Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

Status
Not open for further replies.
Dah..sio siri nilikosa hata hamu ya kula mana jf ndo appetizer wangu each day viva jf
 
Duh, mpaka tulipigwa na butwaa. Sauti ya wengi ndio sauti ya Mungu.
 
nilijua mmeniblock... maana nilikuwa naona cloud mara securex mara.....??? mara you have no permission..........
kumbe kuna wajingawajinga wamekichafua???
 
Mkuu maxence,

Nashauri kama inawezekana unganisheni nguvu na foreign experts wa cyber security ili kujua probable origin ya hii kitu na ikibidi kuwatambua waliohusika na jambo hili.
 
Dah kumbeee maana nimejitahd sana almanusura nianze kuikagua simu yangu
 
Hongereni kwa kazi kubwa. ila kuna baadhi ya maeneo hasa nje ya nchi bado haijatulia inakuja na kukata.... Wasije wakawa wanaendelea kuweni na tahadhari. Pili watajeni wahusika ili dunia iwajue
 
duh poleni ila haya mambo ya mtandao kweli noma maana nime restart pc yangu zaidi ya mara tano JF hola, chomoa moderm ingiza moderm ingine hola.... hapa nilikuwa kwenye mipango ya kupiga chini window nikajua ni mavirus...haya tusahau yote vp mpaka sasa hakuna mabomu huko mliko?
 
I've given up on Tanzania.

Majuha ni wengi mno.

Na ndo maana baada ya miaka 54 ya utawala uliofeli majuha bado wanaendelea kuipigia kura CCM kwa sababu the don't know any better.

Hii ndiyo Tanzania ya CCM,...
Mimi nimerudi home kuja kupiga kura ila daah to my surprise nimekuta watu wanashabikia CCM hadi nimepata hasira bure,...

Manyoka yako mitaani kila kona yani,....
Hili linchi lishakuwa la kifashisti,....
 
Watu wapo kazini? Hawataki tupeane taarifa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom