mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Unaitwa ukoo wa Mboro.Mpaka upige mkongo sio? Au vumbi? Sasa watanzania unatufananisha na wale jirani zangu Moshi ukoo wa Mbooo. Sio ukoo wa kina Marealle. Hapana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaitwa ukoo wa Mboro.Mpaka upige mkongo sio? Au vumbi? Sasa watanzania unatufananisha na wale jirani zangu Moshi ukoo wa Mbooo. Sio ukoo wa kina Marealle. Hapana.
Ni mwendo wa roho juu juu tu mkuu,yule mzee jana atakua alienda kumeza dawa za Pressure.Duh, kazi za kuajiriwa hizi, unadhalilishwa sana
Bado ni mgeni kwenye hiyo nafasi. Na aliwaamini alio wakutaHawezi kufanya kazi yake mpaka agombezwe na kuzalilishwa hadharani?
Kweli mkuu, huyo Jenerali kaaibishwa vibaya sana.Yeye mwenyewe alitakiwa ajiuzulu kwa kujipendekeza mpaka akashtukiwa
TAKUKURU NG'ATA...
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbung'o, amewasimamisha kazi watumishi 9, ambao walihusika katika ujenzi na usimamizi wa majengo Saba ya Taasisi hiyo yaliyojengwa Chamwino, Mpwapwa, Ngorongoro, Manyoni, Masasi, Namtumbo na Ruangwa.
=====
Hapo jana katika Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU-Chamwino) uliofanyika Jijini Dodoma, Rais Magufuli alisema jengo hilo halikuwa la yeye kwenda kufungua lakini pia gharama iliyotumika katika ujenzi ni ya juu sana.
Alisema Waziri Mkuu alimwambia nyumba hiyo yeye angejenga wa Milioni 60 huku Rais Magufuli mwenyewe akisema amejenga nyumba yenye ukubwa kama huo huko kwao kwa Milioni 40
Pia soma:
Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?
Rais hajafurahishwa na jengo la TAKUKURU
Bora kambini,maana majukwaa ya wanasiasa ni kuvuana nguo tuKweli mkuu, huyo Jenerali kaaibishwa vibaya sana.
Ameonekana hajui wala hakustuka mapema kwamba hivyo vibanda ni bomu alilotakiwa kulitegua kabla Magufuli hajamwambia hivyo.
Magu alitamani amungoe hizo nyota,kilichobakia aombe kurudi kambini.
We unafikiri zile jeuri za unanijua mimi nani zilikuwa zinatokana na nini mkuu?Sasa kama Rais ni mkali kiasi hiki lakini watu bado wanapiga mpaka ndani ya takukuru sa hizo zama za wana demokrasia je hali ilikuwaje sasa wakuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Rais wangu huyu jamaa hataki mchezo,yule jamaa mkuu wa takukuru kaambiwa "simama wewe na tumbo lako kubwa,ndo mana mnene mnene hivi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha tu asee,watu walimiliki mpaka nyumba 70Sasa kama Rais ni mkali kiasi hiki lakini watu bado wanapiga mpaka ndani ya takukuru sa hizo zama za wana demokrasia je hali ilikuwaje sasa wakuu.
Kama alimiliki Nyumba 70 then ikawaje huyo jamaa Masamaki akaachiwa huru hakuna cha kesi wala kwenda kumalizana na DPP.
Hana tena hizo nyumba,wameshamnyoosha kimyakimya.Kama alimiliki Nyumba 70 then ikawaje huyo jamaa Masamaki akaachiwa huru hakuna cha kesi wala kwenda kumalizana na DPP.
Hao watu hawawezi kuact hadi wapewe amri ndio maana namshangaa sana anapokazana kuwapa uteuzi.Utafikiri sio General wa jeshi?
Hali ilikuwa Mbaya Sana , ujio wa Magufuli ulikua Maalum, na ndio maana wengine hatuachi kumsupport mpaka amalize awamu zake zote mbili.Sasa kama Rais ni mkali kiasi hiki lakini watu bado wanapiga mpaka ndani ya takukuru sa hizo zama za wana demokrasia je hali ilikuwaje sasa wakuu.
Acha uongo wewe Masamaki mwenyewe humjui na hizo nyumba zwnyewe huzijui,na zilikua ni nyumba za kawaida tu ziko kwny compound 1.Hana tena hizo nyumba,wameshamnyoosha kimyakimya.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Pia Wafanyakzi,Wanafunzi wa vyuo,Wastaafu wanam support sana kwa anayowafanyia.Hali ilikuwa Mbaya Sana , ujio wa Magufuli ulikua Maalum, na ndio maana wengine hatuachi kumsupport mpaka amalize awamu zake zote mbili.
Wewe upo katika kundi lipi hapo??Pia Wafanyakzi,Wanafunzi wa vyuo,Wastaafu wanam support sana kwa anayowafanyia.
Mwambie asante sana
Nipo katika makundi yote matatu hapo.Wewe upo katika kundi lipi hapo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87] maneno hayo kayaongea bwana Jiwe. AseeeRais wangu huyu jamaa hataki mchezo,yule jamaa mkuu wa takukuru kaambiwa "simama wewe na tumbo lako kubwa,ndo mana mnene mnene hivi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]