Hapo ndio JF ADMIN mtajua watu wanaposema kuna vyama ambavyo pamoja na kupata support yenu bado ni sumu kwa nchi yetu!! Hawa wahujumu mchana wanawachekea usiku ni Wanga wakubwa! JIFUNZENI
Mimi ilikuwa niwapige chini kuanzia leo, kama chanzo changu cha habari muhimu! Big up Tanzanian social media! Utuvumilie ukiona post za hatari maana tumechoka!