Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Ni aafadhali ya hao waliolewa vodka kuliko kupeleka shoga frontline
 
Mleta Mara ulishaambiwa kuwa hilo ni dili ndiyo maana Wagner wanaenda mdogo mdogo..kila taifa linatamani kwenda kutest zake pale na mpaka sasa nchi nyingi za Westerners ikiongozwa na Marekani wameshapeleka kutest zao na mwisho wa siku kunawatu watapoteza kabisa ushawishi na soko lao la siraha (Hususan westerners) sababu watu wanaona wazi kwenye ground kipi bora na kipi chakununua..Mfano mifumo ya ulinzi yote waliyopeleka Westerners improve failure hivyo usitegemee tena kama kutakuwa na soko baada ya hapo..Upande wa Mashariki kama Iran,China na hao unaowasema North Korea nao wanaenda kutest za kwao kuona zinafanyaje kazi lakini wao mlango wa kwenda kutest zao wamechagua upande wa Wagner..hivyo tegemea baada ya hilo tukio kuna mataifa yatapoteza kabisa ushawishi sababu kama vitu vyako vyote vikifail kwenye ground itakuwa NGUMU kuwa na ushawishi. Kama issue ya Uchumi sasahv tayari mataifa mengi tu yanambadala wa kwenda kukopa!.Ni Military Science tu ndiyo maana unaona hizo delay nyingi kutoka kwa Wagner.
 
Kwa Urusi mliyokua mnaisifia tulitegemea itafumua Ukraine kwa wiki, leo hii Urusi imeishiwa na imeshindwa hata kufumua Bakhmut...kamji kadogo tu.
Hebu ona sasa Rasmi sasa NATO sebuleni mwa Urusi, Uturuki iliyokua inazingua yaachia Finland
lakin mbona tunasubir muda mchache tu utasikia Ukraine kaachia bhakmut coz kuna taarifa nimesoma kuwa bhakmut inashikiliwa na urusi kwa asilimia 65 so far unaonekana ni mfuasi wa west katika ushabiki wako huu unadhani Urusi itaanguka sio rahis dingi ile ni ulaya mzee ulaya ukiharibiwa itachukia muda kuijenga soon utasikia jumuiya ya kimataifa wanataka wakae chin wayaongee AF MK254 si upo ule msemo kwamba ndugu wakigombana shika jembe ukalime Fanya ya msingi ya maisha yako kukaa kusubiri uone nani ataangushwa hakuna mchango ktk maisha yako serikali ya Tz iwakumbuke vijana ajira hamna wanashinda mtandaoni kuzuga kuja kuandika biased articles

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
 
mleta maada hana tofauti kubwa na MTU yule anaeona kibanzi ktk jicho la mwengine na kusahau boliti ktk jicho lake usipende kukosoa kosoa ni ujinga usipende kuona shida sana za jirani mpaka inafikia mahali unasahau shida zako unaongea sana maswala ya urusi as if ww ni mrusi warusi wameshikana kutetea malengo yao sisi waafrika tulishindwa hata kukemea uvamiz wa Libya yapo matatizo mengi yanayotukabiri ukosefu wa ajira utegemezi wa kiuchumi na tecknolojia je hayo huyaoni au hayana tija napenda taarifa zako Ila malengo ya taarifa zako yananipa wasiwasi kwa hivi sasa nimewadharau sana bbc ,aljazeera,CNN na DW koz taarifa zao ni za upande mmoja ww unajitia kuweka pamba ktk masikio yajayo si mazuri gala wewe mrusi anajiandaa kwa battle kubwa zaidi wamemdanganya mchekeshaji wa urusi watumie Ukraine kama battle field ameingia ktk mtego wao hawa watu hawa sasa wapo na ajenda ya feminism na ushoga hatujui n nn wanachokitafuta au wewe ni mfuasi wa ushoga dingi maana huoni kasoro kwa Sera za nato

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
 
sorry Leo sijaingia mishe so nimeona nikusengenye kidogo

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
 
Ushabiki bwana
 

Vikosi vikiingia hapo Urusi na mtume wenu chalii.... hiyo NATO kuna mataifa hayahitaji muungano kumla Putin.
 

Shida sio kuachia Bakhmut, Urusi mliyokua mnaisifia ilipaswa iparamie ka-Ukraine ndani ya wiki, leo imepoteza wanajeshi 70,000 kwa hapo Bakhmut tu, yaani Putin anatumia wanajeshi wake na wafungwa kama mifugo wajifie mizoga itapakae kote kisa kamji ka Bakhmut.
 

Kwanza jifunze kuandika vizuri, insha yako hii haisomeki maana sijui uliishia la saba au wapi, haujui matumizi ya alama za vituo, unaandika andika tu.
Hakuna atakaye poteza muda kusoma ulichoandika hapo, mimi nimesoma mstari wa kwanza nikatupa kuleee....
 
Hawa Warusi wa bonyokwa wanachangia mada kama wanaimba taarabu yani mijitu ya hovyo sana ndo 2001 walikuwa wanasema Osama anapotea kama shetani[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo wanasema Russia inapigana na nchi56 na Putini anasema yeyeto atakae jihusisha kwenye operation yake hapo Ukraine atamfuta upesi sana sasa sielewi
 
Hujasikia kilicho wakuta kwenye handaki huko
 
Hapo kwa Osama marekani walifanya usanii sana, yahani kwa masifa yote yale walishindwa kutoonyeha ata kapicha kamoja
 
Akaamini pia akichimba ule mkwara basi mataifa ya NATO yatasitisha kuisaidia Ukraine.
 
Hapo kwa Osama marekani walifanya usanii sana, yahani kwa masifa yote yale walishindwa kutoonyeha ata kapicha kamoja
Wanasema eti alikuwa akipigwa picha inatoka giza tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘Ž
 
Akaamini pia akichimba ule mkwara basi mataifa ya NATO yatasitisha kuisaidia Ukraine.
Urusi walikuwa wakitembea jina la Soviet Union tu kudhani kuwa wanaogopwa kama ilivyokuwa Soviet Union ya enzi hizo. Hata walipoanza mazungumzo ya amani huko Belarus na Uturuki, Lavrov alikuwa akiingia mkutanoni kwa majigambo akidai kuwa lazima Ukraine i-surrender kwanza ndipo kuwe na amani ama sivyo hakutakuwa na Ukraine itakayobaki. Majuzi nimesikia kwenye mjadala huko India akiwa analalamika kuwa eti Ukraine ndiyo ilianzisha vita hiyo, na hapo Urusi inajitetea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…