Baada ya Rais kung'aka, Mkurugenzi TAKUKURU awang'ata watumishi 9 waliohusika ujenzi/usimamizi wa majengo 7 ya TAKUKURU

Baada ya Rais kung'aka, Mkurugenzi TAKUKURU awang'ata watumishi 9 waliohusika ujenzi/usimamizi wa majengo 7 ya TAKUKURU

Sasa kama Rais ni mkali kiasi hiki lakini watu bado wanapiga mpaka ndani ya takukuru sa hizo zama za wana demokrasia je hali ilikuwaje sasa wakuu.
Huyu kaua mifumo ya usimamizi ili yeye asimamie kila kitu jambo ambalo hataweza, in fact awamu hii upigaji ni mkubwa kuliko awamu zote.

Tofauti na awamu zingine, wapigaji wamekuwa wachache na ni wale ambao wana mnasaba naye hivyo hawaguswi na watu wengine hadi yeye agundue ama aamue kuwatumbua.
 
Huyu kaua mifumo ya usimamizi ili yeye asimamie kila kitu jambo ambalo hataweza, in fact awamu hii upigaji ni mkubwa kuliko awamu zote.

Tofauti na awamu zingine, wapigaji wamekuwa wachache na ni wale ambao wana mnasaba naye hivyo hawaguswi na watu wengine hadi yeye agundue ama aamue kuwatumbua.
Upigaji umepungua sana awamu hii
 
TAKUKURU NG'ATA...

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbung'o, amewasimamisha kazi watumishi 9, ambao walihusika katika ujenzi na usimamizi wa majengo Saba ya Taasisi hiyo yaliyojengwa Chamwino, Mpwapwa, Ngorongoro, Manyoni, Masasi, Namtumbo na Ruangwa.

=====

Hapo jana katika Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU-Chamwino) uliofanyika Jijini Dodoma, Rais Magufuli alisema jengo hilo halikuwa la yeye kwenda kufungua lakini pia gharama iliyotumika katika ujenzi ni ya juu sana.

Alisema Waziri Mkuu alimwambia nyumba hiyo yeye angejenga wa Milioni 60 huku Rais Magufuli mwenyewe akisema amejenga nyumba yenye ukubwa kama huo huko kwao kwa Milioni 40

Pia soma:
Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?


Rais hajafurahishwa na jengo la TAKUKURU

Sorry mm sijafurahishwa na usemi anatekeleza agizo la Rais mm naona kama anajivuwa wajibu wake kwanini yeye hajaona kuwa kuna shida? Well mm sijuwi protocal ila naona angeandika kamayeye ndio mtekelezaji maana hao watu wana report kwake sio kwa Rais
 
Na ni kwa nini uweke watu kutoka kada nyingine kwenye senior positions?

Nijuavyo mimi, senior positions ni sehemu ya promotion anayopewa mtu baada ya uadilifu na experince kwenye mid-positions za kada husika.
Mh. Magufuli na wateuliwa wake toka JWTZ aliowateua kusimamia taasisi mbalimbali nje ya jeshi kuweni macho wakati wote.
Kwa hulka ya binadamu watu waliokuwa kwenye hizo taasisi zingine wanaweza kutopenda namna wasivyo aminiwa na kuletewa mtu toka nje ya taasisi yao.
Wanaweza kuanza kuwatengenezea mizengwe wachafuke ili wanajeshi wasiaminiwe tena kama sasa.
Wateuliwa pigeni kazi mkiwa macho, muwe ACTIVE, PROACTIVE lakini kamwe msiwe REACTIVE inaweza kuwagharimu.
 
TAKUKURU NG'ATA...

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbung'o, amewasimamisha kazi watumishi 9, ambao walihusika katika ujenzi na usimamizi wa majengo Saba ya Taasisi hiyo yaliyojengwa Chamwino, Mpwapwa, Ngorongoro, Manyoni, Masasi, Namtumbo na Ruangwa.

=====

Hapo jana katika Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU-Chamwino) uliofanyika Jijini Dodoma, Rais Magufuli alisema jengo hilo halikuwa la yeye kwenda kufungua lakini pia gharama iliyotumika katika ujenzi ni ya juu sana.

Alisema Waziri Mkuu alimwambia nyumba hiyo yeye angejenga wa Milioni 60 huku Rais Magufuli mwenyewe akisema amejenga nyumba yenye ukubwa kama huo huko kwao kwa Milioni 40

Pia soma:
Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?


Rais hajafurahishwa na jengo la TAKUKURU

Vema kabisa maana rushwa inaweza ikawa kwa wachunguza rushwa.
Nielewesheni, hvii tume si unaundwa na Rais na wengine wanaunda kamati tuu au kuna mahala nimesahau kitu
 
Si kweli,aliyeambiwa asimame na hilo tumbo lake ni jamaa mwingine wa takukuru anayehusika na mambo ya ujenzi.
Daah alisimama? Au tumbo lilikua zito ukichanganya na kupanik... Safari hii watu watacheua hivyo vyeo Kama Kamanda Hapo kaambiwa na minyota yote hiyo bado anashindwa kuchambua taarifa
 
Naona ameamka kutoka usingizini.....na ukute kwenye mgao alikuwepo sema mzee amesanuka ndio anajidai kuchukua hatua.

Anna kitu hapo. Ina maana yeye alikuwa ajagundua udhaifu huo hadi Mh. Rais. Alafu kwani kuna ulazima kila mradi uzinduliwe na Mh. Rais? Waache kujipendekeza wakati mwingine.
 
Upigaji umepungua sana awamu hii
Kama umepungua, hawa anaowatumbua kila siku na kuwananga majukwaani unawasemeaje?

Kwa nini hataki miradi inayofanywa na serikali ikaguliwe na CAG?

Kwa nini ajiamulie kutoa fedha za umma bila ridhaa ya bunge?

Ile deficit ya 1.5trl kwenye report ya CAG ilitokea wapi?
 
Sorry mm sijafurahishwa na usemi anatekeleza agizo la Rais mm naona kama anajivuwa wajibu wake kwanini yeye hajaona kuwa kuna shida? Well mm sijuwi protocal ila naona angeandika kamayeye ndio mtekelezaji maana hao watu wana report kwake sio kwa Rais
Yeye haelewi cha kufanya na ndio maana kasubiri hadi aaibishwe hadharani hivyo anasubiri hadi rais aseme ndio achukue hatua, na hao ndio asilimia kubwa ya wateule wa awamu hii.
 
Vema kabisa maana rushwa inaweza ikawa kwa wachunguza rushwa.
Nielewesheni, hvii tume si unaundwa na Rais na wengine wanaunda kamati tuu au kuna mahala nimesahau kitu
Uko sahihi kabisa Mkuu, ni rais pekee ndiye mwenye mamlaka ya kuunda tume.

Ndio maana tunasema hawa wateule wa rais wengi ni mabomu hasa hasa hawa anaowatoa kwenye majeshi, sijui anataka kumtisha nani anapowaleta kwenye taasisi za kiraia.
 
Magu kawashitukia TAKUKURU,wakajenge ofisi Chato,ili iweje?? Waje waanze kumchunguza kwenye miladi ya huko Chato? Magu mjanja sana,kacheki kwa jicho la tatu,na huu ushauri ukute katoa kwa Mr Chenge

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi kabisa Mkuu, ni rais pekee ndiye mwenye mamlaka ya kuunda tume.

Ndio maana tunasema hawa wateule wa rais wengi ni mabomu hasa hasa hawa anaowatoa kwenye majeshi, sijui anataka kumtisha nani anapowaleta kwenye taasisi za kiraia.
Ahsante mkuu kwa uhakika huo.
Shida inanzia hapo wakuu wanaposhiondwa kujua mipaka ya mamlaka yao. Uwenda mwenye mamlaka yake anaweza kuamua hatua za ziada kwa aliyechukua madaraka yake. 🙄 🙄🙄
 
Na ni kwa nini uweke watu kutoka kada nyingine kwenye senior positions?

Nijuavyo mimi, senior positions ni sehemu ya promotion anayopewa mtu baada ya uadilifu na experince kwenye mid-positions za kada husika.
Je, kama hakuna waadilifu au uadilifu wao unatiliwa mashaka watu waliopo kwenye taasisi husika?
Pia tutofautishe kati ya taasisi na kada.
Jambo lingine tutofautishe uongozi au utawala na nafasi zile za chini za kiutendaji wa shughuli husika za kila siku zinazohitaji uwe umesomea fani husika, yaani uwe na taaluma ya kada husika.
Mkurugenzi Mkuu ni ngazi ya uongozi wa juu ambayo ni ya kisera na maono , ni zaidi ya kufanya daily operations za domain husika.

Kwenye ngazi za kiungozi na utendaji au mgawanyo wa majukumu kwenye taassi kubwa Mkurugenzi mkuu ni strategic level siyo managerial level au siyo operational level ambazo zinahitaji lazima ziwe na watu wa kada au fani husika. Yaani yule tunaweza kumlinganisha na raisi wa taasisi husika.

Raisi anakuwa na wasaidizi kila idara ambao ndiyo watu wa fani husika wa kazi inazofanyika na hizo idara. Yeye kidogo anafanana na General Manager ambae chini yake kuna Manager wa Fedha, ICT, Manager wa Operesheni, Mauzo, Ubora na Viwango, Usimamizi Miliki, n.k.
Hapo unaweza kubadili jina manager na kuweka jina mkurugenzi mfano Mkurugenzi Mkuu, Mkurugenzi wa Fedha, n.k.

Hivyo kwa kumalizia niseme Mkurugenzi Mkuu au Kamishina Mkuu anaweza kutoka nje ya taasisi husika kutokana na sifa flani flani. Utaona mfumo wa TAKUKURU umekaa kama wa kijeshi au wa kiaskari kidogo na ndiyo maana wale watendaji wa kawaida wanaenda mafunzo kidogo ya kiaskari. Mtu mwenye sifa toka kada za uaskari au kijeshi anaweza kuja kuongoza hiyo taasisi hasa kama malengo makubwa kuja kujenga nidhamu na uadilifu kama unaotakiwa majeshini. The same kwa jeshi la magereza.
 
Mnajichafua mwenyewe na kujikosha wenyewe, tumechoka na unafiki wenu!! Yani hizi wilaya zingine wanazuga tu lengo ni Chato na Ruangwa. Nasubiri kusikia aliyeamulu ujengwe uwanja wa ndege Chato nae ang'atwe maana hata bunge halikupitisha!!
 
Huyu kaua mifumo ya usimamizi ili yeye asimamie kila kitu jambo ambalo hataweza, in fact awamu hii upigaji ni mkubwa kuliko awamu zote.

Tofauti na awamu zingine, wapigaji wamekuwa wachache na ni wale ambao wana mnasaba naye hivyo hawaguswi na watu wengine hadi yeye agundue ama aamue kuwatumbua.
Acha uongo mkuu usitufanye watoto hapa mifumo ipi ya kuzuia wizi iliyokuwepo kwenye awamu zilizo pita wewe? Si ndio hizo zama hadi Twiga wanakanatiwa uwanjani wanasafilishwa wazima wazima au sio wao mkuu?
 
Back
Top Bottom