Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Iwe tu πππ alikua anatusema vibaya sana humu JF πππUna tabia mbayaπ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe tu πππ alikua anatusema vibaya sana humu JF πππUna tabia mbayaπ
Ndio Mkuu but bikra muhimuπππBut unasura personal rafiki anguπππ
Kila la herii
Wewe umetembea ngapi?duuh aaah et km 20 watu mnafurahisha Sana.
ππππ leo najisikia tu kuchekaU
Umeamua uruke na Kishwkwambi kabisa
Hahahah ongeza tabasamuππππ leo najisikia tu kucheka
Bado nipo km 0 mkuuWewe umetembea ngapi?
Kuna yule dada ulimwita singo mama na ulikuomba aftatu ukaandika uzi unakumbuka?Bado nipo km 0 mkuu
Unaujua mshahara wa Mwalimu wa secondary?Viatu vimekwisha muda wa matumizi wewe bado unavilazimisha tu, simu ya 70 elfu na kishikwambi ulicho pewa na ccm hapo ukute hauna hata mia unasubiri laki nne yako tarehe 23. Walimu mnamaisha magumu sana kwakweli pole sana ndugu yangu
Yule unjua nilimpa mtaji akapita nao wote so sihitaji single mothers au asiye bikraKuna yule dada ulimwita singo mama na ulikuomba aftatu ukaandika uzi unakumbuka?
Tuamini lipi
ALikuomba 16k ukamnyima.Yule unjua nilimpa mtaji akapita nao wote so sihitaji single mothers au asiye bikra
Ana tamaa Sana yule Mimi unajua sijamla maana Mimi sifanyagi ngono na Mwanamke kirahisi mpaka nimpime vipimo vyote na awe Hana mtoto na bikra iwepoALikuomba 16k ukamnyima.
Mkaonana ukamla ukampa 5k.
Kesho akuomba 3k ukamblockπ€£
Je ambao hukuwala kirahisi na ulifanya vipimo hadi vya bikra ni wangapi?Ana tamaa Sana yule Mimi unajua sijamla maana Mimi sifanyagi ngono na Mwanamke kirahisi mpaka nimpime vipimo vyote na awe Hana mtoto na bikra iwepo
Namuuliza mtu Mimi Kama hamna bikra sigusi naogopa mikosi pia uchafu hasa Mambo ya kiroho maana bikra ndo kigezo kikuu kwanza hata Kama pisi nzuri bila bikra sigusi hata bure huu ndo mfumo wangu ndo nautumiaga kulinda Kinga za kiroho na kuwa na focus ya Maisha yenye goals.Je ambao hukuwala kirahisi na ulifanya vipimo hadi vya bikra ni wangapi?
Si ndio wadada wanapendaBut unasura personal rafiki angu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kila la herii