Baada ya muda mrefu sana hatimaye nimekutana na Binti Mrembo Mweusi Pee!

Baada ya muda mrefu sana hatimaye nimekutana na Binti Mrembo Mweusi Pee!

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno.

Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.

Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia kwamba huwa natekwa sana na wanawake weusi yaani awe mweusi peee.

Kwa muda mrefu sana sijakutana na mwanamke mzuri natural maana wengi kwa sasa wamekua wanatumia vitu ambavyo sio halisi ili kujipendezesha.

Nimefarijika sana.

Hongera wewe mwanamke mweusi mrembo hakika umeugusa moyo wangu.

oladimeji-odunsi-aU_eOcelLhQ-unsplash.jpg
 
Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno.

Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.

Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia kwamba huwa natekwa sana na wanawake weusi yaani awe mweusi peee.

Kwa muda mrefu sana sijakutana na mwanamke mzuri natural maana wengi kwa sasa wamekua wanatumia vitu ambavyo sio halisi ili kujipendezesha.

Nimefarijika sana.

Hongera wewe mwanamke mweusi mrembo hakika umeugusa moyo wangu.

View attachment 2490023


Mweusi Tiiiiii
 
Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno.

Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.

Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia kwamba huwa natekwa sana na wanawake weusi yaani awe mweusi peee.

Kwa muda mrefu sana sijakutana na mwanamke mzuri natural maana wengi kwa sasa wamekua wanatumia vitu ambavyo sio halisi ili kujipendezesha.

Nimefarijika sana.

Hongera wewe mwanamke mweusi mrembo hakika umeugusa moyo wangu.

View attachment 2490023
Duh
 
Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno.

Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.

Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia kwamba huwa natekwa sana na wanawake weusi yaani awe mweusi peee.

Kwa muda mrefu sana sijakutana na mwanamke mzuri natural maana wengi kwa sasa wamekua wanatumia vitu ambavyo sio halisi ili kujipendezesha.

Nimefarijika sana.

Hongera wewe mwanamke mweusi mrembo hakika umeugusa moyo wangu.

View attachment 2490023
FB_IMG_1666730211403.jpg

Weusi wa hivyo wa kwenye picha yako wa kisudan kusini mimi huwa haunivutiii,ukitaka demu nikuhonge hadi akili uwe na characters kama huyu kwenye pochs yangu...very attractive
 
Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno.

Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.

Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia kwamba huwa natekwa sana na wanawake weusi yaani awe mweusi peee.

Kwa muda mrefu sana sijakutana na mwanamke mzuri natural maana wengi kwa sasa wamekua wanatumia vitu ambavyo sio halisi ili kujipendezesha.

Nimefarijika sana.

Hongera wewe mwanamke mweusi mrembo hakika umeugusa moyo wangu.

View attachment 2490023
Bila picha huu Uzi ungekua batili......😂
 
Back
Top Bottom