Mropoka Hovyo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 446
- 1,253
Angekosolewa mtoto wa Tandale wala asingeangaika kujibu kabisa, kwasababu huwa ni sehemu ya maisha yake kimziki. Ila kwa kuwa kakosolewa mtu ambaye hapaswi kukosolewa, mfalme wa mziki wa bongo fleva, basi jamaa ameona Master J kamkosea heshima na kaamua amtukane kimtindo kabisa π€£π€£π€£.Ali Kiba sio mbovu kwenye kupeform live lakini sio kama ana sauti powerful kama ya Bien..
Nadhani master alichokosea ni kuongea kwa kumshusha Ali kiba kupita kiasi na Ali Kiba nae amejibu kiswahiliswahili na kwa jeuri kubwa ambayo huwa anaificha kwenye ukimya wake.
Sasa jiulize waliompa u-ambassador Stanbic ni nani haswa? Na msimamo (policy) wao juu ya kunyanyapaa watu wa upinde ukoje? Ukiwa artist kuwa mwangalifu na unachoandika! Sitashangaa akiondelewa u-ambassador!Kumuita master jay ni upinde tayari kamchafua lakini pia imemshusha Ali kiba kwa level mbaya sana. Mitandaoni atapigiwa heko, ila kwa watu wenye ufahamu anaonekana amekosa emotional intelligence
Aliyehaso kwa jasho na damu kujenga brand ni Diamond tu.Master J ana jealous ana ile kitu inaitwa Crab Mentality
(kaa kwenye ndoo.) Maana anajariibu kuongelea vibaya watu ambao wame-hustle Kwa jasho na Damu kujenga brand zao na Leo they made it
Naona huko X wameanza kumripoti kwa Stanbic bank kama balozi waoππAngekosolewa mtoto wa Tandale wala asingeangaika kujibu kabisa, kwasababu huwa ni sehemu ya maisha yake kimziki. Ila kwa kuwa kakosolewa mtu ambaye hapaswi kukosolewa, mfalme wa mziki wa bongo fleva, basi jamaa ameona Master J kamkosea heshima na kaamua amtukane kimtindo kabisa π€£π€£π€£.
Bila shaka hunjui MasterJ vizuri.Master J ana jealous ana ile kitu inaitwa Crab Mentality
(kaa kwenye ndoo.) Maana anajariibu kuongelea vibaya watu ambao wame-hustle Kwa jasho na Damu kujenga brand zao na Leo they made it
Unaweza kuona kupitia vijana Kama Alikiba jinsi walivyoubadilisha muziki na Kuwa biashara kubwa na kutoa ajira rukuki
Sure.Aliyehaso kwa jasho na damu kujenga brand ni Diamond tu.
Katika kukosoa kuna kitu kinaitwa
Constructive criticism na destructive criticism.
Sasa unapozungumzia EI Emotional intelligence ambaye hana hiyo kitu ni master J kutokana na umri wake mkubwa lazima awe anatumia Sana akili kuliko hisia na na akiwa amelewa pombe ajizuie kufanya interview
Maana msanii ambaye anafanya mziki wake zaidi ya maika 18 Kama A -list iweje Leo hii useme hajui kuimba
Alikiba alichojibu sio sahihi Ila itamfanya huyo master j next time asiwe mtu wa kuropoka
Mkuu hayo unayoyaongea kwa wasanii wa bongo ni ndoto kwa sababu wengi hawana hiyo level ya professionalism na bongo hatupo sensitive sana na vitu vingi. Ndio maana Diamond anafanya vitu vingi na bado anapewa endorsements nyingi. Angekuwa nchi za magharibi angeshakuwa cancelledSasa jiulize waliompa u-ambassador Stanbic ni nani haswa? Na msimamo (policy) wao juu ya kunyanyapaa watu wa upinde ukoje? Ukiwa artist kuwa mwangalifu na unachoandika! Sitashangaa akiondelewa u-ambassador!
Huyu jamaa sijui huwa shida yake ni nini, huwa anaimba ila wala hayuko comfortable ndio maana kuna baadhi ya key hawezi kupanda... Sauti yake ni kama huwa inaanzia kwenye koo kwahiyo inamfanya atumie nguvu nyingi kwenye kuicontrol.
Alikuwa kashautwika si unajua lugha za kilevi zile? Haki ya mama Ali Kiba angekuwepo pangezuka vita yaani kwa zile kejeli Unaweza ukamchapa kofi aisee!Master J yupo sahihi
Tatizo ni namna alivyo wasilisha hoja zake.... kuna kebehi ndani yake
Kwa level ya Master J anapaswa kujua jinsi watu walivyo hustle kujenga brand zao kupitia muziki
So unapo toa maoni yako toa kwanjia za kiungwana
Namuelewa kwanini Kiba amekasirika na yeye akajibu mashambulizi
Mkuu kwenye ulimwengu wa Bongo fleva βkubana puaβ ni tusi kubwa sana...... ni vile tu watu hawajui
Yes Ali Kiba ana ego lakini katika hili amechokozwa na akakasirika
Mtu akikasirika akishindwa kujizuia anakupa za uso ili mradi na wewe uumie
Master J asinge ropoka unadhani Ali angemtusi kweli?
Haihitaji Bongo yaani pale ni simu kuyoka London ku-terminate contract! Ali Kiba ana shida hata alivyoondoka Trace Zanzibar ni scandalous!Mkuu hayo unayoyaongea kwa wasanii wa bongo ni ndoto kwa sababu wengi hawana hiyo level ya professionalism na bongo hatupo sensitive sana na vitu vingi. Ndio maana Diamond anafanya vitu vingi na bado anapewa endorsements nyingi. Angekuwa nchi za magharibi angeshakuwa cancelled
Kiba hayupo comfortable kwenye kuimba, watu wote ambao wako na idea na muziki wanaelewa hivyo, keys ameziimba mwenyewe huko studio ila akija live hawezi kuzipanda na akipanda lazima awikeπ π π (hii sio kwa ubaya ila ndio uhalisia)Ubaya live show zao unakuta wanabadiri Ala za muziki.
Ukifuatilia show za wenzetu live band inapiga kama Audio ilivyo.
Sasa sikia hiyo live show ya kiba. Drums zinapigwa tofauti kabisa na audio ya huo wimbo. Sexaphone inapigwa tofauti yaani hupati ile ladha iliyoufanya wimbo ukapendwa
Huyu ni kawaida yake kutoa maneno ya shombo na dharau juu . Kama ameona Ali haimbi vzr basi angetumia lugha ya heshima na siyo kama hivyo alivyosema. Amezidi muache apate za uso babu mzima hana hekimaTatizo Master Jay mziki anaujua. Am sorry king, he got you this time.
Sema na wewe Master jiheshimu. Profile yako ni kubwa sana kuzungumza kama ulivyozungumza. Ni kama umemtukana Kiba ungeweza kutetea hoja yako katika namna nyingine bora zaidi ya hiyo.
Kiba naye kapanic kajibu kama msela wa Manzese.
Angeshauri hivyo kama wewe sidhani kama angetukanwa. Anazeeka vby huyu mzee .Kiba hayupo comfortable kwenye kuimba, watu wote ambao wako na idea na muziki wanaelewa hivyo, keys ameziimba mwenyewe huko studio ila akija live hawezi kuzipanda na akipanda lazima awikeπ π π (hii sio kwa ubaya ila ndio uhalisia)
Wanatakiwa wakubali na wajifanyie improvement kwenye hilo eneo ili wawe Bora zaidi.
Mtu ambae huwa anajitahidi kwenye live band ni Mbosso, katika hao wasanii wa bongo fleva ambao wanasikika mara kwa mara.
Tatizo Master Jay mziki anaujua. Am sorry king, he got you this time.
Sema na wewe Master jiheshimu. Profile yako ni kubwa sana kuzungumza kama ulivyozungumza. Ni kama umemtukana Kiba ungeweza kutetea hoja yako katika namna nyingine bora zaidi ya hiyo.
Kiba naye kapanic kajibu kama msela wa Manzese.
Amejibiwa kama alivyojibu ππKwasasa sio master ni Upinde Jay
Yeye nae kwanini amzungumzie mwanaume mwenzake? Yeye ni nani hadi awe anatoa confirmation za mambo? Aimbe yeye basi. Namuunga mkono Ali, kumzungumzia mwanaume mwenzako ni ushogaSio sawa Ali Kiba kumuita Master Jay ni shoga kisa kamkosoa. Hakuna tusi kwa mwanaume ni la kudhalilisha kama kuitwa shoga.
Mwanaume kumzungumzia mwanaume mwenzake ni ushoga, Ali yupo sahihi.Angeshauri hivyo kama wewe sidhani kama angetukanwa. Anazeeka vby huyu mzee .
Msenge tu huyo master choko. Kwanini amtumie Ali ilhali wapo wengi tu?Live music bongo hakuna jamaa kamwambia ukweli
Ila njia aliyotumia kufikisha ukweli haikuwa sawa