Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Hata wasanii waliokuwa wakimtuhumu Ruge kuwabania kazi zao hadi leo hawajatoa hata single licha ya Mutahaba kufariki.πŸ˜πŸ”žπŸ‡ΉπŸ‡Ώ.
 
Kumbe elimu yako ya kawaida ndiyo maana sishangai ulichoandika. Elimu inafuta ujinga
1. Hizo risasi 30 alipigwa akiwa sehemu wazi amesimama?
Alifanya maigizo ili kuchafua utawala? Tatizo una elimu ya kawaida tu.
Unamkumbuka yule raisi wa UDSM alisema ametekwa, baada ya kupatana aliendelea kudunda mtaani? Nalo hulijui, alikamatwa na polisi.
Fanya haka kazoezi kadogo tu ka maigizo. Safiri, nenda mbali hata huko kijijini. Ukishafika piga simu kwa ndugu zako kuwa umetekwa. Kaa km mwezi haupatikani kwenye simu. Sasa jitokeze, nenda kwenu halafu uone kinachokutokea. Utaenda kunyea debe
Nyie wenye elimu ya kawaida, ndiyo mnasumbua jamii maana hamjui lolote kuhusu sheria yaani mpo mpo. Pole sana elimu yako ya kawaida.
 
Unaweza kutuambia ni sheria zipi au vifungu vipi vya katiba ambavyo Tundu Lissu, Mange Kimambi na hao wengine umewataja wamevikiuka paka kuitwa wasaliti? Au ni kwamba Mtanzania yoyote ambaye hakubaliani nawe ni msaliti?

Akijibu nichek Broh
 
Mkuu naona umeongea kwa hisia na hasira pia.

Ila kumbuka michezo ile ya kutekwa, kuteswa, ukikosoa Serikali unasakwa ili ushughulikiwe , wafanyakazi wamekosa haki yao ya kupandishwa madaraja na nyongeza ya mishahara zaidi ya miaka mitano huku Serikali ikijisifia kuongeza mapato ya kodi.
Mambo hayo yalikuwa hayapendezi.
Hata hivyo pamoja na mapungufu hayo si vema kufurahia kifo cha mwingine, maana sote ni wa Mungu, njia yetu ni moja.
 
unaweza ukawa na elimu lakini bado ukaendelea kuwa mjinga,elimu ni pana huwezi kuimaliza. Huyu alisomea siasa,na Yule alisomea kilimo, mwenzako urubani,utabibu.unapojua hiki mwenzako kile ndio elimu ilivyo.
Hayo tuyaache na kila kitu kilichopangwa kimetimia sasa jifunze kufuatilia mambo kwa kina Nakutakia usiku mwema
 
Ukiwa na elimu ya kawaida ndiyo utaendelea kuwa mjinga ila elimu kubwa unakuwa na upeo mkubwa wa kuchanganua mambo.
Alipigwa risasi 30 akiwa kwenye gari, akapelekwa hospital Kenya, akaomba msaada wa kifedha wa matibabu, na akavuliwa ubunge. Haya yote unaona ni maigizo. Elimu ya kawaida ni mzigo.
Polisi wanakitengo cha FRAUD, igiza na ww km Lisu uone polisi km watakuacha hai.
Wale jamaa waliotoa habari Jiwe anaumwa, walikuwa wanaigiza? Nenda kawafuatilie halafu ujue wapo wapi kwa sasa.
Ukiwa na elimu kubwa hata km daktari wa mifugo au upasuaji, utajua km hapa anadanganya hapa yupo sahihi.
 
Thanks bro you nailed it although nashangaa baadhi ya watu wenye mapenzi na magu kama wanavyojieleza kukaa na kuandika defensive threads humu as if tupo kwenye mazoezi ya kambi ya taarabu thats not fair kuweni wapole mpendwa wenu azikwe alafu mje humu, coz current mnasababisha watu ambao hawakupenda utawala wake kutoa mapungufu yake which is not okey kwa marehemu!!! just relax tumalizen shughuli kwanza au nasema uongo ndugu zangu?!!!!!!!!
 
Nakomment heading tu.

What a such an idiotic idea! Hakujua maana ya hela kupotea ni ule mbinyo wa TRA kutoza kodi kubwa,
Kubambikiza kesi wenye hela hadi wanafunga biashara.
Kutoajiri
Kutopandisha vyeo
Kutolipa mafao wastaafu nk.

Haukuambiwa Kuokita hela njiani.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Basi ataishi milele baada ya kuchanjwa kwa risasi 30
 
Kwa hizi akili siwezi laumu mfumo wa elimu
--Kuwa traitor ktk inchi yako ndy kwamba umesoma vzr au sio mkuu..

--kujilimbikizia Mali ya umma ndy umepata elimu nzr..

--Kuwa kibaraka wa mabeberu ndy kupata elimu vzr si ndiyo?

Kwahyo wote wanaomlillia Magufuli unadhani hawakupata elimu nzr si ndiyo?.


A traitor is always a traitor
 
Wewe ni lofa
 
Wasaliti ni wazee wa msoga na genge lake.. Wale ndio walitutia hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…