Katika sheria nasikia iko hivyo..
Siku Hiyo wamenivamia ndo nilikua nimerudi na mzigo Ila nilikua nauacha sehemu nyingine.
Hivyo wangenipata aisee sijui ingekuwaje..
Sena mapusher wanachomana sana.
OK lakini ulifanikiwa kwenda mwanza au mzee alikubananisha?Usijali ipo siku nitakuja na fully story na yenyewe imejaa matukio ya kusitajabu. Mi maisha niliyaanza mwaka 2005 nilipomaliza muhula wa kwanza nikiwa darasa la 3.
In short nilitaka kuwa mtoto wa mitaloni nilitoka kijijini nikaingia mjini pale wilaya ya Tarime. Nakumbuka ilikuwa siku ya j'mosi ndipo niliondoka home tena nakumbuka tulikuwa tumeliza kumenya mihogo mida ya jioni. Nilipoenda kutupa maganda ya mihogo nikapitiliza mpaka kijiji jirani nikalala kwa sister. Kule bana kila siku ya j'pili huwa ni mnada mjini. Basi kesho yake ilikuwa jumapili nikaondoka mpaka mnadani. Nikaenda nikadhurura bila hata sent mia mfukoni ilipofika saa 9 jioni nikageuza kurudi kwa dada.
Nilipofika tu kwa dada nikaambiwa baba kaja kukutafuta! Nikajua hapa nimeisha maana baba alikuwa ni moto wa kuotea mbali nikakaa nikiwa nafikiria njia ya kutoroka kutoka pale kwa dada niingie mjini afu badae nisepe Mwanza. Nimekaa mpaka usiku chakula kikaiva tukala na pamoja na watu wa pale make ilikuwa ni mji wenye watu wengi sana. Afu huku wakinishangaa kuwa mtoto mdogo afu mgeni amefikeje mjini bila ruhusa ya wakubwa!? Kichwani mi nikisema mgejua mi nina mpango wa kwenda Mwanza hata msingeuliza hayo maswali.
Basi hatimaye tukaingia kulala bana. Mpaka ikafika asubuhi nikaamuka japo bado nilikuwa mdogo kama mwenye miaka 10 hivi nikaenda shambani kuvuna mahindi tumevuna mpaka saa 4 asubuhi tukatoka na kwenda nyumbani. Mara wakati nasubiri uju nikamuona baba huyo. Nikajua hapa nimekamatwa na adhabu yangu nilijua itakuwa n zaidi ya mateso ya Yesu. Nikaendelea kuchili. Baba wakawa wanazungumza na baba mkwe wake na dada yani sanzi yake huku akinikata jicho baya sana kichwa najisemea leo utaoniona kuwa nimeamua kutoka kwako mzee............ kwa leo niishie hapa ila nilikuja kuwa mpole sana mpaka leo hii nipo chuoni Mwaka wa 3
Nitafanya hivyo mkuuDah pole sana mkuu, umepitia mengi sana.
Agustino ni mwamba, tena chuma.
Usimsahau mshikaji, ukimsahau mwamba utakua umemsaliti sana na itakugharimu.
Uww unaenda kumtembelea mshikaji hata kama inawezekana kwa mwaka mara mbili au tatu au hata zaidi ya hapo.
Muandalie mazingira jamaa akija akute mambo safi. Dah, hii stori mwishoni imesikitisha sana. ..lkn ndo maisha. Dunia uwanja wa vita..ni mapambani, ukileghea unapigwa nyundo unazima milele.
Usimsahau Augustino. Usimsahau Augustino. Usimsahau Augustino.
Mungu amlinde popote pale alipo.
Siku unaenda ni pm.
Halafu Huyo Pusha alikua bwana aangu tukaachana Hivyo alikua anajua ratiba zangu..
Duh,Ex wako hauwezi mkumbuka?. Mli-date siku moja au ni mambo ya enzi za Tanu?Halafu Huyo Pusha alikua bwana aangu tukaachana Hivyo alikua anajua ratiba zangu..
Sikh Hiyo akamwaga Mboga ..yaani yule jamaa natamani nikutane nae nimchane Ila sidhani kama nitamkumbuka...
Wapi huko?Haya mambo yapo wazee. Kuna nyumba huku kwetu huwa haifahamiki mmiliki wake. Kila siku usiku watu hutoa vilio wakiwa ndani ya nyumba hiyo, ukiwa kwa nje unaona kama watu wanatembea mle ndani kupitia pazia zile za transparency. Nyumba ni kubwa haina umeme kwa hiyo mwanga unaotumika mule ni kama mwanga wa mshumaa. Eneo hilo linaogopeka sana na ukipita wakati wa mchana unakuta pako kimya kwelikweli, kuanzia usiku saa tano huwa mwanga wa mshumaa unawashwa, halafu sauti za vilio zinaanza kusikika, ni wake kwa waume huku mipishano ikiendelea mule ndani. Wanasema mwenye nyumba alishafariki miaka mingi na sijui hakuwa na familia au laa. Leo nitajiaribu kupapiga picha au kuchukua video
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu huyu mrembo una namba yake..??
Wanaitwa critics mkuu......ni wazuri pia maana wanakujenga sio kila akusifu tu jamaa yanguKwenye hicho kipengele cha kuandika ubakaji nimekiri hapo juu kuwa nilienda chaka maana kuna mdau alikuwa ameshaniuliza nikamjibu
Kuna watu kazi yao tu nikukosoa anaweza acha kazi zake zote akaanza kufukua nyuzi zote ulizoandika na comments moja moja ili tu akuprove wrong.
Ukiangalia hicho kipengele kuanzia mwaka wa tukio, gereza alilofungwa, miaka ,mahusiano vyote viko sawa
Lakini angalia watu walivyo na roho za husda wameacha vyote wanakomalia tu ubakaji , kwenye uandishi kunakuteleza kila mtu tukianza kumfanyia upekuzi kwenye nyuzi zake zote na comments tutakuta correlation ni sifuri
Hakuna mkamilifu
Sent using Jamii Forums mobile app
no unasafishwa tu ili mambo yakianza we mwili wako upo tayari kwa mapokeoKwahiyo baada ya nyungu mambo yanakua kitonga?
Ebwana si mchezo. Nimefika mbele nimekuta jamaa akatakiwa aue mama, kwahiyo hii nyungu inaenda pamoja na kafara?no unasafishwa tu ili mambo yakianza we mwili wako upo tayari kwa mapokeo
Mkuu dhamana ya kesi ya bangi ni mwisho gramu labda 50 but kuanzia kg 1 nakuendelea hamna dhamana sasa si wamempa mzigo mwingi.Kesi ya Bangi inadhamana nashangaa kwann jamaa hakupewa dhamana.. sema 30 years n nying.
Sent using Jamii Forums mobile app
Memory Kadi yangu INA 500MBDuh,Ex wako hauwezi mkumbuka?. Mli-date siku moja au ni mambo ya enzi za Tanu?
Huku kasema jamaa alibk kwa stori hapa anasema alikutwa na kitu cha arushaView attachment 1415605
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu andiko hili litakuwa limetoa fundisho kwa namna moja ama nyingine uzuri maneno yanadumu yatasaidia pia wengine hata siku zaa mbeleHii story yako na ya jamaa mmoja humu anaitwa jerrybanks zinasisimua aisee, mmejifunza na tumejifunza, we won't make the same mistakes.
Dah mi naona kwa binadamu kuweza kuendana hayo mambo ya kigiza ni vigumu sana hata kama ukiweza huwezi jiita shupavu, yan unaambiwa chochote utakachokiona usiogope aisee asikuambie, mtu kila mtu nafikiri anakitu tu kitamuogopesha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app