Yesu anaingiaje hapa ..wakristu sijui nani ametulogaKwa aslimia 20 yakiongezewa na damu ya Yesu yanazuia kwa aslimia Mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu anaingiaje hapa ..wakristu sijui nani ametulogaKwa aslimia 20 yakiongezewa na damu ya Yesu yanazuia kwa aslimia Mia
ahaaa ahaaaa ahaaaa du punguza dharau aiseeeIsrael alidanganya sana wakristo ,ila ukichunguza ni mweupe sanq, hawa hamas na hezbollah ndio wa kupigana nao mwaka mzima kweli, huku kwa hezbollah ndio anaaibika kiasi hichi? Jata jeshi letu jwtz lingefanya kazi nzuri kushinda hawa kenge wa idf walio brainwash watu kupahaaitia movie na media zao kumbe kenge tu
Ngeli mtu wa munguEnglish inakupiga ngwala hapa naona unalialia tu mvaa kobazi
USSR
Kipindi Iran wanalipiza kifo cha Gen soleymani kwa kuzipiga na kuchakaza kambi za marekani zilizokuwa jordan ,syria na IraqWewe usiyevaa kobazi na unaejua kingereza hayo maneno niliyozungushia hapo maana yake nini?
View attachment 3124606
Iran sio wafuasi wa Mange KimambiMfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Unamchanganya Yesu na ubabe wa kivita?Kwa aslimia 20 yakiongezewa na damu ya Yesu yanazuia kwa aslimia Mia
Unadhani hizo rocket missiles 180 zilizorushwa na Iran kuelekea Israel,Kwa mfano zingerushwa kuelekea kwenye nchi ambayo Haina ulinzi wa Iron dome kama Tanzania,madhara yake yangekuwa kiasi gani?Hatutaki maswali ya asilimia ngapi tunachojua irone dome ilitengenezwa kwa ajili ya kuzuia local rocket za Hamas zinazotengenezwa Kwa mbolea hila kwa Hezbollah imebidi kuomba msaada wa THAAD ziongezwe maana zilishafungwa kitambo sn