Baada ya Tafakuri naachana na kampeni ya kataa ndoa, nahiitaji Mwanamke wa kuoa

Baada ya Tafakuri naachana na kampeni ya kataa ndoa, nahiitaji Mwanamke wa kuoa

Status
Not open for further replies.
 
Alivotaja kabila kabla sijaona picha nikaanza kucheka [emoji1][emoji1][emoji1]

Sometimes ujanja ni ushamba usipojuwa kuutumia.

Nae ni mwalimu halafu unasaiti chama.


Mimi kama mwenyekiti wa chama cha KATAA NDOA nimechukizwa na hatua yako.
 
Wasichana, mume huyo changamkieni, Sisi mashangazi tulichangamka tukaolewa shauri yenu!
 
Ujana una mengi na siwezi danganya mengi nimefanya.

Sifa zangu
Urefu Futi 5.9
Elimu: degree moja
Kazi Mwalimu wa secondary (Government)
Kabila Haya


Sifa za Mwanamke
Awe Bikra
Elimu sio lazima Cha muhimu kusoma na kuandika Kiswahili
Dini Muslim

Sifa kuu awe bikra
na smart kichwani That all

Umri 18 Hadi 28View attachment 2544298
Huwa nahisi wahaya kwa sifa wanaonewa kumbe ni uhalisia, jamaa kajifotoa huku kashikilia kishikwambi, mimi ni mwalimu.!!!!!!!
 
Viatu vimekwisha muda wa matumizi wewe bado unavilazimisha tu, simu ya 70 elfu na kishikwambi ulicho pewa na ccm hapo ukute hauna hata mia unasubiri laki nne yako tarehe 23. Walimu mnamaisha magumu sana kwakweli pole sana ndugu yangu
Mwl wa sekondari hapkei laki 4
 
watu wa ivi viatu cijui akili mnaekaga wap[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
20230310_114611.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom