Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

Kweli mkuu sina kinyongo nao.
Kikubwa wajifunze
 


AUAE KWA UPANGA, ATAKUFA KWA UPANGA!

"Kila auae kwa upanga, naye ataangamia kwa upanga" (Mathayo 26:52)! Hayo ndiyo maneno ambayo Yesu alimwambia Mtume Petro usiku wa Alhamisi Kuu. Hiyo ni kanuni ya kiroho! Upanga katika Biblia ni ishara ya mamlaka. Mtu ye yote aliyekabidhiwa mamlaka hatakiwi kuitumia mamlaka yake vibaya kwa kutesa, kufedhehesha, kunyanyasa, kuharibu, kunyamazisha, kupora, na hata kuua wengine. Akifanya hivyo, na yeye atakuja kufanyiwa hivyo hivyo na mamlaka nyingine iwe ya kidunia au ya Mungu moja kwa moja! Ninawatakia tafakuri njema ya Ijumaa Kuu.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
 

Hebu acheni Upuuzi wenu na kutaka kuwapa Sifa ( Kiki ) za Kipumbavu hawa TCRA wenu.

Hivi anayesikia Kilio anatakuwa azuie ( arekebishe ) Jambo kabla halijawa katika Utekelezaji wake au anaruhusu litokee kisha likishawaumiza wengi ndiyo anajifanya Kujitokeza Kukutetea?

Msidhani Watanzania ni Wapuuzi hivyo.
 
maendeleo hayana chama, polepole tutafika
 
Usilogwe kuhamisha hela kutoka Bank kwenda mitandao ya simu and Vice versa. Ni balaa
 
Nilisema tupige kelele juu ya swala hili, wachache waliunga mkono na wengine kusema kasomi umechanganyikiwa.
Kidogo kidogo tutaelewana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…