Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

Baada ya serikali kutoa tangazo la kusitisha bei mpya ya vifurushi hasa vya data bado makampuni yamekaza shingo yameongeza bei na hayajarudisha kama ilivyokuwa awali huku suala hili likitafutiwa suluhisho . Je, jeuri hii inatoka wapi?
 
Sasa Dr wa binadamu wapi na wapi? Na izi elimu zetu za kumeza tu bila kujiongeza haya ndo madhara yake, anadanganywa nae anaingia mkengee huku kwenye ICT hakumfai aende alikosomea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikuwa wanapima upepo tu na hili tulilisema humu.

Mitandao ina nguvu sana!

Dr.Slaa sasa atapongeza uamuzi huu
Hivi unafikiri ingekuwa ndo yule Hayati ambae hivi sasa nyama nyama zake ndo zinaishia, unadhani wangesitisha?! Sana sana hapa ingekuwa tunasubiri vichambo tu hapo kesho wakati wa Sala ya Pasaka!
 
Na mafuta jamani, yamepotea especially ya alizeti na ukiyakuta hiyo bei balaa lita 5 elf 30 badala ya elf 22.
Hii nguvu ya kulalamika pia mngeielekeza kwenye mambo ya sukari, petroli, unga, nauli pindi a
 
Hizi menu mbona bado hazijarudi normal?au ni mimi tu ntakua sio Mtanzania?
 
Hizi ni taarifa za kubumbaa, wametuchezea kang'ombaa tutulie ila hakuna mabadiliko yyte kweny hizo menu espl Halotel.
 
Hizi ni taarifa za kubumbaa,wametuchezea kang'ombaa tutulie ila hakuna mabadiliko yyte kweny hizo menu espl halotel
Sio kweli menu imebadilika imerudi kama zamani hapa.
 
We nawe huna hata akili. Sasa unadhani yeye alikua hajui?
Rais hujua kila kitu kanachifanywa kwa hyo tumpe muda hata wiki 2 bado hajamaliza watu wameanza kumuona huyu mama muungwana sana kiliko watangulizi wake [emoji354] itaongea watanzania kupongeza na kukaataaa haichukui hata muda.
 
Aliye sikia kilio chetu ni mama yetu mpendwa, Rais Samia Suluhu Hassan na Wala sio TCRA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…