Baada ya mfumo wa ulinzi wa THAAD kufungwa Israel ni bora raia wa iran kuhama nchi yao bila shuruti

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.

Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.

USSR

 
Mbona lipicha lako linaonesha huo mfumo ulishafungwa huko Israel tangu 2019?
 
Kumbe ulishafungwa, hongera sana Kwa Iran Kwa kupasua hizo ishu
 
awawezi kuusoma huu Uzi ungeandika kiilani mkuu
 
Naomba kuuliza kwa hiyo vita ni Marekani na Iran?Kwa hiyo maneno kuwa Israel hagusiki mwisho mwaka huu?
Kwenye vita kuka fact kubwa inaitwa backup,wakati unapambana je unanguvu kutoka wapi nani atakusaidia (washirika) muiran ana Russia na myahudi ana USA,leta swali lingine

USSR
 
Israel alidanganya sana wakristo ,ila ukichunguza ni mweupe sanq, hawa hamas na hezbollah ndio wa kupigana nao mwaka mzima kweli, huku kwa hezbollah ndio anaaibika kiasi hichi? Jata jeshi letu jwtz lingefanya kazi nzuri kushinda hawa kenge wa idf walio brainwash watu kupitia movie na media zao kumbe kenge tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…