Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ukizoea vya bure Ulaya, Walahi hujengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushoga wewe. Utatembea unanuka mavi mpaka lini?MZEE WA HAKI ZA FARAGHA!
#Tunajua umekwenda kuongea umbeya wako huko,
Safari salama.
Endapo ana kondoo zake za kukamua sasa afanyaje?Kuna mijitu inahela inarandaranda tu!
AiseeeeUtakuja kuolewa
Tulia kijana acha mawazo mgando kusema mtu anapesa inaingiliana vipi nakuolewa..? Kama hivi ndivyo mnavyowaza basi taifa Lina watu wa hovyo!Acha kutamani vya warume
Hii ni Propaganda Kwa sababu hakunaga UBELGIJI ILIYOKO MAREKANI ubelgiji iko Uingereza...
Mtu wa hovyo ni wewe. Mtu kwenda kupumzika ughaibuni unaona anasaTulia kijana acha mawazo mgando kusema mtu anapesa inaingiliana vipi nakuolewa..? Kama hivi ndivyo mnavyowaza basi taifa Lina watu wa hovyo!
Acha ushoga wewe. Utatembea unanuka mavi mpaka lini?
Pointless we kengeKamanda nilimshusha vyeo vyote ile siku.....
Alikutana na kamati ya wabunge wa chama chao rafiki CDU wakakubaliana "walobby" mule bungeni BUNDESTAG ili waizuie Tanzania isiendelee na mradi wake wa ujenzi bwawa la ufuaji umeme Mwalimu Nyerere.......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kamanda huyu ni "mdananda" haswaaa [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha uzushi wa kike kama malaya wa uswahilini
Sasa kama dalali wa bandari tu anatangaza wasafi pale Kitenge anakwenda Kila wiki mji anaotaka duniani ndio iwe ngumu Kwa kamanda mpambanajiKwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wapi nimeandika ni anasaMtu wa hovyo ni wewe. Mtu kwenda kupumzika ughaibuni unaona anasa
Unataka ajenge mara ngapi?Ukizoea vya bure Ulaya, Walahi hujengi
Sijasema hawezi.....Sasa unafikir Hana biashara anazofanya acha huyo Lissu ambaye pia ni Makamu mwenyekiti Mimi tu naweza seuze yeye!
Mbona unakurupuka kudai ana mipesa ya kuchezea?Wapi nimeandika ni anasa
Ameenda kikazi acha upoyoyo.Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Leo hii unaniita Kenge?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]Pointless we kenge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ameenda kikazi acha upoyoyo.
Akirudi kinawaka.