Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Kama bi kilebwe anavyopelekaga reports kwa mabwana zake Dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu utakuta MTU kama wewe ni baba wa familia kabisa na Ndugu zako wanakutegemea! Shenzi sanaMwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Fit for tatKama bi kilebwe anavyopelekaga reports kwa mabwana zake Dubai
Ndo maana mtoa mada hana akili ni mbuzi🤣😂😂
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Akili mingi sana kwa huyo mnyaturu,Nimesoma Hii habari kwenye Gazeti la Nipashe
Ndio nikauliza Kwanini hakupandia KIA?
Lisu Mtata Sana!
Jumaa kareem!
Nimesoma Hii habari kwenye Gazeti la Nipashe
Ndio nikauliza Kwanini hakupandia KIA?
Lisu Mtata Sana!
Jumaa kareem!
Isije ukadharaulika wewe unayeamini ukosoaji ni dhambi.Mimi kipindi utawala ule dhalimu ulivyokua unapoteza watu nilikua naumia sana, nikikumbuka nakilichomkuta lisu...
Lakini kwa ujinga anaoendanao wa kutamani kutengeneza tahaluki kwenye nchi, kiukweli anajizalaulisha mwenyewe..mana itafikia hata akichinjwa hazalani watu watamchukulia poa tu.
Kama kuna watu wanamtumia iwe wa ndani au nje kwa ujinga huu anaoendelea kufanya kwa lengo la kujipatia liziki, basi ajitasimini sana.
Ukosoaji haukataliwi..na wanaokosoa kwasasa tunawaona wapo wengi tu, kwanini alalmikiwe yeye na wenzie hawa akina mdude.Isije ukadharaulika wewe unayeamini ukosoaji ni dhambi.
Wale aliokuwa nao ameondoka nao au wameachwa kwenye mataa waziba barabara kwa makalioNimesoma Hii habari kwenye Gazeti la Nipashe
Ndio nikauliza Kwanini hakupandia KIA?
Lisu Mtata Sana!
Jumaa kareem!
Pamoja ya kuwa wote ni udiktekta ila unatofautiana lazima angefikia alipo mwenzake ni suala la mudaUkosoaji haukataliwi..na wanaokosoa kwasasa tunawaona wapo wengi tu, kwanini alalmikiwe yeye na wenzie hawa akina mdude.
Utawala ule kama unakumbuka hata umeme ukikatika mtu kulalamika hata ukiwa sebuleni kwako ili ulalamike na familia yako unatoka kwanza barazani ili ujihakikishie kua hakuna mtu mwingine anaekusikiliza.
Leo hii kila mtu anaongea hadi kutukana lakini , shida mfumo anaotukia kukosoa ni wa kujenga taharuki.
Hii sio kweli mkuu. Akitaka kuendelea kuheshimika basi ajilekebishe.
Mbona mbowe hasemwi hivyo, wewe hujiulizi!!