Baada ya Lissu kutwaa madaraka, wale waliotenda makosa wakiwa madarakani wasamehewe tuanze upya au Sheria ifuate mkondo wake?

Baada ya Lissu kutwaa madaraka, wale waliotenda makosa wakiwa madarakani wasamehewe tuanze upya au Sheria ifuate mkondo wake?

CCM ina wasiwasi na Zanzibar kuliko Bara. Uchaguzi bara umeshaisha zamani.
Kila siku siyo jumapili , njama za kishamba za kudivert matokeo kama 2015 sasa baaaaasiiii
2332550_matokeo_uchaguzi_3.jpg
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Erythrocyte
Umenichekesha wallahi
Tuwakusanye tu Uwanja wa Taifa halafu tuwasute weeee toka saa nne asubuhi Hadi saa kumi jioni halafu tuwaache huru waendelee na maisha .
 
Nani anaumizwa? Kila sekta imeimarishwa,afya,miundombinu,elimu n.k. Unataka nini ufisadi?
Wafanyakazi hatuna hamu na serikali hi,miaka mitano empty.
Aisee Mimi sihitaji Cha Sera Wala chochote kutoka Kwa Lissu,hata Sera za Chadema sitaki kuzisikia Wala kuziona.Kura yangu na mke wangu Ni kwa Tundu Lissu,mbunge Nampa wa Chadema na diwani Chadema,Kama hao wote hawatapitishwa na Tume ntachagua wa ACT
 
Wafanyakazi hatuna hamu na serikali hi,miaka mitano empty.
Aisee Mimi sihitaji Cha Sera Wala chochote kutoka Kwa Lissu,hata Sera za Chadema sitaki kuzisikia Wala kuziona.Kura yangu na mke wangu Ni kwa Tundu Lissu,mbunge Nampa wa Chadema na diwani Chadema,Kama hao wote hawatapitishwa na Tume ntachagua wa ACT
Hiyo kura yako moja itampeleka wapi? Maana sisi wakulima ni 80% ya watanzania.
 
Je na Sabaya naye asamehewe ? na yule polisi mlevi wa madaraka wa Mbeya je ?
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Kwenye ilani ya chama chetu pendwa CHADEMA kuna sehemu inazungumzia kuunda kamati ya maridhiano "na mimi nitakuwa mjumbe huko" itabidi tusameheane tuanze tusongembele pamoja. Lissu mwenyewe pia ameshasema hatampitisha mtu kwenye maumivu aliyopitia! Kumbuka 28th October 2020 weka vema kwa Lissu!
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Ambao wamefikia kiwango Cha kuvunja Katiba ya nchi kwa makusudi na kutokujali washitakiwe,ambao hawaja fikia kiwango hicho wasamehewa kwa mustakabali mwema was taifa letu
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Kusameheana anzeni huko chadema ndo mje mtuulize wengine. Je, Dr Lilian Mbowe atamsamehe Joyce Mukya?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Wasamehewe tuendelee kujenga nchi kwa pamoja. Ni njaa zao tu zinawatuma.
 
Back
Top Bottom