ni kawaida tu kwa wanasiasa ni kama ambavyo mama abdul naye anavyopekekaga report kuhusu bandari na mikataba 30 ujombani dubaiMwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator