Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa, kama Ndugai angelielewa hili akaacha ujinga wa kushirikiana na jiwe kuangamiza upinzani leo hii asingechambwa hivi maana Rais angemheshimu kwa kuona kuwa huenda ataweza kuruhusu mijadala kwa upinzani na wapinzani ndani ya ccm wangeliungana kumsulubu Rais.Hii conflict Kati ya executive na Bunge itufungue macho kwa hitaji la katiba mpya. Speaker kuzodolewa namna ile ni kuonesha ya kwamba Bunge letu halina nguvu. Katiba mpya inahitajika kuweka checks and balances. Tatizo ukisema katiba mpya watu wanafikiria CHADEMA basi, lakini madhara Kama haya hawayaoni.
Kesi ya nini Mkuu tena na kwanini ifunguliwe Arusha???Kesi inafunguliwa soon huko Arusha mkuu.
Inabidi arudi kumsoma napoleon bonaparte. Isitoshe mama hana uhodari wowote sio yeye wala waliomzunguka.....Unaweza kufuga viumbe vyote lakin huwezi kufuga binadamu.
Samia atashinda leo lakini hatashinda wakati wote.
Amuulze Alexender the great.
Akijua watu waliomzunguka ndio nguvu yake atasurvive kwa mda ila akisema yeye ni mwamba,Inabidi arudi kumsoma napoleon bonaparte. Isitoshe mama hana uhodari wowote sio yeye wala waliomzunguka.....
Yaani huyo jamaa yangu amenishangaza sana Leo kwamba hajui hili. Nilikuwa namuona anachambua mambo vizuri lakini hii issue ndogo tu eti anashindwa kuijua hahahahaahahKwa Katiba yetu hii hili lipo wazi. Rais ni bosi wa speaker. Akisha nyang'anywa kadi ya chama kwisha habari yake.
Kwahiyo ndungai katangulizwa tu akajiendea kama beberu??Ki-Katiba Spika Kama anatokana na wabunge atapoteza nafasi ya uspika Kama hana sifa za kuwa mbunge. Sifa ya kuwa mbunge ni kuwa mwanachama wa Chama cha siasa! Rais ndiyo Mwenyekiti wa CCM kwa hiyo Chama kikimvua uanachama tu amekosa uspika na ubunge na hata Mafao halipwi.
Ila Ndugai ni mburula na wenzie akina Bashiru wamemtanguliza yeye naye kaingia kingi.
CCM OYEEEEEEEEEEHiyo haiwezi kutokea Rais Na Mwenyekiti wa chama Na amirijeshi mkuu na mkuu wa hazina ya nchi akose LA kufanya kuwasambaratisha maadui zake. Hiyo ni ndoto ya mchana kweupe, ccm asilia IPO intact, hao wanaobweka ni wale neo-ccm wageni Na wachanga kwenye chama kama akina wale watoto waliofishwa bungeni kupunguza shombo za kitoto. Mzee Yusufu Makamba mmoja ni sawa Na akina polepole 3000.
Kwani ndugai alimshambulia kiuficho?Kwanini Rais amshambulie mkuu mwenzake wa mhimili directly kiasi cha leo jamani?
Huu ni udictator wa wazi wazi.
Wanyonge ndiyo nyie mataga pori ???Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Kilitokea kundi kubwa wakiwa na "imani " na mtu wao ambae alikuwa na pesa na ushawishi mpaka kwa baadhi ya wana CHADEMA.Hiyo haiwezi kutokea Rais Na Mwenyekiti wa chama Na amirijeshi mkuu na mkuu wa hazina ya nchi akose LA kufanya kuwasambaratisha maadui zake. Hiyo ni ndoto ya mchana kweupe, ccm asilia IPO intact, hao wanaobweka ni wale neo-ccm wageni Na wachanga kwenye chama kama akina wale watoto waliofishwa bungeni kupunguza shombo za kitoto. Mzee Yusufu Makamba mmoja ni sawa Na akina polepole 3000.
Yeye kama mkuu wa mhimili kukaa na kuangalia tu COVID 19 wakilipwa kinyume cha sheria.Kesi ya nini Mkuu tena na kwanini ifunguliwe Arusha???
Walikuwa wakiimba Serikali ya mpito, Serikali ya mpito huko Bungeni Kwa akina Kassim Majaliwa.Both Kassim na Ndugai wanatakiwa wajiwahi wenyewe.
Wewe sio CCM Pni mwanaharakati wa mwendazakeTukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Mkuu,Kimsingi inatakiwa ajiuzuru kama ni mwanasiasa aliekomaa,ila hawezi fanya ivo sababu ni kuwa nchi hii ukijiondoa hata kwa matatizo madogo tu bas utafuatwa sana na matatizo makubwa kutoka kwa wakubwa...
Huyu jamaa ni mtu wa hovyo,yampasa akomae hapo na abadili gia yake aliotaka kwenda nayo jana ya kupamba na arudi kwa kile anachokiamini..
Kisemeo anacho,na anaweza akapambana akatengemeza himaya yake pia ni kukomaa tu,kwan hata wanaomsapoti mama hatujui wapi ni wakwake kweli!!