Baada ya Mwl. Mussa Iddy kulalamika, HESLB yatoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa urejeshaji mikopo

Kwa nini retation fee ina fichwa fichwa toka watunge sheria 2016 huu mwaka wa tano sasa ndio mnajitokeza kutoa ufafanuzi je mkiitwe nyie ni WEZI mtakataa
Juza raisi magufuli alipokua chato alimuomba waziri mkuu wa china nchi yao isamehe madeni wanayoida serikali ya tanzania je mki isamehe hiyo retation fee kwa wanufaika wa mikopo kuna kosa gani
Kuwa na portal na mifumo ni bla bla kubalini mmeshakosea kwa hiyo msituvuruge
HESLB sio TRA nyie ni bodi ya mikopo elimu inatakiwa itolewe mapema kabla ya kuanza kuleta porojo
 
Mbona mmepewa ujanja na wao wenyewe serikali ili msilipe huo mkopo - Jiajiri mwenyewe
Nyinyi bado mnataka kuajiriwa ili mkwate huo mkopo?
 
Dawa ya deni ni kulipa na si vinginevyo
Kwa hili nipo upande wa raia. Unakusanya kodi kupitia mshahara wa mwananchi ili umuhudumie, unamuhudumia kwa kumpa mkopo mwanae asome, mwanae akimaliza anarudisha na fee endapo atachelewa. Ila ukichelewa kumlipa mshahara yeye au mafao ya mzazi wake hakuna fee anayokuchaji. Serikali yetu ipambane pia na haya mambo yanayomgusa mtu wa chini moja kwa moja.
 
Kwa wale waliomaliza mkopo na wakia amini hamdaiwi tena jeumelipokeaje hili suala?
Kwa wale ambao hajabahatika kupata uhakika wa ajira na miaka ina zidi kusonga hii rentation fee una zungumziaje?
Kws wale ambao mmeshafikisha 40's na bado hujamaliza deni je unadhani kuna usahihi wowote ?
HESLB NI KITANZI CHA MAISHA
 
Si ajabu Mwalimu Idd kafutiwa deni mazima ohooo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kama ulisoma zile maudhui zinazo trend kuhusu hii bodi, hakuna ufafanuzi weowote uliotolewa. Waingereza wanasema "The author was beating about the bush"
 
Umewaepukaje?
Jina nililokuwa natumia chuo sio hili nalotumia sasa, yaani yote yamebadilika..pia sipo kwenye ajira rasmi.
Halafu cha kushangaza nilishawahi kuangalia kama jina langu lipo kwenye list ya wadaiwa sikuliona, sisi tulikuwa wa mwanzo kupata mkopo enzi hizo 2004..ilikuwa simple sikumbuki kama nilijaza form..tuliandika majina, course unayosoma na account namba..baada ya wiki mbili mkopo ukaingia..

Hadi namaliza sikumbuki kujaza form yoyote. Nimehisi labda hawakuweka details vzr kwenye system. Sijawahi wauliza wenzangu kama wao wanadaiwa au la...
 

Vipi ukitaka Passport ya kusafiria 😎😎

Yaaani NIN ndo kiboko na mwisho wake yote

Siku isiyo na jina watakupata tu hata akaunti zako za benki watapita nazo. Ombea Mungu uendelee kutumia hadi akaunti za mama milele. Hawa jamaa hawataki mchezo saivi
.
NIN= Namba ya Utambulisho ya Taifa
 
Mbona mi nimeandika nafuga kuku Vikindu, Mkuranga. Naishi Kijichi DSM na barua ya serikali ya mtaa nimeambatanisha.

Serikali yenyewe ipo wapi ya kumtafuta kila mdaiwa door to door ? Hii hii ya CCM?
Huna akaunti ya benki?
 
Baada ya Mwl. Iddy wa Geita kufichua uonevu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Hatimaye Bodi wameamua watoke hadharani tena ni Jumapili [emoji116][emoji116][emoji116]...]
hamna ufafanuzi hapo,porojo tu
 
Kuna watumishi wanadai nauli za likizo za mwaka 2014, wakilipwa madeni wanalipwa fedha ileile hiyo value retention fee ni ya upande mmoja?
Magufuli nchi imekushinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…