The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Kwa nini mkuu? sindesundeHuyu jamaa atakua moshi aujatoka kichwani
Mkuu asante kwa kuendelea kunijuza kila unapotoa.
Big up mkuu jooohs
Kastory katamu walaqhi'.
Halafu wapenzi wafuatiliaji tupendane tu, tukumbukane katika kutagiana.!
Big up mkuu jooohs
Kastory katamu walaqhi'.
Halafu wapenzi wafuatiliaji tupendane tu, tukumbukane katika kutagiana.!
Mkuu usione mtu hana chanjo ukadhani ni mtakatifuMkuu asante kwa kuendelea kunijuza kila unapotoa.
Hizi mambo za chale hizi[emoji38][emoji38][emoji38] unaweza pata demu mgongo una chale kama cutting board
Sent using Jamii Forums mobile app
Agustino aisee ww ndio uliyemdangaya mwenzako aende kwa mganga sio
[emoji23][emoji23] sawa mkuungoja nisubiri storry imalizike yote ili nije kusoma yote kwa pamoja
Hapana sio yeye baada ya story kuisha utajua agustino nae msemea allishia wapiAgustino aisee ww ndio uliyemdangaya mwenzako aende kwa mganga sio
Sent using Jamii Forums mobile app