Anayechukua mbuga na bandari ni mwarabu bwashee ambaye ni mjomba wa taifa, au unajitoa fahamu?Wamlaumu mzungu kwamba anachukua mbuga zao harafu tena aende huko huko Kwa mzungu wanamtumia kuharibu Nchi.
Taahira ndio atakuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayechukua mbuga na bandari ni mwarabu bwashee ambaye ni mjomba wa taifa, au unajitoa fahamu?Wamlaumu mzungu kwamba anachukua mbuga zao harafu tena aende huko huko Kwa mzungu wanamtumia kuharibu Nchi.
Taahira ndio atakuelewa.
Kibaraka ni huyu aliyetoa rasilimali zetu kwa wajomba zakeHuyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.
Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."
My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.
View attachment 2747518
Mkiambiwa elimu ni muhimu mnakuwa wabishi kwa kuwasikiliza wanaowashikia akili zenu, ungesoma shule ulaya kwako ingekuwa kama kwenda Mpiji, wakati wowote huyu unasepa.Nchi imekopa ila hatutumiwi kama Lisu msaliti kuvuruga amani ya Nchi Kwa sababu yeye ana pa kukimbilia.
Why? Lisu ni Msaliti wa TanzaniaLissu anawafanya nyie CCM karibia wote muishi maisha magumu mno; kazi ya kuchungulia maisha ya mtu ni ngumu, nafikiri mna hamu hata kujua chumbani kwake kukoje... 😳
Mnashangilia viongozi wanao tumiwa na mabeberu, familia zao wameficha Ulaya nyinyi wanakujazeni ujinga tu.Acha ukasuku, katika mikutano aliyofanya wapi palitokea vurugu? Mnaaminishwa ujinga na viongozi wabovu walioshindwa uongozi na kukimbilia fitina
Hoja ya kipumbavu kabisa.Huyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.
Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."
My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.
View attachment 2747518
He is agent or double agent, could be from Tz as well I’m not be surprised.Ulaya na Marekani Kwa sababu Lisu Yuko kinyume na sera za Russia na China
anapeleka report ya wiki mbili ofisini kwa mwajiriHuyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.
Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."
My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.
View attachment 2747518
Kumbe wewe ni mkulima wa mpunga ....ndio maana una maneno ya kishamba shamba kama mpunga... 🙂Sina Nchi ya kukimbilia Mimi nalima mpunga huko Lisu akivuruga mambo nitaenda wapi? Kumbuka Mimi napinga ushoga ila Lisu anaunga mkono.
Au wewe unako Kwa kukimbilia?umeshahamisha familia?
Pandikizi la Wazungu,TumemsitukiaHoja ya kipumbavu kabisa.
Ndo maana mnaweka vikwazo watu mupata passport kwa sababu mnaogopa kushtakiwa kwa wafadhili.
Acheni upoyoyo
Anaeneza chuki au anawasema majizi ya kura. Au mkiiba kura ndio mnaeneza upendo?Amekuwa anaeneza chuki,jitie ufahamu mwenzio ana pa kukimbilia,familia yake Iko huko Kwa bwanzake
Huyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.
Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."
My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.
View attachment 2747518
Anaeneza chuki,kwani wanaosema Serikali ni yeye tuu? Mbona wengi tuu wanaosema na hawajungumziwi Kwa kuwa vibaraka kama Lisu Msaliti wa Taifa?Anaeneza chuki au anawasema majizi ya kura. Au mkiiba kura ndio mnaeneza upendo?