Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
ni kawaida tu kwa wanasiasa ni kama ambavyo mama abdul naye anavyopekekaga report kuhusu bandari na mikataba 30 ujombani dubai
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Mtu akisafiri inakuwa nongwa? Na wanaokwenda Uarabuni wanaenda kufanya nini?
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Vijana mnakuwa chawa hadi mnakera, Rais huwa anasafiri mara ngapi? Yeye huwa ana mpelekea nani taarifa? Au Lissu kama amesafiri ni dhambi? Mara ngapi Samia anaenda Uarabuni, huwa anaenda kufanya nini?

Badala ya kuangalia uongozi unavyopwaya na kushuka kwa uchumi mnakalia kuangalia vitu visivyokuwa na tija. Haya Lissu kaenda uko alikoenda, unatuambia ili iweje? Umbea umbea na unafiki aviwasaidii.
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Hata kwandika tuu nishida ...kweri munaweza kupangua hoja za Mh Lissu nyie mavi ya pusi
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Nenda katawaze mpe papa mumeo kisha lala... hii nchi haitajengwa na viumbe dhalili kama nyie!
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Umeandika nini aisee,?
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Kwa kifupi tu.
Huna akili

Mnajipendekeza mpaka na mnaejipendeza kwake anaona kero .
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Je kasepa na walioziba barabara kwa makalio au kawaacha Solemba

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Wewe ni mjinga.
Hujui lengo la multipartism?.
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Pumbavu daima huongea upumbavu. Thibisha kwamba vyama vya upinzani viko kimkakati
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Dikteta akiwa mzalendo ndio inanoga sio dikteta mwizi muuza rasilimali za nchi asiyejali umma wa Watanzania na kubariki ujambazi. Huo ushenzi hatuutaki kabisa.
 
Wekeni katiba vizuri ili hata mkitolewa madarakani muwe na chance ya kurudi. Sio mnakalia kuuponda upinzani tu imekuwa kama tamaduni CCM kujiona wana akili kuliko vyama vingine. Hili haliko sawa
 
Back
Top Bottom