Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Chawa wa Samia mnapiga deflection.

Lissu hamiliki hata jeshi la mgambo unasema alileta ghasia are you sober?

Samia alienda ziara ya kuzindua filamu kakaa wiki 2 huko , na safari zake kadha wa kadha za siri zilizonaswa na flight radar akielekea Dubai .

Samia kaweka tamasha Kizimkazi na wakata mauno wameenda huko kukaa huko karibia wiki nzima huku kukiwa kuna mgao wa umeme wa siri siri katika maeneo mengi ya Tanzania na mafuta yakiwa hayapatikani huko kizimkazi watu walikuwa wanapiga cheers tu huku wakienjoy posho.

Kabla hamjaanza kujadili safari za Lissu tuanze na Samia anayewaambia watu walete kwa urefu wa kamba .

Kiongozi anayewaambia watu wajipimie kinachowatosha kwenye kodi za wananchi hafai.


Na kwa nchi ilipofika hata Bambo na Kingwendu wanaweza kuongoza tu
 
Siasa za nchi hii sometimes unaweza kucheeka hadi ukapaliwa.
Ni vigumu kumtofautisha mwenye akili na chizi! Huwezijua nani mzima nani mgonjwa!😃
Huyo tapeli either kaambiwa kibali kimetoka akachukue au anaenda kwenye interview ya kurenew ukimbizi.
Sasa mbusi zingine zinaongozana kuziba njia wakivunjwa mbavu mwenyewe anachukua selfie tu anakimbia.
Kesho anatuma kwa mabeberu huku hali si nzuri mnaona
 
TL NI MPUUZI SANA, LENGO LAKE LA KWENDA KULIA LIA LIMETIMIA, HASA BAADA YA KUKAA NDANI KWA MASAA, KWAKE NI FURSA, TAYARI.
TUMPUUZE TU, YUPO KAZINI NAHISI ATAKWENDA KUPIGA KELELE KWENYE TAASISI ZA URITHI WA DUNIA, I THOUGHT SO!
Mkuu, kiingereza si lugha yako. Tubaki na Kiswahili chetu tu.
 
mwcheni arudi ulaya, mama wa kizungu na yeye anataka akozwe kidogo
 
Huyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.

Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?

"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."

My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.

View attachment 2747518
Ebu tutolee upumbavu wako apa , nyie kwenu kila anaekuwa mwiba kwa kuwambia ukweli basi huonekana kama msaliti, lissu aliwashauri serikali ya tano, kuhusu mikataba mibovu mkamsema hivi leo nchi inalipishwa mabilion ya sh mnaona sawa , nyie ndo type za watu wa kufukunzwa nchini, wanafiki wakubwa
 
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo
Acha ujinga wako, Aman ya Tanzania itaendelea kuwepo maan ni mpango wa MUNGU wala c wanadam!! Maslahi yenu yakiguswa tu mnaanza kuleta taharuki na chokochoko, et amani yetu amani yetu. Nyie wenyew mpaka budget ya Nchi mnawategemea hao wafadhili lkn wapinzani wakidili nao mnachukia!!
 
20230914_103551.jpg
 
Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa unafikir Hana biashara anazofanya acha huyo Lissu ambaye pia ni Makamu mwenyekiti Mimi tu naweza seuze yeye!
 
Back
Top Bottom