Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Dah pole sana mkuu, umepitia mengi sana.

Agustino ni mwamba, tena chuma.
Usimsahau mshikaji, ukimsahau mwamba utakua umemsaliti sana na itakugharimu.

Uww unaenda kumtembelea mshikaji hata kama inawezekana kwa mwaka mara mbili au tatu au hata zaidi ya hapo.

Muandalie mazingira jamaa akija akute mambo safi. Dah, hii stori mwishoni imesikitisha sana. ..lkn ndo maisha. Dunia uwanja wa vita..ni mapambani, ukileghea unapigwa nyundo unazima milele.

Usimsahau Augustino. Usimsahau Augustino. Usimsahau Augustino.

Mungu amlinde popote pale alipo.

Siku unaenda ni pm.
 
Usijali ipo siku nitakuja na fully story na yenyewe imejaa matukio ya kusitajabu. Mi maisha niliyaanza mwaka 2005 nilipomaliza muhula wa kwanza nikiwa darasa la 3.

In short nilitaka kuwa mtoto wa mitaloni nilitoka kijijini nikaingia mjini pale wilaya ya Tarime. Nakumbuka ilikuwa siku ya j'mosi ndipo niliondoka home tena nakumbuka tulikuwa tumeliza kumenya mihogo mida ya jioni. Nilipoenda kutupa maganda ya mihogo nikapitiliza mpaka kijiji jirani nikalala kwa sister. Kule bana kila siku ya j'pili huwa ni mnada mjini. Basi kesho yake ilikuwa jumapili nikaondoka mpaka mnadani. Nikaenda nikadhurura bila hata sent mia mfukoni ilipofika saa 9 jioni nikageuza kurudi kwa dada.

Nilipofika tu kwa dada nikaambiwa baba kaja kukutafuta! Nikajua hapa nimeisha maana baba alikuwa ni moto wa kuotea mbali nikakaa nikiwa nafikiria njia ya kutoroka kutoka pale kwa dada niingie mjini afu badae nisepe Mwanza. Nimekaa mpaka usiku chakula kikaiva tukala na pamoja na watu wa pale make ilikuwa ni mji wenye watu wengi sana. Afu huku wakinishangaa kuwa mtoto mdogo afu mgeni amefikeje mjini bila ruhusa ya wakubwa!? Kichwani mi nikisema mgejua mi nina mpango wa kwenda Mwanza hata msingeuliza hayo maswali.

Basi hatimaye tukaingia kulala bana. Mpaka ikafika asubuhi nikaamuka japo bado nilikuwa mdogo kama mwenye miaka 10 hivi nikaenda shambani kuvuna mahindi tumevuna mpaka saa 4 asubuhi tukatoka na kwenda nyumbani. Mara wakati nasubiri uju nikamuona baba huyo. Nikajua hapa nimekamatwa na adhabu yangu nilijua itakuwa n zaidi ya mateso ya Yesu. Nikaendelea kuchili. Baba wakawa wanazungumza na baba mkwe wake na dada yani sanzi yake huku akinikata jicho baya sana kichwa najisemea leo utaoniona kuwa nimeamua kutoka kwako mzee............ kwa leo niishie hapa ila nilikuja kuwa mpole sana mpaka leo hii nipo chuoni Mwaka wa 3
OK lakini ulifanikiwa kwenda mwanza au mzee alikubananisha?

Pia hiyo 2005 na mimi nilikuwa standard 3 nini kilikukuta hapo kati kati hadi uingie third year mwaka huu

Maana ingetakiwa umalize mwaka jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah pole sana mkuu, umepitia mengi sana.

Agustino ni mwamba, tena chuma.
Usimsahau mshikaji, ukimsahau mwamba utakua umemsaliti sana na itakugharimu.

Uww unaenda kumtembelea mshikaji hata kama inawezekana kwa mwaka mara mbili au tatu au hata zaidi ya hapo.

Muandalie mazingira jamaa akija akute mambo safi. Dah, hii stori mwishoni imesikitisha sana. ..lkn ndo maisha. Dunia uwanja wa vita..ni mapambani, ukileghea unapigwa nyundo unazima milele.

Usimsahau Augustino. Usimsahau Augustino. Usimsahau Augustino.

Mungu amlinde popote pale alipo.

Siku unaenda ni pm.
Nitafanya hivyo mkuu

Najua mungu atatia baraka kila kitu kitaenda sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu Huyo Pusha alikua bwana aangu tukaachana Hivyo alikua anajua ratiba zangu..
Sikh Hiyo akamwaga Mboga ..yaani yule jamaa natamani nikutane nae nimchane Ila sidhani kama nitamkumbuka...
Duh,Ex wako hauwezi mkumbuka?. Mli-date siku moja au ni mambo ya enzi za Tanu?
 
Haya mambo yapo wazee. Kuna nyumba huku kwetu huwa haifahamiki mmiliki wake. Kila siku usiku watu hutoa vilio wakiwa ndani ya nyumba hiyo, ukiwa kwa nje unaona kama watu wanatembea mle ndani kupitia pazia zile za transparency. Nyumba ni kubwa haina umeme kwa hiyo mwanga unaotumika mule ni kama mwanga wa mshumaa. Eneo hilo linaogopeka sana na ukipita wakati wa mchana unakuta pako kimya kwelikweli, kuanzia usiku saa tano huwa mwanga wa mshumaa unawashwa, halafu sauti za vilio zinaanza kusikika, ni wake kwa waume huku mipishano ikiendelea mule ndani. Wanasema mwenye nyumba alishafariki miaka mingi na sijui hakuwa na familia au laa. Leo nitajiaribu kupapiga picha au kuchukua video
Wapi huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hicho kipengele cha kuandika ubakaji nimekiri hapo juu kuwa nilienda chaka maana kuna mdau alikuwa ameshaniuliza nikamjibu

Kuna watu kazi yao tu nikukosoa anaweza acha kazi zake zote akaanza kufukua nyuzi zote ulizoandika na comments moja moja ili tu akuprove wrong.

Ukiangalia hicho kipengele kuanzia mwaka wa tukio, gereza alilofungwa, miaka ,mahusiano vyote viko sawa

Lakini angalia watu walivyo na roho za husda wameacha vyote wanakomalia tu ubakaji , kwenye uandishi kunakuteleza kila mtu tukianza kumfanyia upekuzi kwenye nyuzi zake zote na comments tutakuta correlation ni sifuri

Hakuna mkamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaitwa critics mkuu......ni wazuri pia maana wanakujenga sio kila akusifu tu jamaa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii story yako na ya jamaa mmoja humu anaitwa jerrybanks zinasisimua aisee, mmejifunza na tumejifunza, we won't make the same mistakes.
Dah mi naona kwa binadamu kuweza kuendana hayo mambo ya kigiza ni vigumu sana hata kama ukiweza huwezi jiita shupavu, yan unaambiwa chochote utakachokiona usiogope aisee asikuambie, mtu kila mtu nafikiri anakitu tu kitamuogopesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Oky ngoja niendelee nakumbuka siku ya mwisho nimeenda kumuona pale magereza nikiwa nimeshika mkate na vipande vya sabuni + wembe nikajua labda kidogo kule magereza kutakuwa na utaratibu mzuri wa kuongea na mfungwa asee kufika tuliruhusiwa raia kama 20 hivi kwa mkupuo eti tuongee na wafungwa wetu kwa zile kelele sikuweza kumsikia vizuri neno nililolisikia kutoka kwake ni MWANANGU ENDELEA KUKOMAA"


Dah huo utaratibu wa kuongea na wafungwa mbaya sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Mungu ajaalie Agu atoke salama, wish tuanzishe kitu kwa ajili yake hasa kimsaidie Siku akitoka, walio karibu pia wajitahidi kwenda kumuona Mwamba, hata walio mbali pia wenye uwezo waende. Kwenye haya maisha uvumilivu ni kitu muhimu sana huku ukipambana na kumtegemea Mungu tu. Pambana mwenyewe, Tumia vipaji vyako, tengeneza connection zako vizuri.......fuata njia halali tu, dark side sio salama na hata ukitobolea huko basi tubu na urudi mstarini, usidumu huko, utaishia PABAYA


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii story yako na ya jamaa mmoja humu anaitwa jerrybanks zinasisimua aisee, mmejifunza na tumejifunza, we won't make the same mistakes.
Dah mi naona kwa binadamu kuweza kuendana hayo mambo ya kigiza ni vigumu sana hata kama ukiweza huwezi jiita shupavu, yan unaambiwa chochote utakachokiona usiogope aisee asikuambie, mtu kila mtu nafikiri anakitu tu kitamuogopesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu andiko hili litakuwa limetoa fundisho kwa namna moja ama nyingine uzuri maneno yanadumu yatasaidia pia wengine hata siku zaa mbele

Pia hata wale watakao jitosa kupita njia hizo kidogo watakuwa na mwanga wa nini wategemee kukutana nacho.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom