Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Msituchoshe si safari hii hatuwataki kabisa kabisa.Update :Found
Daaah alafu hii ilinipita kabisaAcha kujishauwa wew jamaa, oyaaa msimuamin huyu jamaa ni SPY...namaanisha huyu mtoa mada anawanafikia katumwa/tumemtuma Team ya kataa ndoa aje ajifanye kuungama akubali ndoa, na apate demu, amuoe alafu watibuane huko kwenye ndoa then wabwagane ili arudi tena hapa jukwaani kuongelea vibaya ndoa na kuisifu Team ya wasiotaka kuoa[emoji23].
Nmemuumbua maana kavunja sheria za Wakataa ndoa, tulimtuma aje aoe kmya kmya lkn sio kuungama adharani na kutoa siri[emoji23][emoji23][emoji23](JOKES)
Mwenyekiti habari yako..Alivotaja kabila kabla sijaona picha nikaanza kucheka [emoji1][emoji1][emoji1]
Sometimes ujanja ni ushamba usipojuwa kuutumia.
Nae ni mwalimu halafu unasaiti chama.
Mimi kama mwenyekiti wa chama cha KATAA NDOA nimechukizwa na hatua yako.
[emoji23][emoji23]U
Umeamua uruke na Kishwkwambi kabisa
But unasura personal rafiki anguπππ
Kila la herii
[emoji23][emoji23]
Alete vithibitisho πMtoa mada ashapata ua lake[emoji38]