Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Acha kujishauwa wew jamaa, oyaaa msimuamin huyu jamaa ni SPY...namaanisha huyu mtoa mada anawanafikia katumwa/tumemtuma Team ya kataa ndoa aje ajifanye kuungama akubali ndoa, na apate demu, amuoe alafu watibuane huko kwenye ndoa then wabwagane ili arudi tena hapa jukwaani kuongelea vibaya ndoa na kuisifu Team ya wasiotaka kuoa[emoji23].
Nmemuumbua maana kavunja sheria za Wakataa ndoa, tulimtuma aje aoe kmya kmya lkn sio kuungama adharani na kutoa siri[emoji23][emoji23][emoji23](JOKES)
Nmemuumbua maana kavunja sheria za Wakataa ndoa, tulimtuma aje aoe kmya kmya lkn sio kuungama adharani na kutoa siri[emoji23][emoji23][emoji23](JOKES)