Sukuma gangHuko 'kule' ni wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gangHuko 'kule' ni wapi?
Lakini anauwezo na ni mchapa kazi!Kamuoa mwana wa Malkia.Ameukwaa u prince by virtue of his marriage.
Huyu mwamba Yuko vizuri,popote atakapowekwa Nampa tick...halafu Hakuna wizara ngumu Kama Tamisemi na anaitendea haki.
Ua nyani Mama,usitazame usoni, aheshimiwe anayejiheshimu tu, asiyejiheshimu tupa nje atakuharibia kazi."Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda nao. Lakini wale wote ninaohisi ndoto zao ni kule, na wanafanya kazi kwa ajili ya kule, nitawapa nafasi waende wakajitayarishe vizuri huko nje."- Rais Samia Suluhu
Kwa maneno yake,body language ...ni dhahiri naye ana homa 2025 ,Tena ipo juu!Naona huyu mama kesha amua kujatambulisha rasmi kuwa yupo Team gani
"Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Hii kauli imebeba mengi
Katiba mpya ingefanya haya yoteNchi yetu inahitaji service delivery sio mihemko hii ya kila wakati,my President please punguza cabinet yako to 15 minister's,hawa ni rahisi to manage them,sign them performance contract,ondoa RCs wote na bakisha wataalamu kuongoza idara chini ya RDD,hii itasaidia kupunguza matumizi ya serikali na kupeleka fedha nyingi za maendeleo hasa huku Lingusenguse ambako muda mrefu kumesahaulika kwa muda mrefu mno.
Huyo.mwamba wako ni Waziri was TAMISEMI ya wapi ,TALIBAN!?Huyu mwamba Yuko vizuri,popote atakapowekwa Nampa tick...halafu Hakuna wizara ngumu Kama Tamisemi na anaitendea haki.
Hapa Majaliwa Majaliwa apishe wengine habari hio, atengeneze baraza lake aache kulalamika, akiacha kulalamika tutamsifia sana kwa maana hatuna chuki nae tunataka ajitambue ajue nini maana ya kuwa Rais, awe Mkomavu wa fikra na awe na maarifa na ufahamu wa mambo wa kutosha, asimamie makusanyo ya kodi awe makini kwenye matumizi, asiwe mwizi, awe na huruma kwa wananchi habari ya gharama za kuunganisha umeme? Samia apambane nchi hii Ikulu inaviatu vya jinsia ya Kiume hamna kisingizio"Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda nao. Lakini wale wote ninaohisi ndoto zao ni kule, na wanafanya kazi kwa ajili ya kule, nitawapa nafasi waende wakajitayarishe vizuri huko nje."- Rais Samia Suluhu
Mbona na yeye alishasema anautaka 2025.Rais Samia Suluhu Hassa ameeleza hayo akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya #COVID19
Amesema "Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda nao. Lakini wale wote ninaohisi ndoto zao ni kule, na wanafanya kazi kwa ajili ya kule, nitawapa nafasi waende wakajitayarishe vizuri huko nje."
Huenda akafutwa machozi..Namuona Nape mzee wa goli la mkono kwa mbaaaali kwenye ofisi ya wizara flani hivi.
Samia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.Wakuu heri ya mwaka mpya...
Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo
Aya twende kazi..