Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

ngoja nimalizie PhD yangu labda nitakuwa mmoja wa wateule!
 
@mamagwajima jiandae kufungasha vilago vyako uende kwenu huko singida.
 
Hapa Majaliwa Majaliwa apishe wengine habari hio, atengeneze baraza lake aache kulalamika, akiacha kulalamika tutamsifia sana kwa maana hatuna chuki nae tunataka ajitambue ajue nini maana ya kuwa Rais, awe Mkomavu wa fikra na awe na maarifa na ufahamu wa mambo wa kutosha, asimamie makusanyo ya kodi awe makini kwenye matumizi, asiwe mwizi, awe na huruma kwa wananchi habari ya gharama za kuunganisha umeme? Samia apambane nchi hii Ikulu inaviatu vya jinsia ya Kiume hamna kisingizio
Chuki zako dhidi ya prime minister hazikusaidii,unaumiza moyo wako bure,nakwataarifa yako huyo ndo rais wako ajaye,na Kama humpendi Hama nchi kabisa.
 
Huyu makamu wa afya mchaga huyu mimi huwa simwelewi kabisa...aanze na huyo
 
Kassim Majaliwa
Mwigulu Mchemba
Adolf Mkenda
Dotto Bitebo
Makamba Jr
Mkumbo
 
Sukuma gang zama zenu kwishney hamuamini au
Inaonekana wewe ni mgeni JF, sijawahi kuwa Sukuma Gang, ila hao niliokutajia uzalendo wao kwa nchi hii ni mkubwa mnoo, wana udhaifu wao ila still wanaipenda hii nchi, na hawajawahi kuogopa kuongea ukweli, nadhani ni watu pekee waliongea against Bashite enzi za utawala wa Jiwe
 
Back
Top Bottom