Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang zama zenu kwishney hamuamini auNatamani Elimu wapewe Bashiru na Polepole, wana udhaifu wao fulani, but uzalendo wao kwa nchi ni wa kupigia mfano
Utasubiri Sana,kwa taarifa yako majaliwa ndiye rais ajayeAanze na PM
Abaki na wanaomtetea kinafiki huku wanalao jambo...Mimi naona aanze na wale wasio toka hadharani kumtetea mama.
Ningumu wataondoka wote lakin siyo JanuaryAtuondolee huyo kiumbe anaitwa January Makamba
Wakina nani?Abaki na anaomtetea kinfiki huku wanalao jambo...
Chuki zako dhidi ya prime minister hazikusaidii,unaumiza moyo wako bure,nakwataarifa yako huyo ndo rais wako ajaye,na Kama humpendi Hama nchi kabisa.Hapa Majaliwa Majaliwa apishe wengine habari hio, atengeneze baraza lake aache kulalamika, akiacha kulalamika tutamsifia sana kwa maana hatuna chuki nae tunataka ajitambue ajue nini maana ya kuwa Rais, awe Mkomavu wa fikra na awe na maarifa na ufahamu wa mambo wa kutosha, asimamie makusanyo ya kodi awe makini kwenye matumizi, asiwe mwizi, awe na huruma kwa wananchi habari ya gharama za kuunganisha umeme? Samia apambane nchi hii Ikulu inaviatu vya jinsia ya Kiume hamna kisingizio
Atajua siku akijua hajui.Wakina nani?
Abakie utumishi jamani, huyu hana siasa anapiga kazi tu. Anatufaa wafanyakazi
Biasi mbaya toa hoja za kujenga siyo kuchonganishaPiga chini Sukuma gang wote
Team sgang wote, timu 2025 yote, timu mfumo dume wote.Mimi naona aanze na wale wasio toka hadharani kumtetea mama.
Inaonekana wewe ni mgeni JF, sijawahi kuwa Sukuma Gang, ila hao niliokutajia uzalendo wao kwa nchi hii ni mkubwa mnoo, wana udhaifu wao ila still wanaipenda hii nchi, na hawajawahi kuogopa kuongea ukweli, nadhani ni watu pekee waliongea against Bashite enzi za utawala wa JiweSukuma gang zama zenu kwishney hamuamini au
Wamrudishe jalalani,anakula pesa asizostahiliYule mtoa macho