Mbona lipicha lako linaonesha huo mfumo ulishafungwa huko Israel tangu 2019?Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Kumbe ulishafungwa, hongera sana Kwa Iran Kwa kupasua hizo ishuMfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Mkuu hapo wewe sasa ndiyo kiingereza kimeenda kushoto.English inakupiga ngwala hapa naona unalialia tu mvaa kobazi
USSR
Wewe usiyevaa kobazi na unaejua kingereza hayo maneno niliyozungushia hapo maana yake nini?English inakupiga ngwala hapa naona unalialia tu mvaa kobazi
USSR
awawezi kuusoma huu Uzi ungeandika kiilani mkuuMfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Usomwe nini wakati jana wamepigwa ndani ya kambi yao?awawezi kuusoma huu Uzi ungeandika kiilani mkuu
Israel ni mweupe hamna kitu , hata anavyosifiwa anashangaa mwenyewe...Wanajeshi hata intelijensia anaambiwa na US ...Naomba kuuliza kwa hiyo vita ni Marekani na Iran?Kwa hiyo maneno kuwa Israel hagusiki mwisho mwaka huu?
Kwenye vita kuka fact kubwa inaitwa backup,wakati unapambana je unanguvu kutoka wapi nani atakusaidia (washirika) muiran ana Russia na myahudi ana USA,leta swali lingineNaomba kuuliza kwa hiyo vita ni Marekani na Iran?Kwa hiyo maneno kuwa Israel hagusiki mwisho mwaka huu?
Ikiwa kashindwa kuyafikia gaza ataweza Lebanon?Huwezi kuwa kwenye vita bila muumia mwishoni mwa vita malengo lazima yafikiwe
USSR
Jinga Hilo lisikuchoshe mkuu, anadhani watu wote wajingaWewe usiyevaa kobazi na unaejua kingereza hayo maneno niliyozunguhia hapo maana yake nini?
View attachment 3124606
Msichokijua waisrael wameweka hapo mashariki ya Kati kwa ajiri ya kutekeleza matakwa ya Marekani na ulaya hivyo kamwe Marekani na nato hawatakubali Israel kushindwa vita mpaka kiama.