Baada ya Mwandishi Manyerere Jacton kueleza kinachoendelea Ngorongoro, sasa ndio naiamini Serikali, Wanahama kwa Hiyari

Baada ya Mwandishi Manyerere Jacton kueleza kinachoendelea Ngorongoro, sasa ndio naiamini Serikali, Wanahama kwa Hiyari

Update

View attachment 2263322
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Mhe. Dkt Pindi Chana akiwakaribisha wananchi waliohama kwa Hiari kupisha shughuli za uhifadhi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Leo Juni 16, 2022 Kaya takribani 20 zimewasili katika kijiji cha Msomera kilichopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga eneo lililotengwa na Serikali.

=====

MAWAZIRI, Innocent Bashungwa (Tamisemi), Balozi Pindi Chana (Maliasili na Utalii na Utalii), Jumaa Aweso (Maji), na Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete wamejumuika kupokea kaya 20 kati ya 290 zilizowasili Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kuamua kuondoka kwa hiyari katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Kaya hizo zimewasili kwa kusafirishwa na Serikali ikiwa ni awamu ya kwanza na kuanza makazi mapya katika eneo la Msomera ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Waziri Bashungwa amesema, tayari Serikali imeweka mazingira mazuri kwa ajili yao ambapo Serikali ilileta Sh milioni 400 kujenga shule mpya za msingi na sekondari na bweni moja katika Kata ya Misima ndani ya Kijiji cha Msomera ambazo zimekamilika ili wanafunzi wasitembee mwendo mrefu kupata masomo ya elimu ya msingi na sekondari.

Serikali imetoa Sh milioni 500 kuanza ujenzi wa kituo cha afya Msomera ambao unaendelea na Sh milioni 50 kwa ajili ya kupanua na kuboresha huduma za afya katika zahanati ya Kijiji cha Msomera katika kata ya Misima Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kinachotoa huduma kwa wananchi wasiopungua 10,000.
View attachment 2263328View attachment 2263329View attachment 2263330View attachment 2263331View attachment 2263332View attachment 2263333View attachment 2263334View attachment 2263335View attachment 2263336View attachment 2263337View attachment 2263338View attachment 2263339View attachment 2263340
Kuona ni kuamini, mkisikia maendeleo ya kweli, sasa ndio haya!.
P
 
Tuwekee video na daily updates.
Mkuu Ralph Tyler , asante sana kwa ushauri huu, umetekelezwa nimeweka update. Wamefika salama Handeni.

View attachment 2263322
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Mhe. Dkt Pindi Chana akiwakaribisha wananchi waliohama kwa Hiari kupisha shughuli za uhifadhi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Leo Juni 16, 2022 Kaya takribani 20 zimewasili katika kijiji cha Msomera kilichopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga eneo lililotengwa na Serikali.

=====

MAWAZIRI, Innocent Bashungwa (Tamisemi), Balozi Pindi Chana (Maliasili na Utalii na Utalii), Jumaa Aweso (Maji), na Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete wamejumuika kupokea kaya 20 kati ya 290 zilizowasili Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kuamua kuondoka kwa hiyari katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Kaya hizo zimewasili kwa kusafirishwa na Serikali ikiwa ni awamu ya kwanza na kuanza makazi mapya katika eneo la Msomera ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Waziri Bashungwa amesema, tayari Serikali imeweka mazingira mazuri kwa ajili yao ambapo Serikali ilileta Sh milioni 400 kujenga shule mpya za msingi na sekondari na bweni moja katika Kata ya Misima ndani ya Kijiji cha Msomera ambazo zimekamilika ili wanafunzi wasitembee mwendo mrefu kupata masomo ya elimu ya msingi na sekondari.

Serikali imetoa Sh milioni 500 kuanza ujenzi wa kituo cha afya Msomera ambao unaendelea na Sh milioni 50 kwa ajili ya kupanua na kuboresha huduma za afya katika zahanati ya Kijiji cha Msomera katika kata ya Misima Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kinachotoa huduma kwa wananchi wasiopungua 10,000.
View attachment 2263328View attachment 2263329View attachment 2263330View attachment 2263331View attachment 2263332View attachment 2263333View attachment 2263334View attachment 2263335View attachment 2263336View attachment 2263337View attachment 2263338View attachment 2263339View attachment 2263340
Kuona ni kuamini, mkisikia maendeleo ya kweli, sasa ndio haya!.
P
 
Mkuu, Naskia ulipata degree baada ya miaka 10, embu fafanua kudogo ilikuwaje
Mkuu mbobezi11 , it's true tena to be precise ni after 15 years!. Elimu haina mwisho na haina muda. Wengine husoma kwa miaka 3, na sisi wengine ndio kama hivyo, miaka 15. NB. Naomba tujifunze kujadili hoja iliyopo mezani, kusoma kwangu na ku graduate after 15 years, have got nothing to do with hoja iliyopo mezani.
Karibu mitaa hii Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM
P
 
Hako kamgogoro kanachochewa na inchi fulani. Unajua juhudi za rais kutafuta wawekezaji zinayakera baadhi ya mataifa jirani hapa East Africa.

Na hii ndo vita ya uchumi
Mkuu Morogoro kaskazini , ni kweli kabisa, hawa ni jirani zetu tunaogombania nao Utalii wa Kaskazini, Royo Tua imewatia wazimu!. Ila kitu cha ajabu kabisa, kuna baadhi ya wenzetu wanawasupport majirani hawa wasio tutakia mema!. Kiukweli hawa wenzetu wasiolitakia mema taifa letu, ni mamluki hawa.
P
 
Wanabodi
Kunapotokea mgogoro wowote na kutokea sintofahamu yoyote inayowaweka wananchi kwenye njia panda, waamini lipi, kama kinachoendelea Ngorongoro, independent media ikiripoti hali halisi ya kinachoendelea, kitu hicho kinachoripotiwa huwa ndio ukweli halisi.

Asubuhi hii nilikuwa naangalia habari kwenye TV, tukapelekwa mubashara eneo la Ngorongoro na kushuhudia kwa macho yetu in real time kwa kuona hali halisi ya kinachoendelea Ngorongoro, licha ya kushuhudia wakazi wa Ngorongoro wakipanda kwenye mabasi tayari kuanza safari ya kuhama Ngorongoro kwa hiyari,
bado unakuwa huamini kama ni kweli wanahama kwa hiyari, nikimaanisha wanaweza kuwa wanahama kwa shinikizo fulani la kichinichini au enticement ya aina fulani, lakini baada ya kumuona mwandishi wa habari Legendari Manyerere Jacton ambaye ni an independent journalist, kama mimi nilivyo, tena huyu ni mwandishi mkongwe wa rika langu, tunaitana ma Comred, hivyo Leo baada ya kumuona Comred Manyerere Jacton ambaye pia ni member wetu humu jukwaani, akisema kinachoendelea Ngorongoro asubuhi hii, na kuona ni kuamini, sasa ndio naiamini serikali yangu kuwa wakazi wa

Ngorongoro wanahama kwa hiyari, bila shinikizo lolote na bila ya vurugu zozote.
Kaka, naomba kuuliza, hivi kuna kuondoka kwa hiari bila ya kuwa na kishawishi au shinikizo lolote?

Haiingii akilini mwangu kuwa hawa wamasai waliamka tu na kudai kuhamishwa, tena kwa hiari!
Haiingii akilini kuwa hakuna shinikizo lolote.

Toka nimeanza kuzisikia hizi habari za Watanzania wenzangu, wana jamii wa Kimasai, sijawahi ona pale kulipotokea makubaliano(mkutano) wa Jamii hii kuomba Serikalini au popote pale kuwa wanataka kuhama kwenye ardhi ambayo wamekaa na kuishi kwa Karne...as a matter of fact, sijawahi kusikia Jamii yeyote Duniani inayoomba kuondoka katika maeneo yao(ancestoral) kwa madai yeyote iwe kwa janga, vita n.k kwa Hiari hata kukiwa na vishinikizo vya makali ya majanga kama hayo niliyoyataja ....I am ready to be corrected.

Naomba kuelimishwa.

Manyerere akiwa Ngorongoro, ameeleza jinsi anavyoshudia wakazi wa familia 20 za mwanzo, huko Ngorongoro zinavyohamishwa kutoka Ngorongoro na kuhamishiwa Handeni mkoani Tanga.
Wabarikiwe na mwenyezi mungu awaonyeshe njia.
Wananchi hao pia wamehojiwa na kuuthibisha uhiari wao na kueleza mategemeo yao. Manyerere ataandamana nao hadi mwisho wa safari yao

Je safari hii alianza nao lini...kabla au baada ya taarifa za taharuki. Siwezi kataa kuwa "walihojiwa" ila tu....hayo ya kuelezea "Mategemeo" yao tungepata kufahamu, itakuwa vizuri...Wana mategemeo gani huko wanapoenda baada ya....?
Kunapotokea sintofahamu yoyote kati ya serikali na jamii, ni vema sana kutumia an independent media na Kuwatumia independent journalists wanaaminika zaidi na jamii kuliko maofisa wa serikali.
Naamini michango mikubwa ya Waandishi wa Habari popote pale, na hasa kama kwa mfano uliotumia, lakini hilo halisemi kuwa hana pande? Je alienda huko kuhakiki taarifa za vurugu pekee? Je kulikuwa na uvunjwaji wa sheria kwa pande zote?
Hivyo sasa nawaomba tuiaminie serikali yetu, wakazi wa Ngorongoro wanahama kwa hiyari hakuna kulazimishwa kokote wala shinikizo lolote.
Kwa hilo hapo juu, nitakataa kuamini kwa moyo wote(sijaridhika) kwa sababu tu bado kuna sintofahamu, binafsi naona hivyo.
Comred Manyerere Jackton , kwanza hongera sana kwa Mwandishi senior kuingia front na kuripoti live from eneo la tukio, wakati wengi wa ma senior wa levels zetu siku hizi, tunapenda kukaa desk na kutuma vijana. Ukipata muda, na huku jf, tupia tupia.

Paskali.
Update


Kuona ni kuamini, mkisikia maendeleo ya kweli, sasa ndio haya!.
P
Ahsante.
P....Nimekurupuka kwa hili na kuna uwezekano kuna maelezo zaidi huko juu.
...na bila kusahau Una haki zote za kuwa na mtazamo huo.
 
Ngorongoro ule uchochezi wa watu wenye nia mbaya na nchi yetu ni moja ya vita ya kiuchumi dhidi ya jirani zetu ambao uchumi wao umejikita kwa wawekezaji ambapo huku kwetu tuna promote uwekezaji kwa kasi hivyo wanapata hofu fulani na kitu kingine hao wamasai wengi wao hao ng'ombe sio wakwao au wamechanganya na ng'ombe ambao wamiliki wengine wapo nchi jirani hata vijiji vya serengeti watu wa nchi jirani wanamiliki mifugo mingi sana kupitia ndugu zao kabila la wakurya ambao wapo huko na wilaya ya Serengeti na Tarime na kwa masai wapo huko na Ngorongoro,loliondo na maeneo mengineyo.Hiyo tunapofanya maamuzi kwa manufaa ya taifa letu halafu kikundi cha watu fulani kinataka kurudisha nyuma jitihada za serikali lazima watanzania tisimame na kukemea wenye interest binafsi badala ya kutanguliza utaifa kwanza.
Maghu alikuwa ameishakufa,macho makavu kabisa serikali ikaendelea kutuambia JPM yupo ofcn anachapa kazi.
Samaki wamekufa mto mara,tukapewa ripoti na profesa wa majararani kuwa kinyesi Cha ngombe ndio chanzo Cha vifo vya samaki
 
Kwani hao wa ubeberuni ndiyo hawako biased? Angalia propaganda zao kwenye vyombo vya habari vya magharibi kuhusu vita vya Ukraine ndiyo utajua hao unaowasifia hawana lolote.
Hoja hapa ni Wamasai wa Loliondo. Tukiwatumia waandishi wa kujitegemea kutoka Nchi za dunia ya kwanza, walau tutaweza kupata unfiltered story kuliko hawa waandishi wenye kadi za ccm akina Pasco na wenzake
 
Nimeangalia tarehe uliyojiunga JF,nimeona ni bora nikusamehe bure.
Ku paste na ku copy kitu hicho hicho kila uzi ambao hauhusiki, kunachosha sana na kutoa ladha ya uzi husika.
Tafadhali kwenye maisha yako, hasa ya mahusiano kwa mumeo,jitahidi sana usifanye ujuha huu.
Kuwa mbunifu na enenda kulingana na matukio husika dada.
Huyo jamaa ana IDs zake tano zote zimepigwa ban ndiyo juzi akafungua hii mpya,kazi yake kubwa ni kutibua mijadala kwa kuhusisha watu au mada ambazo hazihusiana na mjadala uliopo mezani
 
Mkuu Morogoro kaskazini , ni kweli kabisa, hawa ni jirani zetu tunaogombania nao Utalii wa Kaskazini, Royo Tua imewatia wazimu!. Ila kitu cha ajabu kabisa, kuna baadhi ya wenzetu wanawasupport majirani hawa wasio tutakia mema!. Kiukweli hawa wenzetu wasiolitakia mema taifa letu, ni mamluki hawa.
P
Na jana waziri wa mambo ya ndani katoa maelekezo kwa askari wa uhamiaji kuto ruhusu watu kutoka inje ya inchi kuingia ingia hovyo ndani ya eneo hilo
 
Mkuu Morogoro kaskazini , ni kweli kabisa, hawa ni jirani zetu tunaogombania nao Utalii wa Kaskazini, Royo Tua imewatia wazimu!. Ila kitu cha ajabu kabisa, kuna baadhi ya wenzetu wanawasupport majirani hawa wasio tutakia mema!. Kiukweli hawa wenzetu wasiolitakia mema taifa letu, ni mamluki hawa.
P
Njaa zinawasumbua hao mamluki hakuna kingine. Hiyo ni move ya kisayansi yenye nia ya kuipaisha Tanzania.
 
Hoja hapa ni Wamasai wa Loliondo. Tukiwatumia waandishi wa kujitegemea kutoka Nchi za dunia ya kwanza, walau tutaweza kupata unfiltered story kuliko hawa waandishi wenye kadi za ccm akina Pasco na wenzake
Nadhani una tatizo la kuelewa. Ninachosema ni kwamba, hata hao waandishi kutoka nchi za ubeberuni pia wana bias zao, watakuandikia story kwa kuduata interests zao. Mfano ni jinsi wanavyoandika kuhusu vita ya Ukraine.
 
Wakenya wanatuma masai na migolole yao kuja kuharibu mbuga ili nyumbu wakienda Masai Mara wasirudi Tizii
 
Vile serikali huwa inajibu linapokuja suala la wamasai😁😁😁
 
Wanabodi
Kunapotokea mgogoro wowote na kutokea sintofahamu yoyote inayowaweka wananchi kwenye njia panda, waamini lipi, kama kinachoendelea Ngorongoro, independent media ikiripoti hali halisi ya kinachoendelea, kitu hicho kinachoripotiwa huwa ndio ukweli halisi.

Asubuhi hii nilikuwa naangalia habari kwenye TV, tukapelekwa mubashara eneo la Ngorongoro na kushuhudia kwa macho yetu in real time kwa kuona hali halisi ya kinachoendelea Ngorongoro, licha ya kushuhudia wakazi wa Ngorongoro wakipanda kwenye mabasi tayari kuanza safari ya kuhama Ngorongoro kwa hiyari,
bado unakuwa huamini kama ni kweli wanahama kwa hiyari, nikimaanisha wanaweza kuwa wanahama kwa shinikizo fulani la kichinichini au enticement ya aina fulani, lakini baada ya kumuona mwandishi wa habari Legendari Manyerere Jacton ambaye ni an independent journalist, kama mimi nilivyo, tena huyu ni mwandishi mkongwe wa rika langu, tunaitana ma Comred, hivyo Leo baada ya kumuona Comred Manyerere Jacton ambaye pia ni member wetu humu jukwaani, akisema kinachoendelea Ngorongoro asubuhi hii, na kuona ni kuamini, sasa ndio naiamini serikali yangu kuwa wakazi wa Ngorongoro wanahama kwa hiyari, bila shinikizo lolote na bila ya vurugu zozote.

Manyerere akiwa Ngorongoro, ameeleza jinsi anavyoshudia wakazi wa familia 20 za mwanzo, huko Ngorongoro zinavyohamishwa kutoka Ngorongoro na kuhamishiwa Handeni mkoani Tanga.

Wananchi hao pia wamehojiwa na kuuthibisha uhiari wao na kueleza mategemeo yao. Manyerere ataandamana nao hadi mwisho wa safari yao

Kunapotokea sintofahamu yoyote kati ya serikali na jamii, ni vema sana kutumia an independent media na Kuwatumia independent journalists wanaaminika zaidi na jamii kuliko maofisa wa serikali.

Hivyo sasa nawaomba tuiaminie serikali yetu, wakazi wa Ngorongoro wanahama kwa hiyari hakuna kulazimishwa kokote wala shinikizo lolote.
Comred Manyerere Jackton , kwanza hongera sana kwa Mwandishi senior kuingia front na kuripoti live from eneo la tukio, wakati wengi wa ma senior wa levels zetu siku hizi, tunapenda kukaa desk na kutuma vijana. Ukipata muda, na huku jf, tupia tupia.

Paskali.
Update


Kuona ni kuamini, mkisikia maendeleo ya kweli, sasa ndio haya!.
P
Huyo comred wako pia ni njaa tu
 
We jamaa una matatizo sana. Manyerere ni mwanaccm nani wa kumuaamini?
Mkuu Muuza Kangala , acha mambo ya kwenye kilabu cha kangala, kwani mtu ukiwa CCM ndio huaminiki?. Mimi mwenyewe sio tuu ni mwana CCM, bali pia ni kada mwaminifu wa chama cha Mapinduzi, CCM, na ni mtu wa kuaminika.
Kiukweli humu JF, sisi CCM, tunaonewa sana!. Niliwahi kuuliza Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair
P
 
Back
Top Bottom