Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Safi mama, tulikuwa tunalisubiri hili Kwa hamu, nchi hii ina watu wasiohitaji huruma, hawabebeki...Kama mbwai mbwai tu, watoe warudi kitaa waone Kama wataendelea kuota...huku huo usingizi tu hakuna.
Ujjnga mwingien anaweza kuwatoa wachapalaza akawarudisha wahuni kama nape na jamii ya makamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise nmependa huu ujumbe kula bia moja
 
Nawaombea Doto biteko na Adolf mkenda lisiwapitie hili panga la bi mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Natamani Elimu wapewe Bashiru na Polepole, wana udhaifu wao fulani, but uzalendo wao kwa nchi ni wa kupigia mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…