HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hata hao haomzee kupata 0 km OG , ladba awe na 12 yrs kushuka chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hao haomzee kupata 0 km OG , ladba awe na 12 yrs kushuka chini
hawapendi labda uwe na cash na tabia nzuri wanaeza kukuonea huruma😂😂Si ndio wadada wanapenda
Ukikuta wanavyochambua wanawake sasa.unaweza kuhisi ni malaikaBut unasura personal rafiki angu😂😂😂
Kila la herii
But its my opinion siunajua camera zetu hiziPicha ya vijana wakataa ndoa ilikuwa inanijia kichwani wanafananaje na imekuja iliile.
Then boom 😂😂😂😂😂😂Ukikuta wanavyochambua wanawake sasa.unaweza kuhisi ni malaika
Watu wenye kauli mbaya Mara nyingi kauli zao zinafanana na mionekano.But its my opinion siunajua camera zetu hizi
Kila la heri kwake pia ajifunze kua na kauli nzuri ni hayo tu
We mwenyewe ni bikira?Sifa za Mwanamke
Awe Bikra
Huwa nahisi wahaya kwa sifa wanaonewa kumbe ni uhalisia, jamaa kajifotoa huku kashikilia kishikwambi, mimi ni mwalimu.!!!!!!!Ujana una mengi na siwezi danganya mengi nimefanya.
Sifa zangu
Urefu Futi 5.9
Elimu: degree moja
Kazi Mwalimu wa secondary (Government)
Kabila Haya
Sifa za Mwanamke
Awe Bikra
Elimu sio lazima Cha muhimu kusoma na kuandika Kiswahili
Dini Muslim
Sifa kuu awe bikra
na smart kichwani That all
Umri 18 Hadi 28View attachment 2544298
Jitahidi na ww uwe bikra la sivyo pipa na mfuniko vitakutana tuuNimeweka masharti magumu ya bikra
Mwl wa sekondari hapkei laki 4Viatu vimekwisha muda wa matumizi wewe bado unavilazimisha tu, simu ya 70 elfu na kishikwambi ulicho pewa na ccm hapo ukute hauna hata mia unasubiri laki nne yako tarehe 23. Walimu mnamaisha magumu sana kwakweli pole sana ndugu yangu
[emoji23][emoji23][emoji23]U
Umeamua uruke na Kishwkwambi kabisa