Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Hongereni sana wakuu!!!
Na post zangu zote za zamani zimepoteaaaaa
Acha kudanganya,DDOS ni Distributed Denial Of Service hii inafanya watu wasiweze kuaccess kitu na haipotezi information,inazuia watu wasipate service .
Sasa nn maana ya mm kusema zimepotea??? Namaanisha kwa sasa SINA ACCESS NAZO. Kama zitarudi baadae hayo ni masuala ya system admin na hayako chini yangu