mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Hivi unaposema Iron dome imefeli,umewahi ambiwa inauwezo wa kuzuia makombora kwa asilimia ngapi?Tukiwaambia hamna teknolojia mnabisha !? iron dome imefeli , jana hata ving'ora zimefeli.
Yaani nyie sawa wa TZ tu , kuomba kila siku si wafunge wananchi wanaishi hapo . 😀 😀
Hatutaki maswali ya asilimia ngapi tunachojua irone dome ilitengenezwa kwa ajili ya kuzuia local rocket za Hamas zinazotengenezwa Kwa mbolea hila kwa Hezbollah imebidi kuomba msaada wa THAAD ziongezwe maana zilishafungwa kitambo snHivi unaposema Iron dome imefeli,umewahi ambiwa inauwezo wa kuzuia makombora kwa asilimia ngapi?
Hzo USA air defense sindio zimefungwa kulinda Saudi Arabia lakini wa houth wakawa wanalipua visima hazifanyi kituMfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
mbwa mkali usikatize wahuni tunapita IronDome kiboko tukaifumua na kobazi moja na hata hiyo THAAD itafil#wa tu na makobazi,subirini muoneMfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Mpuuzi wewe picha inasema huo mfumo umefungwa hapo Israel 2019.English inakupiga ngwala hapa naona unalialia tu mvaa kobazi
USSR
Umedanganywa na ukadanganyika, huo mfumo ulikuwepo kwa mazayuni siku nyingi. Hakuna silaha ya kimarekani asiyokuwa nayo zayuni. ukabamizwa tarehe 1 na Wairan.Mfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Mmarekani wa senti pitazbag😁😁😁 hizi vita zinaleta vituko sana kwenye shosho midiaEnglish inakupiga ngwala hapa naona unalialia tu mvaa kobazi
USSR
BOMAYEEEEUmedanganywa na ukadanganyika, huo mfumo ulikuwepo kwa mazayuni siku nyingi. Hakuna silaha ya kimarekani asiyokuwa nayo zayuni. ukabamizwa tarehe 1 na Wairan.
Sasa wanaufunga mwengine, wameshapewa onyo tena, wameambiwa sasa watabamizwa na wamarekani wanaokwenda kusaidia kuuendesha huo mtambo.
Ushahidi wa kubamizwa huu hapa:
View: https://youtu.be/2POfCaKZ1sM?si=sX-AGu1HtYGtH7vn
Ukimkuta kwenye kijiwe cha kahawa anavyowapanga utasema kiingereza akimpigi chenga 😂Mkuu hapo wewe sasa ndiyo kiingereza kimeenda kushoto.
So tumekubaliana balistic missiles za mhajemi zilihit kwa myahudi?Kwenye vita kuka fact kubwa inaitwa backup,wakati unapambana je unanguvu kutoka wapi nani atakusaidia (washirika) muiran ana Russia na myahudi ana USA,leta swali lingine
USSR
Kondoo limepanicShaloom kondoo wa bwana ..huo mfumo ni wa ulinzi yaani wakujilinda sio wa kushambulia ,,
Wasamehe wamechanganyikiwa na kipigo Cha IRAN na kile Cha Jana Cha HizbullahWewe usiyevaa kobazi na unaejua kingereza hayo maneno niliyozungushia hapo maana yake nini?
View attachment 3124606
Kawaongopee wamgambo wenzako hiyo silaha ya kujilinda sio kushambulia kwa kukusaidia hizo THAAD Russia anazibomoa kila siku kwa Kinzal HypasonicMfumo wa Arrow 1,2,3 na Iron dome kushindwa kuzuia makombora ya Ballistic ya Iran kwenye anga la Israel na mwishowe baadhi kupenya na kufikia ardhi ya Israel kamati ya vita ya IDF ilikubalina na washirika wake kufunga THAAD ndio kujibu mashambulizi makubwa ndani ya Iran.
Jana Rais Joe Biden ametuma mfumo wa THAAD nchi Israel ukiwa na wanajeshi 100 wakuuuendesha , Tofauti na mifumo mingine ya kiulinzi THAAAD ndio komesha kwa kuzuia Ballistic ambazo zimeweza kusafiri kwa dk 400tu kutoka iran hadi Israel umbali wa km 1700 na kushindwa kuzuia na mifumo mingine.
USSR
Hio THAAD itatupiwa hypersonic tena na mrusi 🤣 halafu watasingiziwa hezbollah 😁ndio wameiunguzaTHAAD INAWEZA KUZUIA HYPERSONIC MISSILES?
mjue mnaumwa nyie
Wazayuni wa jf wanaweza kubisha ngoja uoneWewe usiyevaa kobazi na unaejua kingereza hayo maneno niliyozungushia hapo maana yake nini?
View attachment 3124606
Kwa aslimia 20 yakiongezewa na damu ya Yesu yanazuia kwa aslimia MiaHivi unaposema Iron dome imefeli,umewahi ambiwa inauwezo wa kuzuia makombora kwa asilimia ngapi?