Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa Tanzania Rais ni mungu , hapangiwiKutangaza mapema nia ya kugombea nafasi za uongozi ni kosa kimaadili au fursa ya kidemokrasia?
Katika mataifa ya magharibi ambako ndiko chimbuko la demekrosia duniani mataifa yao yenye demokrasia ya vyama vingi vya siasa ni jambo la kawaida kwa wanasiasa wanaotaka kugombea nafasi yeyote ya uongozi iwe ubunge,useneta,uwakilishi au urasi kujitangaza mapema,kufanya kampeni na kujijenga kwa...www.jamiiforums.com
Wengine wanapewa michuzi na togwaAnajijazia Minyama
Hizo unazoziona zimeendelea zinefika hapo kwa kuzuia wapigaji.Kusema kweli Mimi naona Bora nchi ijae wapigaji ...angalau huku mtaani pesa zinaweza kuonekana kwani hao wapigaji wakipiga pesa huko serikalin hufungua miradi mbalimbali ambayo itaajiri watu ....
Mama samia kanifurahisha leo natoa vyote
Mwigulu atapona?Jamani mama kasema wanaowaza 2025 atawatema kwenye serikali yake. Ngoja tuone nani wanatemwa. Baadhi yetu tuna shaka anataka kuweka wale wahuni serikalini. Mungu apishilie mbali tusije tena kuona wapigaji watupu kwenye baraza la mawaziri.
Yafaa mama atulize akili na ajue vita ya ufisadi na wahujumu uchumi ndio moyo kufanikisha maendeleo yenye maslahi kwa umma. Vinginevyo atapigiwa makofi na wanafiki watu binafsi wenye malengo ya kufaidika kwa kusaliti maslahi ya umma wa wananchi.
Nguzo ya ccm ni kujali maslahi ya umma vinginevyo watatemwa kwenye sanduku la kura. Ccm haina hatimiliki kuongoza nchi hii ila wamekua wanachaguliwa kwa kujali maslahi ya umma.
sanaaMama samia kanifurahisha leo natoa vyote
2024 Tukutane hapa Tubadili katiba Rais Samia atawale milele atake asitake. Hakuna kama Rais Samia.Watu wenye mitizamo ya kubinafsisha Tanesco na kugawana share zake. Huku tukidanganywa Tanesco haiwezi kujiendesha kibiashara na tulidanganywa 27, 000/- za kuunganishiwa umeme.
Ununue nguzo kuunganishiwa umeme halafu nguzo hiyo uliyotoa fedha yako kuinunua iwe mali ya Tanesco si yako mnunuzi. Jaribu kufikiri unune simu halafu iwe mali ya Airtel au Voda kwa vile unatunia line yao. Dhuluma za aina hii ni haki kweli kuwa na amani nazo moyoni mwako kama kiongozi?
Wamefungua njia.CCM wana laana. Kuanzia 2015, Kila ikitema kiongozi, anakuwa dikteta.
Mbona mtakoma. Msiempenda KajaAnajisafishia njia siyo?
Bwashee wewe umeshanichagulia na upande tayari?Mbona mtakoma. Msiempenda Kaja