Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Leo hii unaniita Kenge?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Tulikuwa wote katika ile safari ya utawala wa JPM...

Kipi kimewabadilisha ninyi watu ?!!

CCM ni ileile
Tanzania ni ileile
Dola ni lilelile

Tulikuwa na JPM kwa maslahi ya matumbo yetu na viriba vyetu vya tumbo ?!!!

Endelea kuchukia.....sikumpenda JPM kwa sababu yake bali "integrity" endelevu ya JMT....

Kalaghabaho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi siwezi kuwa safari moja na kenge mpuuzi ambaye hajitambui hata kata rasimali za taifa lake zinaibiwa.
 
Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tafuta pesa kijana, usionee wivu wanaozitafuta na kufanikiwa!
 
Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni mwanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameenda kutoa ripoti Kwa mabwana zake,huyu ni kibaraka wa Wazungu na msaliti wa Taifa.
 
Tulia we mzee
Haya kijana wangu
FB_IMG_1694674307612.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Amewatia uchizi, mmepanic mpaka mkanaikana katiba iliyowaweka hapo.

Ngoja mwamba akapumzike, akirudi Bandari na hifadhi zetu mtazitapika.

Alikwenda akarudi na mkataba mmoja tu wa Bandari. Safari hii akirudi anakuja na mingine miwili tu!!! Akimaliza hiyo anafuata mingine.

Mpaka mkimbie Tanganyika
 
Amewatia uchizi, mmepanic mpaka mkanaikana katiba iliyowaweka hapo.

Ngoja mwamba akapumzike, akirudi Bandari na hifadhi zetu mtazitapika.

Alikwenda akarudi na mkataba mmoja tu wa Bandari. Safari hii akirudi anakuja na mingine miwili tu!!! Akimaliza hiyo anafuata mingine.

Mpaka mkimbie Tanganyika
Alikwenda akarudi na mkataba mmoja tu wa Bandari. Safari hii akirudi anakuja na mingine miwili tu!!! Akimaliza hiyo anafuata mingine.[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator
Ni mjinga na uvccm ndio wanaamin huu ujinga!! LISSU yupo very open anapiga Kweny mshono ingawa wanaccm hawapendi!!
 
Back
Top Bottom