Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujjnga mwingien anaweza kuwatoa wachapalaza akawarudisha wahuni kama nape na jamii ya makambaSafi mama, tulikuwa tunalisubiri hili Kwa hamu, nchi hii ina watu wasiohitaji huruma, hawabebeki...Kama mbwai mbwai tu, watoe warudi kitaa waone Kama wataendelea kuota...huku huo usingizi tu hakuna.
Hawezi kuondoka kuz yule yupo kimichogo.Wa nishati ajiandae
Lukuvi sijui ilikuwa nguvu ya jpm, sa ivi kawa kolo sanaSimbachawene,Lukuvi,Bashungwa,Waitara, wafanye sana maombi
Kama alivyokuwa Jiwe?..Samia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.
Aise nmependa huu ujumbe kula bia mojaHapa Majaliwa Majaliwa apishe wengine habari hio, atengeneze baraza lake aache kulalamika, akiacha kulalamika tutamsifia sana kwa maana hatuna chuki nae tunataka ajitambue ajue nini maana ya kuwa Rais, awe Mkomavu wa fikra na awe na maarifa na ufahamu wa mambo wa kutosha, asimamie makusanyo ya kodi awe makini kwenye matumizi, asiwe mwizi, awe na huruma kwa wananchi habari ya gharama za kuunganisha umeme? Samia apambane nchi hii Ikulu inaviatu vya jinsia ya Kiume hamna kisingizio
Walishaacha huo ujinga, Mwendazake aliwafunza adabu, May be huyu Jafo na kinyongo chake cha kutolewa TamisemiJanuary makamba na mwigulu wakiachwa kwenye uwaziri Basi hiyo list haitakuwa sahihi maana hao ndio vinara wa 2025.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Si kweliSamia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.
Nina wasi wasi hujui kitu kuhusu siasa za nchi hiiWa nishati ajiandae
Mkuu Mpe heshima anayostahili huyu jamaa Kawa UtoLukuvi sijui ilikuwa nguvu ya jpm, sa ivi kawa kolo sana
Mama mwenyewe ni matagaBi mkubwa safisha timu Mataga yote wanakufitini.
Haha mkuu hi kauli yako italeta uchocheziSamia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.