Huyo aliyekuwa amekaa hapo ... katoka eeee"Wewe mwenye shati la ugoro ugoro" alisikika akisema
Mpaka upige mkongo sio? Au vumbi? Sasa watanzania unatufananisha na wale jirani zangu Moshi ukoo wa Mbooo. Sio ukoo wa kina Marealle. Hapana.Tatizo Tanzania ya sasa mpaka ubustiwe ndio uibuke.
Kujiajiri ujiandae kudaiwa kodi kama vile kuna mtu alikusaidia kukupa mtajiDuh, kazi za kuajiriwa hizi, unadhalilishwa sana
Hapana, Jmkuu wake alisikika akisema "hizi gharama nimezisikia hata kabla wewe hujaingia TAKUKURU .."Naona ameamka kutoka usingizini.....na ukute kwenye mgao alikuwepo sema mzee amesanuka ndio anajidai kuchukua hatua.
Hahah Ng'atwa Ung'atwe.Njunji unjunjwe,
'Mimi sihitaji mtu ajipendekeze pendekeze khs mambo ya Chato,wengine sisi mioyo yetu imeshakua Sugu'.Huyo aliyekuwa amekaa hapo ... katoka eeee