Baada ya Rais kung'aka, Mkurugenzi TAKUKURU awang'ata watumishi 9 waliohusika ujenzi/usimamizi wa majengo 7 ya TAKUKURU

Baada ya Rais kung'aka, Mkurugenzi TAKUKURU awang'ata watumishi 9 waliohusika ujenzi/usimamizi wa majengo 7 ya TAKUKURU

Acha uongo mkuu usitufanye watoto hapa mifumo ipi ya kuzuia wizi iliyokuwepo kwenye awamu zilizo pita wewe? Si ndio hizo zama hadi Twiga wanakanatiwa uwanjani wanasafilishwa wazima wazima au sio wao mkuu?
Soma uelewe kabla hujajibu. Kwa hiyo kabla ya awamu hapakuwahi kuwa na mifumo ya kudhibiti wizi.

Suala la kutimiza wajibu ama kutotimiza ni jambo jingine ila nnacho sisitiza ni kuwa mifumo ilikuwepo ilikuwa ni suala la kuiimarisha sio kuleta one man show.
 
We unafikiri zile jeuri za unanijua mimi nani zilikuwa zinatokana na nini mkuu?

Ilifika wakati wakati mtu anaajiriwa lakini ndani ya miaka 4 ana mali za milioni 150 na mshahara wake ni milioni 1 kwa mwezi
Inauma sana mkuu.
 
Hali ilikuwa Mbaya Sana , ujio wa Magufuli ulikua Maalum, na ndio maana wengine hatuachi kumsupport mpaka amalize awamu zake zote mbili.
Mkuu inakuwaje unasema awamu 2 wakati tuna hoja mezani huyu awe wa milele
 
Soma uelewe kabla hujajibu. Kwa hiyo kabla ya awamu hapakuwahi kuwa na mifumo ya kudhibiti wizi.

Suala la kutimiza wajibu ama kutotimiza ni jambo jingine ila nnacho sisitiza ni kuwa mifumo ilikuwepo ilikuwa ni suala la kuiimarisha sio kuleta one man show.
Katika hiyo mifumo unayo itaka wewe kuliwa hakuna wa kuaminiwa tena humo, ni bora hiyo one man show unayo isema kuliko hiyo mifumo.
Tulikuwa na umeme wa mgao hapa kila siku kumbe watu walikuwa wanafungulia maji makusudi kwenye mabwawa ya kufua umeme ili wauze majenereta yao, tangu Rais awaseme hadharani siku ile unaona mabadiliko tulio nayo kwa sasa.
 
Brg. Mbungo Chamwino na Mpwapwa zipo mkoani Dodoma na siyo jijini Dodoma. Makosa madogo kama haya yanaweza kushusha hadhi ya barua yako na wewe mwenyewe pia.
 
Si wamezoea kuwaonea watu kwa kutumwa, sasa zamu yao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dam55 TAKUKURU ilikuwepo tangu enzi za Mkapa na wamekuwa wakitimiza wajibu wao kama kawaida. Tofauti ni kwamba hivi sasa matangazo yamekuzwa mno!
 
Dam55 TAKUKURU ilikuwepo tangu enzi za Mkapa na wamekuwa wakitimiza wajibu wao kama kawaida. Tofauti ni kwamba hivi sasa matangazo yamekuzwa mno!
matangazo yanaamsha hali ya utendaji.

kujisifu usimamizi bila kusifu na kupongeza taasisi wezeshi ni uhuni.
 
Sasa nyumba ya milioni 60 au 40 mbona ndogo na ya kawaida sana jamani duh
Hapo nao wamezidisha chumvi
 
Hao unaosema walikuwa wanafanya wizi, ubadhirifu wamechukuliwa hatua gani hadi sasa?

Alituambia majizi yamehamia upinzani, mbona hakuyachukulia hatua? yamerudi na akayapokea sasa yupo nayo ccm.
Katika hiyo mifumo unayo itaka wewe kuliwa hakuna wa kuaminiwa tena humo, ni bora hiyo one man show unayo isema kuliko hiyo mifumo.
Tulikuwa na umeme wa mgao hapa kila siku kumbe watu walikuwa wanafungulia maji makusudi kwenye mabwawa ya kufua umeme ili wauze majenereta yao, tangu Rais awaseme hadharani siku ile unaona mabadiliko tulio nayo kwa sasa.
 
TAKUKURU NG'ATA...

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbung'o, amewasimamisha kazi watumishi 9, ambao walihusika katika ujenzi na usimamizi wa majengo Saba ya Taasisi hiyo yaliyojengwa Chamwino, Mpwapwa, Ngorongoro, Manyoni, Masasi, Namtumbo na Ruangwa.

=====

Hapo jana katika Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU-Chamwino) uliofanyika Jijini Dodoma, Rais Magufuli alisema jengo hilo halikuwa la yeye kwenda kufungua lakini pia gharama iliyotumika katika ujenzi ni ya juu sana.

Alisema Waziri Mkuu alimwambia nyumba hiyo yeye angejenga wa Milioni 60 huku Rais Magufuli mwenyewe akisema amejenga nyumba yenye ukubwa kama huo huko kwao kwa Milioni 40

Pia soma:
Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?


Rais hajafurahishwa na jengo la TAKUKURU

Mpaka hapo huyo Mkurugenzi wa TAKUKURU hatufai na hapaswi kuendelea na madaraka makubwa aliyonayo maana hana tofauti na ROBOT hadi abustiwe. Rais ana majukumu mengi kwa maana hiyo asipombust ataendelea kufanya madudu. Mbungo OUT OUT OUT
 
Kwa ivyo mkurugenzi inabidi asuburi mpaka raisi aje amwambie matatizo aliyobaini katika taasisi yake ndio achukue hatua. Yale yale ya bohari la afya na upotevu wa madawa ambayo kila siku yanakamatwa mtaani.

Hivi tunafahamu kweli hadi kufikia nafasi za Strategic position mtu anatakiwa kuwa na comptence skills zipi.

The most successful CEO in Tanzania ni Dr Kimei hivi wengi wetu tumeshawai kusoma academic evaluation papers za banking in Tanzania zikizoandikwa na huyu mtu on what was wrong with the banking sector kabla ya kupewa nafasi ya kuwa mkurugenzi wa CRDB na kuona akidadavua sababu za banking failure na nini kinahitajika ili kunusuru matatizo.

Mafanikio ya Dr Kimei sio bahati nasibu he knew what was wrong with the banking sector before he was given the position japokuwa muda wake wa kukaa chonjo umefika na binafsi na amini he should retire.

Mtu mwingine ambaye alikuwa anajua kazi yake na angepewa nafasi kwenye serikali ya Magu angemsaidia ni aliekuwa CAG Ludovick Utoh ukisoma report za muda wake a lot would have helped Magu kwenye kuchagua watu mbali mbali kutokana na skills sahihi maana Magu naye is obsessed with skills and experience.

Kwa sasa mtu pekee anaelekea mwenye skills sahihi kwenye taasisi za UMMA na nafasi aliyopewa ni Kadogosa.

Uwezi kuokota watu tu kisa wana jeshi wenye qualification za vyeti without managerial experience or education ukadhani wataleta ufanisi it doesn’t work that way.
 
Mpaka hapo huyo Mkurugenzi wa TAKUKURU hatufai na hapaswi kuendelea na madaraka makubwa aliyonayo maana hana tofauti na ROBOT hadi abustiwe. Rais ana majukumu mengi kwa maana hiyo asipombust ataendelea kufanya madudu. Mbungo OUT OUT OUT
I agree
 
Kwa nini hakuhoji gharama za ujenzi? Na hiyo ofisi ya TAKUKURU Chato alikuta mchalato wake wa ujenzi umeisha?
Kwa sababu he is not a trained manager; same problem na bohari la afya unskilled CEO.

Hao jamaa wa mamlaka ya uteuzi inabidi weredi wao huo reviewed.

Magu nae ni tatizo kama anaweza uliza nani anafaa hadharani, lazima privately atakuwa mmbishi anaposhauriwa kuhusu watu wakuteua.
 
uandishi wa hiyo barua kama sio sawa imetazama zaini nafasi ya kwanza ya mtu sio organization wakati mwingine makatibu wajaribu kuwasaidia. (si swala na nime...ime..nimeeeee.....
 
Uamuzi sahihi ulikuwa ni kuachia ngazi tu. Kwani hana mradi unaoingiza hata laki kwa siku. Wanajisahau vipi hawa. Lodge ya vyumba10 Fanya kila chumba 15,000 kwa siku hukosi laki.
 
TAKUKURU ndo vinara wa rushwa. Yaani Mkurugenzi tena mjeda anasubiri kuja kushtuliwa na Rais? Fukuza huyu haraka
 
Nakumbuka kuna tafiti moja inasema kuwa TAKUKURU ni moja kati ya taasisi zinazoongoza katika kula rushwa!
 
Back
Top Bottom