mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Leo ndio nimegundua sababu ya kuachwa baloz Nchimbi, .
Mawaziri watakao achwa wameshapata sababu wameachwa sababu ya urais 2025.kama hiyo ni sababu basi wafuatao nje
1: Mwigulu
2: January
3:Jafo
4:Bashe
Ila tu nimwambie mama hao wabunge wasio waza urais 2025 atawatoa wapi, wabunge wenyewe si ndo hao hao wa Jobo Ndugai . kama baba kila siku anawaza urais urais ,unategemea watoto wanawaza nini
Mawaziri watakao achwa wameshapata sababu wameachwa sababu ya urais 2025.kama hiyo ni sababu basi wafuatao nje
1: Mwigulu
2: January
3:Jafo
4:Bashe
Ila tu nimwambie mama hao wabunge wasio waza urais 2025 atawatoa wapi, wabunge wenyewe si ndo hao hao wa Jobo Ndugai . kama baba kila siku anawaza urais urais ,unategemea watoto wanawaza nini