Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Achana nae njoo kwangu kwake uwe unalala tu, uje nikupe mambo
 
[emoji23][emoji23]
 
Ungerekebisha tatizo
Unawahi hosp unatibiwa

Dharau zingine wanaume mnasababisha
Hutimizi ndani afu unachepuka hadi mke anakufumania..lazima udharaulike
Ni kama kutotoa matumizi ndani na huduma zingine heshima itashuka tu
 
Unamhamasisha mwenza msaliti?

Inaondoa hamu kabisa

Ukitaka kuamii usaliti sumu subiri upigwe tukio uone kama una hamu na huyo mtu
 
Ungerekebisha tatizo
Unawahi hosp unatibiwa

Dharau zingine wanaume mnasababisha
Hutimizi ndani afu unachepuka hadi mke anakufumania..lazima udharaulike
Ni kama kutotoa matumizi ndani na huduma zingine heshima itashuka tu
sasa hapo hajasema tatzo ni mume wake kukosa nguv... All in all huwez kutoa maneno ya kejeri kwasabab tu mwenza wako amekukasirisha... Kuna maneno ukiyatoa make sure mna achana hapohapo
 
sasa hapo hajasema tatzo ni mume wake kukosa nguv... All in all huwez kutoa maneno ya kejeri kwasabab tu mwenza wako amekukasirisha... Kuna maneno ukiyatoa make sure mna achana hapohapo
Ila kufanya usaliti ni sawa sio?

Nafikiri kadhia kubwa ya mke ni kuona anapunjwa afu nje mtu anakitembeza
Inaudhi

Utadhani mna jeuri ya kuachana kama mnavyoandika hapa
 
Sasa ww hutaki kuchati naye kimalaya si Bora usaidiwe

Chati naye ndo jawabu lako

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Iko hivi wanawake wengi wao akishaolewa tu anarelax sana na kupunguza care na hasa akishazaa ndo kabisa. mume akitaka haki yake anapigwa kalenda kwa visingizio vya hapa na pale. mara leo sipo kwenye mood mara hivi mara vile. sasa hali hii ikiendelea inafika wkt akili ya mwanaume inaona HUYU SIO WANGU TENA!

Ikishafikia hapo ujue huyo mume umeshampoteza japo anaweza asikuambie! Lakini hisia zake unakuwa umezizimisha. Hapo ndo unakuta watu wanatoka nyumba moja kumbe mwingine alilala sebuleni mwingine chumbani au hata km wanashea kitanda kimoja hakuna anaemsogelea mwenzake. wanawake mnaua hizi ndoa zenu wenyewe!
 
Kuna mwingine anakuwa na tatizo yeye kama yeye, mke wake anakuwa vzuri tu lakin mwanaune anazingua. Sema wanawake kwenye ndoa ndo wanaonekanaga wana hatia muda wote
 
Hakuna kitu kibaya km kumwambia mwanaume hakuridhishi hats km ni mpenzwako unamuondolea hisia kabisa
Ungetumia busara tu kumuelekeza unachohitaji ufanyiwe kunanjia nyingi za kufanya hivo
 
Umewasahau na wale wamama wapenda maendeleo Yan akiongea na mumew ni kuhusu biashara maendeleo Hana hata muda wa kuongea na mumew kimahaba Wala kumwambia mumewang nakupenda wanajikutaga wameolewa sabbu ya ugenius wao
 
t
tatizo wote wapo jf hivyo mnavyo mshauri na msela anasoma vizuri tu na hapo ndio suluhu inakuwa ngumu zaid yaan maana mwanaume atakuwa amesha jua huu ni ushauri wa Jf sio uhalisia wa mke wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…