Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hii ni moja ya sentensi ya kihuni sana kuwahi kutolewa na kiumbe kiongeacho duniani.No. 2 atangulie, haiwezekani akebehi wananchi eti ....wahamie Burundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni moja ya sentensi ya kihuni sana kuwahi kutolewa na kiumbe kiongeacho duniani.No. 2 atangulie, haiwezekani akebehi wananchi eti ....wahamie Burundi.
I can't buy this! Just I can't.Namba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
Time will tellI can't buy this! Just I can't.
Seeing is believingI can't buy this! Just I can't.
Akili zetu zina lenga individuals wakati tatizo la Tanzania ni mfumo mzima, hata akiweka wengine mwendo ni ule ule.
Boss huyo kawabeba sanaIna maana Mama hakumuelewa MH. Balozi Pole pole kuhusu Hawa wahuni? Leo hii ndiyo amewajua baada ya boss mkuu wa TISS bwana Siwa kung'olewa?
Balozi Pole pole huko alipo anacheka na kukenuaaaaa yote 32 ya mtu mzimaaaBoss huyo kawabeba sana
Uko sahihiBalozi Pole pole huko alipo anacheka na kukenuaaaaa yote 32 ya mtu mzimaaa
Yea yea yeaNamba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
Daaa we mtu wa nguvu sanaYea yea yea
Akikujibu nitagNa yeye anaondoka lini?
Umetisha sana mkuu, habari zako Kwa asilimia kubwa uwa ni kweli.Namba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca
We jamaa nitakuwa nakuzingatia sana kwenye nyuzi zako,itakuwa Upo kwenye system…………Unajua sana👊🏿Yea yea yea