Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Mke wa aina hii ni majanga na siku akipata bwana pembeni wanaweza shirikiana hata kukuua warithi nyumba!
 
Kwani hapa tunajadili mada au tunaambiana kwamba ndo huwa tunafanya. Kwanini uchukulie personal kwangu?
kwa sababu unatumia nguvu kubwa kumtetea huyo mwanamke aliyekuwa anashirikiana na hg kula ganchi kwa mumewe, kama ulisoma comment yangu ya kwanza na kuilewa, concern yangu kwa hyo mama wa kwenye daladala sio kula ganchi au kubana hela, kilichonichosha ni yeye kushirikiana na hg kula ganchi ya hela ya matumizi.
WEKA PALE TUNAPOWEKAGA.
 
Kwamba ulitaka kila unalosema kila mtu asapoti na kukubaliana na wewe? Inawezekana vipi?

Sijatumia nguvu yoyote bali najaribu kuwaza scenario nyingine. Kama nilikosea kutoa mawazo yangu basi am sorry naishina hapa.
 
ubahili ndiyo unaomsumbua huyu. Hiyo tigopesa anapata vipi fedha kama hakumpa password mwenyewe?

Hayo ya watoto kutoa matusi alitakiwa na yeye awe na msimamo asiruhusu hivyo vitu.
Mke anapewa password ili achukue pesa pale mume anapokuwa hawezi kufanya miamala. Aidha mume akiwa taabani kitandani hajiwezi. Na sio kuchukua pesa kiholela kwa kuiba iba bila kuomba
 
Hao ni kina Mwajuma Ndaka Ndefu, mwanamke anaye tukana matusi machafu kwa watoto mala nyingi hua ni wale wa uswazi
 
Bado mna utoto.Mmeoana mwaka mmoja tu ndiyo unaweweseka?Mkwe bado haujakua.
Hivi ukikua kumbe mwenza kukosa uaminifu inakuwa poa tu? Mwebza matusi, gubu kukununia na kufanya ujose amani nyumbani ni poa tuu. Ninyi ndiyo wazee mnaotoka kazini mnapitiliza bar, kurudi nyumbani saa6 mkali kama mbogo watoto wanatetemeka vitandani. Ok, nyie ndiyo wazee wakomavu na ni mfuano wa kuigwa[emoji3061]
 
Kwamba ulitaka kila unalosema kila mtu asapoti na kukubaliana na wewe? Inawezekana vipi?

Sijatumia nguvu yoyote bali najaribu kuwaza scenario nyingine. Kama nilikosea kutoa mawazo yangu basi am sorry naishina hapa.
kuna vtu vingine unatakiwa kutumia common sense tu, kuna mambo ambayo hata kama unafanya kwa mumeo hutakiwi kumshirikisha mtoto au hg, hukipingana na hilo tunahisi na wewe ni mmoja wao, period
 
Anaweza kuweka Tv mbili na bado akaja kufanyiwa vitimbi huko chumbani.

Kuna baadhi ya wanawake wanapenda tu vayolensi bila sababu ya msingi.
 
Kukua si umri.Ni kuenenda na mazingira bila kelele na watu kuhisi paradiso ipo kwenye himaya yao.Pia ni kukubali kuumia wakati dunia inajizungusha bila grisi kwenye muhimili wake.Yaani "you don't bother much"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…