Baada ya Tafakuri naachana na kampeni ya kataa ndoa, nahiitaji Mwanamke wa kuoa

Baada ya Tafakuri naachana na kampeni ya kataa ndoa, nahiitaji Mwanamke wa kuoa

Status
Not open for further replies.
Viatu vimekwisha muda wa matumizi wewe bado unavilazimisha tu, simu ya 70 elfu na kishikwambi ulicho pewa na ccm hapo ukute hauna hata mia unasubiri laki nne yako tarehe 23. Walimu mnamaisha magumu sana kwakweli pole sana ndugu yangu
 
Viatu vimekwisha muda wa matumizi wewe bado unavilazimisha tu, simu ya 70 elfu na kishikwambi ulicho pewa na ccm hapo ukute hauna hata mia unasubiri laki nne yako tarehe 23. Walimu mnamaisha magumu sana kwakweli pole sana ndugu yangu
Unaujua mshahara wa Mwalimu wa secondary?
 
ALikuomba 16k ukamnyima.
Mkaonana ukamla ukampa 5k.

Kesho akuomba 3k ukamblock🀣
Ana tamaa Sana yule Mimi unajua sijamla maana Mimi sifanyagi ngono na Mwanamke kirahisi mpaka nimpime vipimo vyote na awe Hana mtoto na bikra iwepo
 
Ana tamaa Sana yule Mimi unajua sijamla maana Mimi sifanyagi ngono na Mwanamke kirahisi mpaka nimpime vipimo vyote na awe Hana mtoto na bikra iwepo
Je ambao hukuwala kirahisi na ulifanya vipimo hadi vya bikra ni wangapi?
 
Je ambao hukuwala kirahisi na ulifanya vipimo hadi vya bikra ni wangapi?
Namuuliza mtu Mimi Kama hamna bikra sigusi naogopa mikosi pia uchafu hasa Mambo ya kiroho maana bikra ndo kigezo kikuu kwanza hata Kama pisi nzuri bila bikra sigusi hata bure huu ndo mfumo wangu ndo nautumiaga kulinda Kinga za kiroho na kuwa na focus ya Maisha yenye goals.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom