Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

[emoji23][emoji23]kampa ukweli mchungu
 
Hahahahhahh

Unaweza kulia kama umepigwa
Nakwambia!!Sijui ipoje papuchi?nakumbuka me niliwahi Lia kuanzia singida stand mpaka Katesh ndani ya basi,ni machozi tuu.Aisee sitasahau Yale maumivu
 
Brother huna chako hapo chapa laps mbona wapo wengi tu Wa sampuli hiyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikunyima au??
Bora ata angeninyima!Yani mdada kabadilika kabisaaaa tofauti na awali wakati tunaanza.Namuuliza hata hajibu kitu.Mwanamke akiwa na mambo ya nje hajifichi anaonesha wazi ni tofauti na sisi ni ngumu kutugundua.
Sasa bidada nampenda Yani mpaka koo linajaaa, nachanganyikiwa!
 

Ni kweli hatuwezi kuficha...zinaanzaga dharau hadi mwanaume anajitoa,mwingine anakwambia kabisa muachane

Ila si uliachana nae au ulibembeleza akatulia kwako?
 
Hapo kuna mwanaume mwenzio ameshamiliki, penzi la mbali huwa halina amana, na wewe tafuta huko Dodoma mabinti ni wengi sana kuanzia wa majumbani, wanafunzi wa vyuo, wafanyakazi nk ili uondoe stress za kuachwa.
 
Hahaha aliokwambia warembo ni wa kuoa nani mkuu, hao tunabonyeza tu kisha tunanunua wa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…