Nauliza tu sista, hivi wanaume wa hivo mnawapendeaga nini??Mkuu wewe ndio K nini!! Pole sana, pambana na hali mkuu. Kidonda ulikilea mwenyewe jitahidi ukitibu.
Tena sanaDada kajidhalilisha sana asee
Navojua mwanaume anayejua kusimama kama mwanaume hawezi kuishi na mwanamke kama huyo J. They are not compatibleMie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Ni kweli mkuu. Ila kama ni Muhaya anapigwa katereroMke hapigwi ngumi
Inategemea....Mke hapigwi ngumi
Mwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .Beef Lasagna kama sijakuelewa shogangu!
hebu toa ushauri kwanza ulitaka afanyeje
Never argue with a fool huyu dada Ana matatizo ya akili muacheni.....Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.
Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.
Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.
View attachment 681349
Apigwe aumizwe akae kimya, kwasbabu aliyempiga ni mchaga na katibu wa CHADEMA.Beef Lasagna kama sijakuelewa shogangu!
hebu toa ushauri kwanza ulitaka afanyeje
Apigwe aumizwe akae kimya, kwasbabu aliyempiga ni mchaga na katibu wa CHADEMA.