Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Lisu ametumwa kwa dharura na UN huko Morocco na Libya, usikae mbali na Al jazeera utawaona team yao!
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Dharula ya nyege za Amsterdam labda
 
Wewe Wacha upumbavu,Rais amealikwa China alienda na Wachina walikuja kurekodi Filamu za vivutio Tanzania.

Huyo kibaraka wenu hatutakubali avuruge Nchi.
Narudia tena, zile zama za kutegemea uoga wa wananchi zilishapita. Kila mtu ana haki ya kwenda popote hapa duniani na kukutana na yoyote. Hutaki jinyonge.
 
Nchi imekopa ila hatutumiwi kama Lisu msaliti kuvuruga amani ya Nchi Kwa sababu yeye ana pa kukimbilia.
Kati ya anaeua Wamasai na kuwapora ardhi, na anayepaaza sauti kuwatetea, nani anavuruga amani?
 
na hatutakubali huyo mama yenu auze bandari za Tanzania kwa waarabu
Bahati nzuri anajenga na hauzi ,anaboresha Ufanisi na hauzi
Screenshot_20230912-154846.jpg
 
Lissu ni public figure unashangaa yeye kusafiri nje ya nchi mara kwa mara?
Tafuta mume mwenye pesa nawe uwe unasafirishwa nje ya nchi mara kwa mara.
Jiongeze anti.
 
Kati ya anaeua Wamasai na kuwapora ardhi, na anayepaaza sauti kuwatetea, nani anavuruga amani?
Anawapotosha wakati anafahamu Toka uhuru kwamba wanatakiwa kuondoka kulinda Hifadhi.

Tanzania Ina eneo la kutosha Masai Wala hawawezi kulimaliza ila watoke kwenye Hifadhi ila wakikaidi yatawafika.

Huyu anatumia njia za udanganyifu kutafuta madaraka Kwa Nguvu,kamwe ataishia kuwa ropo ropo hivyo hivyo na kutumiwa kama condom then watamdamp
 
Narudia tena, zile zama za kutegemea uoga wa wananchi zilishapita. Kila mtu ana haki ya kwenda popote hapa duniani na kukutana na yoyote. Hutaki jinyonge.
Ila zama za kuwa kibaraka hazina nafasi Tanzania
 
Je anachoongelea kina mashiko ? Kama kina Mashiko who cares anayemfadhili, Inabidi tumshukuru huyo anayemfadhili ili tupate the otherside of the Coin...

Ongelea issues na kinachoongelewa na sio anayekiongea
 
Sasa mtu kusafiri imekuwa shida sheria ipi inazuia mtanzania kusafiri nje ya nchi wewe baki na umasikini wako huko kama huna nauli ya kwenda huko ubeligiji
 
Tanzania hii inayoshindwa hata kuendesha bandari na kutegemea waarabu, au Tanzania ipi unaiongelea?
Amani ni muhimu kuliko Kushindwa Kuendesha Bandari, Waarabu wametangulia zamani
 
Mateso wanayoyapata wa Masai waliofurushwa ngorongoro na CCM na kupewa waarabu hiyo ni amani ya nchi?,waliogawa bandari zetu na mbuga zetu kwa waarabu wao siyo vibaraka wa waarabu isipokuwa Lissu ambaye pengine kama amekwenda huko kujitazamia afya yake kutokana misukosuko aliyoipata wakati wa kukamatwa yeye ndiye kibaraka wa wanzungu.

Wakati hata huko kwa wazungu anakokwenda chanzo ni wasiojulikana lakini wanajulikana na watawala kutaka kumuua Lissu kwa kumchapa risasi,lakini hayo hayasemwi anaesemwa ni Lissu,wakati wauaji wametulia na wamekazana kuuza bandari na mbuga za wanyama,wao wanashangiliwa na kupigiwa makofi kuwa wanafanya vizuri.
 
Hapana ila haruhisiwi kula vya bure mpaka awepo

Huwezi kuwa na holiday huku unakula benefits za wazungu
Jamaa siku wakimshtukia wanamrudisha bongo mazima maana ni utapeli anaoufanya
 
Back
Top Bottom