Baada ya mfumo wa ulinzi wa THAAD kufungwa Israel ni bora raia wa iran kuhama nchi yao bila shuruti

Baada ya mfumo wa ulinzi wa THAAD kufungwa Israel ni bora raia wa iran kuhama nchi yao bila shuruti

Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.

Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.

USSR

Kabla mulisema Irone Dom ndio mfumo bora duniani lakini jana hata ka-drones za hizbollah mfumo umeshindwa ata ku-detect hatimae munalizana huko kwa huko
 
Israel piga hayo malofa ya Iran mpaka mapepo yawatokeee daadek
Baada ya kuwaonea huruma hao israel maana hadi sasa yeye ndio anayeaibiks hadi marekani kuanza kumpelekea wanajeshi wamsaidie, hana ubavu wa kupigana na jeshi lolote alikuwa anaonea hamas kwa kuwa hana silaha, sasahivi kila siku wanauliwa tu lebanon, hadi sasahivi hatujui kama huyo mkuu wao wa majeshi kama yupo salama, lile pigo la jana kwenye kambi ya jeshi ni la kibabe sana
 
Baada ya kuwaonea huruma hao israel maana hadi sasa yeye ndio anayeaibiks hadi marekani kuanza kumpelekea wanajeshi wamsaidie, hana ubavu wa kupigana na jeshi lolote alikuwa anaonea hamas kwa kuwa hana silaha, sasahivi kila siku wanauliwa tu lebanon, hadi sasahivi hatujui kama huyo mkuu wao wa majeshi kama yupo salama, lile pigo la jana kwenye kambi ya jeshi ni la kibabe sana
Hujui Israel we mtoto... itapigwa bomu moja utaona vibarkashia vinawaruka juu! we subirii
 
Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.

Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.

USSR

Hiyo inawatisha kondoo wa waisraeli tu.

Imefungwa na wamebamizwa na kikundi kidogo tu cha wanamgambo, au hulielewi hilo? Jionee:


View: https://www.youtube.com/live/TkS0dKXQqDY?si=M36vzK_-RlyVDE11
 
THAAD INAWEZA KUZUIA HYPERSONIC MISSILES?
mjue mnaumwa nyie
Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.

Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.

USSR

 
Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.

Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.

USSR

Heee hivi ni vituko sasa ,,irone dome si inalindwa na damu ya yesu jmn mbona mnatuchanganya
 
Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.

Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.

USSR

Kumbe zile kombora za Iran zilitumia zaidi ya dakika 400 kufika Israel!? Ndio nimejua hapa. Asante kwa taarifa mkuu.
 
Kila mfumo unaofungwa pale Israel Ayatollah anaudukua na kuufanya u collapse wakati wa shambulio. Muajemi ashashindikana. isingekuwa hizi story za Israel ni taifa teule. Nina imani watu wengi wasingeendelea kutokwa povu kuitetea nchi inayoshidwa kila kitu na Iran yenye vikwazo lukuki.

Israel haina sifa tunazoambiwa makanisani na kwenye media zao. Nyingi ni story tu ambazo hazina ukweli wowote.
 

Attachments

  • Screenshot_20241014-110407.jpg
    Screenshot_20241014-110407.jpg
    372.6 KB · Views: 1
Israel alidanganya sana wakristo ,ila ukichunguza ni mweupe sanq, hawa hamas na hezbollah ndio wa kupigana nao mwaka mzima kweli, huku kwa hezbollah ndio anaaibika kiasi hichi? Jata jeshi letu jwtz lingefanya kazi nzuri kushinda hawa kenge wa idf walio brainwash watu kupitia movie na media zao kumbe kenge tu
Mbona kama umepanic, mjukuu wa Nasrallah..
 
Back
Top Bottom