Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Na ukiona mke anadokoa visenti vidogo ujue humpi pesa kwaajili ya matumizi yake binafsi.
Next time nunua Tv mbili moja weka chumbani uwe unapumzika huko bila bugudha. Tv ya sebuleni waachie mke na watoto. Ila mke wako ana mdomo nadhani hicho ndo ulimpendea tangu mwanzo.

Wengine tunatamani kupewa likizo hata ya siku mbili twende kwetu hatupewi .
Mwanzoni wanawake wa dizaini hii huwa wanafurahisha nafsi, moyo na masikio kwa sauti yake nzuri.

Uchangamfu, tu maneno maneno huo ni upande wa Mungu ila mdomo huo huo akiutune kidogo unaanza kuonja jehannum ya maneno ya karaha kutoka kwake.

Mzee hapo pambana na hali yako, yakikushinda mpandishe cheo awe bi mkubwa.
 
Umuofia kwenu!!

Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;

1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.

"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."

"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah

2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.

3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.

4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.

5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.

6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.

Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?

Ndoa..........mh!
Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..." 😂😂😂 huyu kweli ilikuwa ni lazima umtafutie nyumba ndogo au umpimzishe mpaka nguvu za kiume zitakapokuisha.
 
sina details sn ila nahisi unambana sana waifu wako, kiasi anakosa visenti vya matumizi yake madogomadogo (hadi akuibie). hiyo sio poa, maana mwingine akianza kumpa, ndio itakuwa tamati ya hiyo ndoa.

hayo ya kuangalia tv, ni madogo, huna haja ya kushindana nao, ww una options nyingi. wape space, na hizo ndo sacrifice za ndoa.

hayo mengine ya kurudisha mke kwao ndo nayaskia leo, hivi bado yapo miaka hii? ili kitokee nini? na je akipata sweet baby mwingine huko? utarudi hapa kufungua uzi mwingine au utaendeleza huu?

Akipata mwingine ndio itakuwa kuvuja kwa pakacha Mkuu.
Hilo ndio lengo la mtoa mada kama hujamsoma vizuri
 
ubahili ndiyo unaomsumbua huyu. Hiyo tigopesa anapata vipi fedha kama hakumpa password mwenyewe?

Hayo ya watoto kutoa matusi alitakiwa na yeye awe na msimamo asiruhusu hivyo vitu.
Unaongea kama vile jambo rahisi rahisi tu kambadili tabia mtu mzima.
Hapo hata aweke msimamo vipi hayo matusi ni tabia ipo kwenye ubongo na damu.
AmiIdisha msimamo wata achana tu.
 
Umuofia kwenu!!

Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;

1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.

"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."

"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah

2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.

3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.

4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.

5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.

6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.

Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?

Ndoa..........mh!
Asirudi huyo,akae huko huko
 
Kuishi mwenyewe ni bora zaidi, kuna wanawake kazi yao ni kukupa stress 24/7, unakuta jitu libinafsi na wala halina shukrani hata ulifanyie nini!

Mimi wangu alianza chokochoko za naenda kwetu, huo ukawa wimbo kila muda. Kuna siku akajichanganya, naomba nauli naondoka, nikampa chaap, asubuhi nikampeleka Ubungo. Sasa mwaka wa 3 huu maisha yamekuwa na amani sana, kila siku analilia kurudi..huwa nawaza arudi kunipa stress tena?

NB: Mnaotaka kuoa mjitafakari mara mbili, kuna muda wale jamaa wa KATAA NDOA, wana hoja!
Hii ndoa illishajifia.
 
Bado hujawajua wanawake vizuri, kwa andiko hili fupi inaonyesha wewe unatabia zifuatazo

1.Humpi mkeo pesa ya matumizi,mengi unapendaku kufanya wewe kama wewe.

2.Wewe ni mwanaume mbinafsi.

3. Elfu 5 kitu gani kwa mkeo kuchukua,mpe Uhuru wa hizi pesa zako ndogo ndogo.
 
Umuofia kwenu!!

Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;

1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.

"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."

"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah

2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.

3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.

4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.

5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.

6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.

Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?

Ndoa..........mh!
Haya yote haukuona kipindi cha uchumba?
 
Back
Top Bottom