilitolewa mara moja , wakati mabilioni kwenda kwa kanisa yanayolewa kila mwaka.
Ni aibu mpaka leo Waislam wana Chuo kikuu kimoja tu Tanzania nzima. Tena cha kupewa Bure🤣🤣.Wakati wangeweza enda Kigoma ambapo uislam ni karibia 80% ya watu au Zanzibar, Lindi na kufunguwa Matawi ya chuo na kupata hela ya maana. Tatizo kubwa la hawa watoto wa kijakazi ni wivu, Husda na Chuki kwa Baraka na amani walionayo Wakristo! Kubalini kuwa aliewai kawai! Ata mkitoa mapovu yajaze pipa jueni kuwa Mpewa Apokonyeki. Dini yenu inawachanganya sana mpaka amjui nini ukweli nini ushetani: kwingine mnaambiwa kuwa Kitabu (elimu dunia na haram)- Bookharaam-- Kwingine mnaambiwa mtafute elimu ata mpaka uchina!!Ukisoma maandiko yenu Waislam zipo khadithi juu ya Vitabu vyenye elimu batili na Elimu iliyo bora(ya china) ! Why China???Wafuasi wa Uslam wa karne ya 6-7 Walikuwa wanaenda China ki Biashara, huko walijifunza Elimu mbalimbali zikiwemo za kitibabu, Utawala etc. na China waliwapa Kiwanja Ukajengwa Msikiti China mwaka 627. List of mosques in China - Wikipedia.
Kuna kisa kingine hapa, (Mpaka Leo hii- Waislam wameamisha ilipo Kibra mara tatu- Ukisoma historia Kibla ya Msikiti huu aielekei Macca!! Na pia Macca ambayo Mohamed alikuwa anaishi na kuielezea sio hii Macca ya Saud ya Leo-Quraan imebadilishwa (kuwa Edited zaidi ya mara 4) .Next time tukiwa na Muda tutaidadavua yote! Hakuna Dini ya kweli wala ya haki hapa
 

Attachments

  • F8E85B7D-7D4C-4876-B45B-F044840F547E.jpeg
    F8E85B7D-7D4C-4876-B45B-F044840F547E.jpeg
    129.1 KB · Views: 2
  • E925AB95-CC82-4682-88D8-C48602DA311C.jpeg
    E925AB95-CC82-4682-88D8-C48602DA311C.jpeg
    154.4 KB · Views: 2
Sitegemei kama kuna siku watakaa waelewe, wakishaona neno "kanisa" kwenye mada yoyote huwa wanachanganyikiwa akili wanaziweka pembeni, kinachobaki hapo ni kurukia mada kwa mihemko tu, matokeo yake swali moja tu akiulizwa anajidai halioni!.

Ajabu bado hajifunzi, usishangae kesho tena akarudia kuandika utumbo huo huo aliokosa majibu yake leo, udumavu wa kifikra ni jambo baya sana, they live and act like robots.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hospital za Bugando,(catholic)KCMC(lutheran) St. Joseph (Catholic) Peramiho(catholic) kwa miaka zaidi ya 60 zinatoa Matibabu kwa Raia wote wa Tanzania bila ya kujali Dini na ikumbukwe pia ata kabla ya uwepo wa Bima ya Afya- pia kutokana na kuwepo kwa matibabu bure kwa Watoto chini ya miaka 5 pamoja na huduma za clinic kwa mama wajawazito na matibabu bure ya Wazee hii ndo ilipelekea Serikali kuamuwa kiwashika mkono Wakristo kuwapa pesa za kusaidia ili Hospital zao ziweze endelea toa matibabu kwa makundi haya pamoja na wangojwa wa TB,Kisukari,HIV na Ukoma ambao pia tiba zao ni Bure kwa mujibu wa Serikali yetu pendwa ya JMT. Waislam tatizo wanajitoa ufahaam na wanalialia kama watoto wadogo na kudeka juu! Maisha ya raha na amani wanayoyaota kila kukicha ayapo ata huko kwenye nchi zenye 100% islamic Governed Governments, Tena wote wanakimbilia nchi wanazoziita za Makafir UK,USA etc. Kuuelewa Uslam ni ngumu mno kwa kweli
 
Sio lazima serikali ijenge hospitali zake kila mahali. Kama eneo tayari lina hospitali bora za kanisa, msikiti, Wahindu, Agha Khan, za watu au makampuni binafsi hakuna haja serikali kujenga hospitali eneo hilo.

Lengo ni raia wapate Huduma bora za Afya kwa ukaribu na bila misongamano. Pia hospitali zote ni za kibiashara, tofauti ni kiasi cha gharama tu ambacho wateja wanalipa.

Halafu makanisa , misikiti, makampuni au watu binafsi wakijiimarisha kwa hospitali na shule zao bora tatizo liko wapi??

Tatizo lipo.

Hospitali siyo huduma kwa wagonjwa tu, bali ni ajira pia. Sasa kama una hospitali ambayo priority ya ajira ni watu wa imani yao hilo ni tatizo!. Inanyima watu wa imani nyingine fursa. Ila kama serikali inajenga hospitali zake, Itakabwa mashati iajiri bila upendeleo wa kiimani.
 
Tatizo lipo.

Hospitali siyo huduma kwa wagonjwa tu, bali ni ajira pia. Sasa kama una hospitali ambayo priority ya ajira ni watu wa imani yao hilo ni tatizo!. Inanyima watu wa imani nyingine fursa. Ila kama serikali inajenga hospitali zake, Itakabwa mashati iajiri bila upendeleo wa kiimani.
Uliulizwa swali kule juu mpaka sasa unalikimbia tu karibia masaa 24!.

Unachofanya sasa ni kuhangaika tu kutafuta vijisehemu ujiegemeze, kama hospitali ni za makanisa unataka kuwawekea masharti kwenye mali zao?

Kwani makanisa ndio yaliifuata serikali kuiomba iwape nguvu kuziendesha, au ni serikali ndio iliwafuata wenye makanisani waliojenga hospitali zao kuwaomba iwasaidie kutoa huduma kwa watu wake?

Madai yenu kila siku hayana msingi, ni kulalamika hovyo tu bila sababu, ajabu bado mnahangaika na kulilia hospitali zisipewe misaada wakati hamjiulizi maeneo mangapi nchi hii bado hayana huduma? hizo hospitali zikiachwa kupewa hiyo misaada, kisha zikapandisha gharama za matibabu, mtaweza kuzimudu?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lipo.

Hospitali siyo huduma kwa wagonjwa tu, bali ni ajira pia. Sasa kama una hospitali ambayo priority ya ajira ni watu wa imani yao hilo ni tatizo!. Inanyima watu wa imani nyingine fursa. Ila kama serikali inajenga hospitali zake, Itakabwa mashati iajiri bila upendeleo wa kiimani.
Kama ulikuwa hujui serikali inaajiri madaktari wake pia katika hizo hospitali za kidini.

Halafu vipi na upande wa Kanisa nao wakianza kudai watu wao wapewe ajira za kuchinja machinjioni kwa sababu machinjio ni mali ya umma na kodi za raia wote ndizo zinatumika kuhudumia.
 
Wakati sakata like linapamba moto, liliibuka suala la mkataba wa serikali kudhamini makanisa Kwa fedha ya umma.

Hoja yangu inajikita kwenye hoja kwamba sakata la DP world na mkataba wa makanisa vinahusiana sana .

Kutokana na hili binafsi napata picha kwamba hili la do world ni kama kisasi Kwa mkataba ule wa makanisa ndio maana tuliona jamii yote ya waislam ikiunga mkono bila hata kuhoji.

Sasa baada ya kutafakari Kwa kina Leo
Je serikali kudhamini makanisa ni sawa??? Binafsi nimegundua ni hapana ,si sawa.
Kama kulikuwa na ulazima sana kutokana na serikali kutokuwa na uwezo kama jamii kubwa ya wakristo ilivyokuwa inadai,basi walau hayo makubaliano yangewekwa Kwa muda mfupi wakati serikali ikijipanga kujenga hospitali zake kama ilivyo wajibu wake

Katoliki ni kanisa kubwa sana hapa nchini lenye muunganiko na mshikamano wake na miradi yake. Wakristo wapo wengi ambao wakiweza kujib sum up wanaweza wazidi hata wakatoliki. Lakini huo umoja hauwezekani kutokana na tofauti zetu. Je siku RC wakisema watumie miradi yake hiyo ambayo inakuwa supported na Kodi ya serikali kujiimarisha wao kama wao,itakuwa sawa???

Mf.watumie kigezo Cha kuajiliwa kwenye hospitali zao, lazima uwe mkatoliki au uwe umesoma kwenye shule zao ili wajiimarishe kibiashara itakuwa sawa hiyo?? Kumbuka at the same time serikali haitakiwi kujenga hospitali nyingine kulingana na makubaliano Yale ya kanisa.

Ikumbukwe pia kipindi hicho wakati makubaliano hayo na makanisa yanawekwa ambapo waislam waliwekwa kando kutokana kuwa minority na kutokuwa na economic muscle za kumiliki mahospitali . Lakini Leo nguvu sio population Tena Bali ni uwezo wa kumiliki uchumi. Ndio maana Kuna kipindi christians humu as many as we are, lakini Bado tulikuwa tunalialia Azam tv Wana udini. Wamepata wapi jeuri hiyo?? Uchumi.

Hivyo nikisimamia kwenye hoja hizo, binafsi ninahisi dp world ni kisasi au kuna namna waislam wametupiga japo sijajua how.

Kama taifa ambalo tumechagua kuwa si la kidini,ambalo pia ni lina dini nyingi ndani yake, serikali inapaswa kujitenga kabisa na dini na kutimiza wajibu wake Kwa watu wake.

Punguza udini
 
Una hoja ya msingi , ila kuna vipengele siwezi kusema upo sahihi au umekosea sababu sina ufahamu wake kiundani

Mf. DP world sidhani kama kuna mafungamano na waislamu ila MoU inafahamika ndio maana TEC wanauwezo wa kuivimbia serikali
 
Kama ulikuwa hujui serikali inaajiri madaktari wake pia katika hizo hospitali za kidini.

Halafu vipi na upande wa Kanisa nao wakianza kudai watu wao wapewe ajira za kuchinja machinjioni kwa sababu machinjio ni mali ya umma na kodi za raia wote ndizo zinatumika kuhudumia.

Yaani unalinganisha ajira za kuchinja ng'ombe na udaktari, unesi, ulinzi, ufagizi, ufuaji mashuka, upishi, umesenja, ukarani, udobi, na ajira kibao zinazotolewa na hospitali moja?.

Mimi sijawahi kuona tatizo kama wakiristo wanataka kuchinja wachinje tu hakuna shida, Wakiprove kuwa walitamka jina la YEHOVA au ELOHIM wakati wa kuchinja nitakula, maana YEHOVA au ELOHIM inamaanisha Mungu Muumba ambaye kwangu ni huyohuyo ALLAH, ila wakisema walichinja kwa jina la YESU hapo sitakula ka sababu YESU siyo Mungu.
 
Mjinga wewe. Eti serikali inadhamini kanisa , we ni mweupe. Alafu sio mkristo. Yani kifupi wewe huna akili. MoU hukijui unaongeaongea. Iweke hapa tuone. Majinga sana maislam.
Mjinga baba Yako,Hana akili baba Yako.
 
Una hoja ya msingi , ila kuna vipengele siwezi kusema upo sahihi au umekosea sababu sina ufahamu wake kiundani

Mf. DP world sidhani kama kuna mafungamano na waislamu ila MoU inafahamika ndio maana TEC wanauwezo wa kuivimbia serikali

Hapa nimesema dp world Kuna mafungamano na waislam Kwa ku assume. Kama unakumbuka wakati suala lina trend, Muslim community yote ikiunga mkono bila hata kuhoji.
Ukizingatia pia ni waarabu na mkuu wetu wa nchi(final say) ni Muslim unaona Kuna mafungamano fulani baina Yao.
 
Punguza udini
Ukipata muda fukua nyuzi zangu, ukiona Mimi ni Muslim weka hapa ushahidi.
It's not about religionism Bali ni kitu ambacho nimegundua mwenyewe baada ya kutafakari.
 
Back
Top Bottom